Mzee Chayai
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 429
- 782
Viongozi wa hii nchi vichwa maji kweli, yaani unamrusha mtoto Kutoka chekechea Hadi darasa la kwanza?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi mwenyewe nikiwaza hivyo.Ivi yule mtoto nikweli au kuna MTU pembeni alikuwa anamtajia majibu ya yale maswali.
Babu Tale agharamie nini tena wakati elimu ni bure?
Pumbavu 😂😂😂😂😂😂😂😂Babu Tale agharamie nini tena wakati elimu ni bure?
Waswahili wanasema"Ukiwa muongo jitahidi uwe na kumbukumbu".Hawa ndugu wa Chama tawala huwa ni wasahaulifu Sana.Babu Tale agharamie nini tena wakati elimu ni bure?
Sasa tuko wapi mkuu?Sasa hii ndio habari ya kuleta hapa, wakati kuna watu tuliishia darasa la 5 tukafanya paper ya std 7 na tukachaguliwa shule za vipajai maalum
Vyombo Vya Dollars Vimkamate Haraka Sana Huyo Mbunge Atupwe Ndani, Elimu Bure Hakuna MichangoBabu Tale agharamie nini tena wakati elimu ni bure?
chekechea stage 3 ni zipi ama ndoChekechea nayo Si ina kama stage tatu ?
hii ni porojo ulifanyaje mtihani ujasajiliwa.Sasa hii ndio habari ya kuleta hapa, wakati kuna watu tuliishia darasa la 5 tukafanya paper ya std 7 na tukachaguliwa shule za vipajai maalum
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😀 Hawa wabunge sasa kila kitu ni usaniii🤣🤣Babu Tale agharamie nini tena wakati elimu ni bure?
Kampeleka st mary's ya moro nadhan ni ya kishuaampeleke mchepuo wa kiingereza kama kweli ana maanisha kumsaidia lakini siyo kumnunulia sare na kidumu cha maji pamoja na fagio
KikiBabu Tale agharamie nini tena wakati elimu ni bure?
Atafutiwe scholarship English Medium School.
ampeleke mchepuo wa kiingereza kama kweli ana maanisha kumsaidia lakini siyo kumnunulia sare na kidumu cha maji pamoja na fagio
Ninadhani hili swali liende kwa profesa NdalichakoKwa nini? Shule za serikali hazifai kusomesha watoto wetu na wakafanikiwa?
Shangaa na weweBabu Tale agharamie nini tena wakati elimu ni bure?
MaajabuHapo ajaruka kuruka angetoka chekechea hadi la 2 na kuendelea ikiwa na maana karushwa drs la kwanza sasa kutoka chekechea kwenda la kwanza karuka darasa gani najaribu kuwaza.