Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ama kweli SIASA MBAYA SANA.Asome tu baadae ajiajiri kufyatua tofali..
Pesa ya dawati, mchango wa sare,Babu Tale agharamie nini tena wakati elimu ni bure?
Itakuwa michango ya ulinzi.😛Babu Tale agharamie nini tena wakati elimu ni bure?
Basi ilimuradi hakuna jema.Hapo ajaruka kuruka angetoka chekechea hadi la 2 na kuendelea ikiwa na maana karushwa drs la kwanza sasa kutoka chekechea kwenda la kwanza karuka darasa gani najaribu kuwaza.
Kweli miaka 6 kwa la kwanza bado kachelewa pia ilitakiwa apelekwe STD III.Hapo ajaruka kuruka angetoka chekechea hadi la 2 na kuendelea ikiwa na maana karushwa drs la kwanza sasa kutoka chekechea kwenda la kwanza karuka darasa gani najaribu kuwaza.
Sijaona maaujanja ya huyo dogo ila iwapo kufanya yaliyo mbele ndio kipaji maalum hata mimi nilistahili sema tu sikupigiwa chapuo.Sasa hii ndio habari ya kuleta hapa, wakati kuna watu tuliishia darasa la 5 tukafanya paper ya std 7 na tukachaguliwa shule za vipajai maalum
Sasa hii mbona nyepesi, mimi wakati nipo darasa la nne nilikuwa nawafundisha watu wa darasa la saba hesabu.Sijaona maaujanja ya huyo dogo ila iwapo kufanya yaliyo mbele ndio kipaji maalum hata mimi nilistahili sema tu sikupigiwa chapuo.
Stori yangu,
Hii nikweli na kweli tupu:
Wakati tukiwa darasa la Sita enzi hizo, Shule yetu ilipata mkasa wa kuwa na madarasa pungufu katika kipindi fulani hali iliyolazimisha darasa la saba na la sita kuwekwa katika chumba kimoja kikubwa tukipangiliwa katika hali ya kila darasa likiwa limepeana mgongo na lingine.
Ghafla tu siku moja, mwalimu wa Hisabati wa darasa la saba ambae pia alikuwa akitufundisha Hisabati darasa la Sita (Sisi) alitoa Jaribio kwa Darasa la saba.
Tukiwa tumetulia tuli,
Mwalimu yule wa Darasa alituamuru mimi na Mkali mwenzangu wa Darasa la sita kuwa tuunganae na La Saba tufanye Jaribio hilo,
Amini usiamini, tuliwakimbiza wale mafala shule nzima haikuamini.
Zingekuwa zama hizi si ajabu ningeonyeshwa kwenye TV.
Najua atatokea mwehu mmoja atasema hii Chai😕
UniformsBabu Tale agharamie nini tena wakati elimu ni bure?
Usiipinge ahadi ya mheshimiwa Mbunge wa CCM, ukikamatwa utaanza kulalamika, wee meza tu japo ni hewa.Babu Tale agharamie nini tena wakati elimu ni bure?
hajui kusoma na kuandika ulitakaje?Viongozi wa hii nchi vichwa maji kweli, yaani unamrusha mtoto Kutoka chekechea Hadi darasa la kwanza??
fa.la ww. njoo nikamateUsiipinge ahadi ya mheshimiwa Mbunge wa CCM, ukikamatwa utaanza kulalamika, wee meza tu japo ni hewa.