Serikali yaagiza Mtoto Charles Mathias arushwe Darasa kutoka Chekechea hadi Primary, Babu Tale aahidi kumlipia ada

Serikali yaagiza Mtoto Charles Mathias arushwe Darasa kutoka Chekechea hadi Primary, Babu Tale aahidi kumlipia ada

Huo ni mfano Hai wa sisi huwa tunaakili Sana ila shule hufubaza akili zetu dogo mpka aje kumaliza kidato atakuwa kawaida Sanaa labdaa aache shule kama MaGeni's wengine
 
Bongo ukiwa na uwezo mkubwa shule elimu kwako Hain mchakato mrefu, shida tusio na uwezo huo tunazeeka soma na elimu kwetu ni mchakato mrefu sana
Liangaliwe na hili
#Maendeleo ayana chama
 
Serikali za kiki ni za hovyo sana na za kishetwani.
Huku mwanangu P mwenye 5 yrs anasoma la kwanza huko wanasiasa wanataka kuchukua kiki kwa mtoto wa miaka 6
 
Sijaona maaujanja ya huyo dogo ila iwapo kufanya yaliyo mbele ndio kipaji maalum hata mimi nilistahili sema tu sikupigiwa chapuo.


Stori yangu,
Hii nikweli na kweli tupu:
Wakati tukiwa darasa la Sita enzi hizo, Shule yetu ilipata mkasa wa kuwa na madarasa pungufu katika kipindi fulani hali iliyolazimisha darasa la saba na la sita kuwekwa katika chumba kimoja kikubwa tukipangiliwa katika hali ya kila darasa likiwa limepeana mgongo na lingine.
Ghafla tu siku moja, mwalimu wa Hisabati wa darasa la saba ambae pia alikuwa akitufundisha Hisabati darasa la Sita (Sisi) alitoa Jaribio kwa Darasa la saba.
Tukiwa tumetulia tuli,
Mwalimu yule wa Darasa alituamuru mimi na Mkali mwenzangu wa Darasa la sita kuwa tuunganae na La Saba tufanye Jaribio hilo,
Amini usiamini, tuliwakimbiza wale mafala shule nzima haikuamini.

Zingekuwa zama hizi si ajabu ningeonyeshwa kwenye TV.

Najua atatokea mwehu mmoja atasema hii Chai😕
kwa nn hamkurusha darasa mkuu
 
Sijaona maaujanja ya huyo dogo ila iwapo kufanya yaliyo mbele ndio kipaji maalum hata mimi nilistahili sema tu sikupigiwa chapuo.


Stori yangu,
Hii nikweli na kweli tupu:
Wakati tukiwa darasa la Sita enzi hizo, Shule yetu ilipata mkasa wa kuwa na madarasa pungufu katika kipindi fulani hali iliyolazimisha darasa la saba na la sita kuwekwa katika chumba kimoja kikubwa tukipangiliwa katika hali ya kila darasa likiwa limepeana mgongo na lingine.
Ghafla tu siku moja, mwalimu wa Hisabati wa darasa la saba ambae pia alikuwa akitufundisha Hisabati darasa la Sita (Sisi) alitoa Jaribio kwa Darasa la saba.
Tukiwa tumetulia tuli,
Mwalimu yule wa Darasa alituamuru mimi na Mkali mwenzangu wa Darasa la sita kuwa tuunganae na La Saba tufanye Jaribio hilo,
Amini usiamini, tuliwakimbiza wale mafala shule nzima haikuamini.

Zingekuwa zama hizi si ajabu ningeonyeshwa kwenye TV.

Najua atatokea mwehu mmoja atasema hii Chai😕
unaendeleaje hapo kitengo cha utafiti NIMR
 
Sasa hii ndio habari ya kuleta hapa, wakati kuna watu tuliishia darasa la 5 tukafanya paper ya std 7 na tukachaguliwa shule za vipajai maalum.
Kwa hiyo kwavile habari yako haikuletwa hapa basi haitakiwi kwa habari za wengine kuletwa hapa eti kisa sababu habari yako haikuletwa hapa?
 
Hapo ajaruka kuruka angetoka chekechea hadi la 2 na kuendelea ikiwa na maana karushwa drs la kwanza sasa kutoka chekechea kwenda la kwanza karuka darasa gani najaribu kuwaza.
Halafu ana miaka sita..
 
Back
Top Bottom