Serikali yaanza kugwaya kwa 'utajiri' walioutangazia ulimwengu, Tanzania kukosa mikopo nafuu na misaada

Kiukweli nchi ni tajiri ila viongozi wana akili duni
 
Aisee ni hatari tunaoumia ni sisi hapo hawa watu wanaharibu sana
 
Mkuu ungefuka kidogo hapo kumbe ni sisi tupo katika list hatari namna hio

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Fyatueni watoto, nchi hii tajiri

August 12 2016 Rais wa Tanzania Dkt. John pombe Magufuli alikutana na wakazi wa Dar es salaam na kuzungumza nao kuhusu maendeleo ya nchi lakini hakuacha kukumbushia lengo lake kuu la kuruhusu elimu bure kwa kila mwanafunzi.
 
Taasisi mbili tofauti zilitoa takwimu mbili todauti,
Hakuna sehemu Tanzania ilishutumiwa kupika uchumi wake,
Niletee link ya taasisi mojawapo kati ya hizo iliyoshutumu Tanzania kupika uchumi.
 
Taasisi mbili tofauti zilitoa takwimu mbili todauti,
Hakuna sehemu Tanzania ilishutumiwa kupika uchumi wake,
Niletee link ya taasisi mojawapo kati ya hizo iliyoshutumu Tanzania kupika uchumi.
Taasisi zipi hizo zilizotoa takwimu mbili tofauti?
 
Mtanzania mwenzangu uliishia darasa la ngapi? Mbona haya maneno yapo wazi na uhitaji akili ya PHD ili uweze kutambua kuwa wanapika takwimu? Unataka mpaka liandikwe neno takwimu zinapikwa?

[ World Bank contradicts Tanzania's economic growth estimates]

Nioneshe palipoandikwa kwenye hiyo link kuwa Tanzania inapika uchumi.
 
Yaani hiyo taasisi ilisema uchumi wa Tanzania ulikua kwa asilimia kadhaa alafu wewe unasema eti uchumi unapikwa,
Hizo takwimu si hizo taasisi ndio zilitoa zenyewe au,
Niletee link inayoishutumu eti kuwa Tanzania inapika uchumi sio link za makisio ya ukuaji wa uchumi.
 
Tuna kizazi kiovu na kijinga sana awamu hii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…