Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpya.Kwa maana hiyo ni tozo mpya au ni zilizokuwepo zimeongezwa au zimepunguzwa?
Tunarudi kuzichimbia chini! Mje na huku!🤣Tulivyoweka tozo kwenye miamala ya simu mkakimbilia benki sasa tumekuja huko huko. Mlipo tupo.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Tulia dawa iingie we sukuma gang
Yaani huyu Muntua noma sanaTumepigwa
Yaani mfano umelipwa mshahara na hio hio serikali ukaingia benki halafu unaenda benki au atm kutoa hela serikali tena wanakukata TOZO(Hapo kama bank nao huwa wanatoza unaliwa huku na huku)
soon zitakuja kodi zaMajizi ya awamu ya sita ni shida.
Convenience ni kama madawa ya kulevya... ngumu kuacha. Watu watavumilia tu, na baadae wataona sawa.Siamini kama Lameck na timu yake wameshindwa kubuni vyanzo vingine vya mapato isipokuwa kuwabamiza wanyonge kwa gia ya tozo za miamala!
Am sure deposit kwa bank zitapungua lkn pia kbl ya sheria hiyo kuanzia pesa nyingi zitachotwa kurudi kuhifadhiwa kwenye magodoro!!
Majamba wazi hawa!Tunapenda kulipa kodi lakini tatizo sisiemu ni wezi
Na wakati huo tayari wameshakata madeni yao kwenye huo mshahara halafu wanakata na kakipande kengine ka ziada moja kwa moja kutoka bank daaahh....Yaani mfano umelipwa mshahara na hio hio serikali ukaingia benki halafu unaenda benki au atm kutoa hela serikali tena wanakukata TOZO(Hapo kama bank nao huwa wanatoza unaliwa huku na huku)
Kwa maana hiyo ni tozo mpya au ni zilizokuwepo zimeongezwa au zimepunguzwa?kwania sudhani kama Kuna miamala yeyote iliyokuwa Haina gharama.Na kichekesho kikubwa zaidi no pale mitandao ya simu ilivyoamua kama umejiunga na huduma za kibenki hata kama una billions kwenye account Yako kama huna Salio la kutosha sms huwezi kuipata pesa Yako hata uwe na shida Gani,hata hiyo kuongeza Salio kwenye simu.Hapa ndio ninapo waona watanzania wote sisi ni wajinga.Na tutabakia kuwa maskini Kwa ujinga wetu.Kwani kufanya haya tunajihujimu wenyewe.Kisa tunalazimisha manufaa binafsi na kuzuia manufaa ya umma wa watanzania ambao kupitia Kwa ndio maendeleo ya Taifa.[emoji848]
Zichimbie mkuu watakuja kuchukua zote wazee wa kazi, kwa hiyo uchague moja zikatwe au uziweke rehani.....Tunarudi kuzichimbia chini! Mje na huku![emoji1787]
chadema kwa miaka kadhaa sasa, wamejaribu sana kutoa elimu ya uraia ili wananchi wajitambue, wamejaribu sana kuitisha maandamo yanayohusu masuala mbalimbali yenye maslai mapana kwa umma ikiwemo suala la katiba mpya.Tungekuwa na elimu ya kutosha tungeandamana na kuwatoa mafisadi madarakani