Serikali yaanzisha kodi mpya kwenye miamala ya fedha kupitia Benki

Serikali yaanzisha kodi mpya kwenye miamala ya fedha kupitia Benki

Yaani mfano umelipwa mshahara na hio hio serikali ukaingia benki halafu unaenda benki au atm kutoa hela serikali tena wanakukata TOZO(Hapo kama bank nao huwa wanatoza unaliwa huku na huku)
Huo huo mshahara umeshalipa kodi serikalini (paye)! Kuuchukua Tena unalipa kodi. Kweli mama anaupiga mwingi.
 
chadema kwa miaka kadhaa sasa, wamejaribu sana kutoa elimu ya uraia ili wananchi wajitambue, wamejaribu sana kuitisha maandamo yanayohusu masuala mbalimbali yenye maslai mapana kwa umma ikiwemo suala la katiba mpya.

mwisho wa siku chadema haohao wanaishia kubezwa, kupuuzwa, kuzomewa, kutukanwa, kudhihakiwa, kutengenezewa propaganda nk. na haya yote yanafanywa na wananchi maskini.

acha tuisome namba, labda ipo siku akili zitatukaa

Ili tukuweke wewe?
Nchi iliyosheheni wajinga kama wewe ni shida
 
chadema kwa miaka kadhaa sasa, wamejaribu sana kutoa elimu ya uraia ili wananchi wajitambue, wamejaribu sana kuitisha maandamo yanayohusu masuala mbalimbali yenye maslai mapana kwa umma ikiwemo suala la katiba mpya.

mwisho wa siku chadema haohao wanaishia kubezwa, kupuuzwa, kuzomewa, kutukanwa, kudhihakiwa, kutengenezewa propaganda nk. na haya yote yanafanywa na wananchi maskini.

acha tuisome namba, labda ipo siku akili zitatukaa sawa.
Mkuu Mambo siku yakifika shingoni mbona tutajikuta tumeamkia roads utadhani Kama tumeambiana
 
Wenzetu hamna akili?
Atm ukitoa pesa unakatwa na bank, sasa hivi serikali pia itaweka makato yake. Sasa hapo inapunguwaje?

NB
Pia Kodi na tozo ni lazima
Serikali lazima ipate mapato, hata kwa kutumia nguvu
Halafu ikishapa pata mapato ikanunue V8 za kisasa kwa Mwigulu. Zingine ikanunulie wakuu wa taasisi hizo V8 na kuwapa misafara.
 
Halafu ikishapa pata mapato ikanunue V8 za kisasa kwa Mwigulu. Zingine ikanunulie wakuu wa taasisi hizo V8 na kuwapa misafara.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hivi hii inchi kwann ina watu wa hovyo?
Kila siku ni kuwabebesha wanainchi mzigo wakati wao wanaindelea Kula maisha ya Raha.

Mfano Mimi natoa pesa kwa kutumia internet bank kutoka bank kwenda kwenye Miamala ya simu hapo ninakatwa ,,

Halafu tena kutoa kwenye simu kuiweka iwe cash pia nakatwa pesa..

Huo mzigo wote wanaotubebesha ni wa nn?
Itabidi turudi tu kwenye barter trade

Ova
 
Uzuri ni kwamba hata wale chawa wao nao wanasikilizia utamu wa ngoma.

#MaendeleoHayanaChama
 
Watu wanazidi kuchanganyikiwa...na bado...
Mwigulu anatufaa kwa Urais.
 
Back
Top Bottom