RWANDES
JF-Expert Member
- Jun 12, 2019
- 1,788
- 4,401
kauli kama hizi ni hatari labda wewe hayo hayakugusi mojakwamoja kwa kauli hiiSukuma gang WANAKOMESHWA.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kauli kama hizi ni hatari labda wewe hayo hayakugusi mojakwamoja kwa kauli hiiSukuma gang WANAKOMESHWA.
Unapopewa mshahara wako serikali inakukata kodi benki inakukata tozo na serikali inakurudia tena inakukata kodi! dalili serikali imefilisika.Kuna hii sheria ya miamala ya kieletroniki inayoanza kutumika July 01,2022.
Kuna mkanganyiko wa mjadala hapa JF.
Kuna watu wanasema hii ni tozo mpya haikuwepo kabisa.
Kuna watu wanasema ni tozo ambayo inaenda kugusa Transaction mpaka za ATMs.
Tujadili miamala na maeneo ambayo hizi tozo zitagusa kwa mujibu wa sheria mpya.
Sheria imeambatanishwaView attachment 2299324
Ndio wameshindwa . . . Kama hali isingekuwa hivyo haya matozo usingeyaona wala kuyasikia.Siamini kama Lameck na timu yake wameshindwa kubuni vyanzo vingine vya mapato isipokuwa kuwabamiza wanyonge kwa gia ya tozo za miamala!
Am sure deposit kwa bank zitapungua lkn pia kbl ya sheria hiyo kuanzia pesa nyingi zitachotwa kurudi kuhifadhiwa kwenye magodoro!!
How how howWizi
Wizi
Wizi
Hizi ndo kodi marehemu aliziita ni za kipu...mb..vuUnapopewa mshahara wako serikali inakukata kodi benki inakukata tozo na serikali inakurudia tena inakukata kodi! dalili serikali imefilisika.
Serekuli imekuwa ya kijangili sana hiiHizi ndo kodi marehemu aliziita ni za kipu...mb..vu
Mimi nishaanza hilo zoeziSiamini kama Lameck na timu yake wameshindwa kubuni vyanzo vingine vya mapato isipokuwa kuwabamiza wanyonge kwa gia ya tozo za miamala!
Am sure deposit kwa bank zitapungua lkn pia kbl ya sheria hiyo kuanzia pesa nyingi zitachotwa kurudi kuhifadhiwa kwenye magodoro!!
DuhWatu wanazidi kuchanganyikiwa...na bado...
Mwigulu anatufaa kwa Urais.
Bhanyaning'weWenzetu hamna akili?
Atm ukitoa pesa unakatwa na bank, sasa hivi serikali pia itaweka makato yake. Sasa hapo inapunguwaje?
NB
Pia Kodi na tozo ni lazima
Serikali lazima ipate mapato, hata kwa kutumia nguvu
Sawa gete nkoiBhanyaning'we
Inamaana hizi tozo wanalipa wasukuma pekee?? We ni zaidi ya mbwehaSukuma gang WANAKOMESHWA.
Huu ukabila utaua taifa letuInamaana hizi tozo wanalipa wasukuma pekee?? We ni zaidi ya mbweha
Hapana UFISADI NDO UTAUA TAIFA..!!Huu ukabila utaua taifa letu
Mwigulu anaitafuna nchi haswaHapana UFISADI NDO UTAUA TAIFA..!!