The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Huna unachoweza kunifundisha kwenye uchumi,mimi mwenyewe ni mchumi..Kodi zina utaratibu wake wewe kibwengo. Huo utaratibu unaitwa KANUNI ZA UTOZAJI WA KODI.
Kwa kikerewe wanaita PRINCIPLES OF TAXATION.
Na mojawapo ya kanuni ni zuio la kutoza kodi mara mbili kwenye pato lile lile.
Lakini naamini wewe haya huyajui kwa sababu elimu huna.
Unachoweza ni kuwaabudu wafalme ili upate chochote kitu ukale na wanao.
Ajira ngumu.
Kwenye Taifa lenye informal sector kubwa kama Tanzania takribani 80% staili hii ndio inatakiwa..
Kwanza Kodi ni ndogo Sana hizo ,huko kwenye formal sector Kodi zinafika karibu 30% ya kipato cha mtu..
Wewe hapo unauziana mali hamlioo Kodi,unaenda mgahawani unakula bila risiti,unamiliki ardhi hulipii harafu unaongea upumbavu..