Serikali yaanzisha kodi mpya kwenye miamala ya fedha kupitia Benki

Serikali yaanzisha kodi mpya kwenye miamala ya fedha kupitia Benki

Wewe na elimu uliyonayo kidogo, hujiulizi hao walimu uliopita kwenye mikono yao walikuiwa wanajitolea bure???
Madarasa uliyotumia yalikuwa ni hisani?
Maji ya bomba unayotumia miundo mbinu yake ni hisani?
Miundo mbinu ya umeme unayotumia ni hisani???
Amani uliyonayo leo mpaka unapata muda wa kutype ujinga hapa ni hisani? polisi/ jeshi nani akulipie huduma yao????
kwa hiyo tozoo hazitoshi kufanya vitu vilivyokuwa vinafanyika toka uongozi wa magu au jk ambapo tozo hazikuwepoo...?? ikabdi waongeze tozo na mikopoo kila kukicha kutoa elimu tu?? nambie mradi gani mkubwa wa maana umeanzishwa ukiacha ile iliyokuwepo toka enzi za magu??
 
Wacha utahira watu wanaongezeka na huduma haziongezeki mpaka ziongezwe.

Kujengwa kwa madarasa 15,000/- kwa wakati mmoja hakumalizi tatizo la madarasa nchi nzima, bado yatahitajika tu ili mradi watu wanaendelea kuzaana, miundo mbinu ya barabara, maji, umeme, vituo vya afya hivyo hivyo.

Kama wewe una bahati ya kuishi sehemu yenye huduma zote, serikali inapambana kuhakikisha na ambao hawajabahatika kupata hizo huduma wanazipata, na wenye huduma duni wanaboreshewa.

As long as kodi na tozo zinasaidia watanzania wenzangu, nitalipa kodi kwa ufahari kabisa bila kinyongo.
data za kwenye magazeti na vitabu hizo kijana
 
Hojini matumizi ya Kodi sio Kodi ya nini
Unatetea ujinga kwa malipo ya kuliwa tako
Punguani nyie,inawezekana mambo ya muhimu kwako ni kumla Mkeo tundu dogo kiasi kwamba unaona huu ni ujinga 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220721-192644.png
    Screenshot_20220721-192644.png
    86.9 KB · Views: 6
  • Screenshot_20220720-212524.png
    Screenshot_20220720-212524.png
    125.6 KB · Views: 6
  • Screenshot_20220720-054024.png
    Screenshot_20220720-054024.png
    214.6 KB · Views: 6
  • Screenshot_20220719-201558.png
    Screenshot_20220719-201558.png
    182.7 KB · Views: 5
  • Screenshot_20220719-201650.png
    Screenshot_20220719-201650.png
    158.5 KB · Views: 6
  • Screenshot_20220719-201445.png
    Screenshot_20220719-201445.png
    265.4 KB · Views: 5
  • Screenshot_20220719-201146.png
    Screenshot_20220719-201146.png
    126.5 KB · Views: 6
  • Screenshot_20220719-201024.png
    Screenshot_20220719-201024.png
    174.6 KB · Views: 4
  • Screenshot_20220719-200814.png
    Screenshot_20220719-200814.png
    168.3 KB · Views: 4
  • Screenshot_20220719-200535.png
    Screenshot_20220719-200535.png
    142.9 KB · Views: 5
  • Screenshot_20220719-085937.png
    Screenshot_20220719-085937.png
    143 KB · Views: 5
  • Screenshot_20220719-063135.png
    Screenshot_20220719-063135.png
    193.5 KB · Views: 6
  • Screenshot_20220718-154203.png
    Screenshot_20220718-154203.png
    187.9 KB · Views: 6
  • Screenshot_20220717-211351.png
    Screenshot_20220717-211351.png
    192.2 KB · Views: 6
  • Screenshot_20220713-194245.png
    Screenshot_20220713-194245.png
    229.3 KB · Views: 6
  • Screenshot_20220713-194118.png
    Screenshot_20220713-194118.png
    155.5 KB · Views: 4
kwa hiyo tozoo hazitoshi kufanya vitu vilivyokuwa vinafanyika toka uongozi wa magu au jk ambapo tozo hazikuwepoo...?? ikabdi waongeze tozo na mikopoo kila kukicha kutoa elimu tu?? nambie mradi gani mkubwa wa maana umeanzishwa ukiacha ile iliyokuwepo toka enzi za magu??
Hii awamu ya sita haijatokea hewani.
Imepokea nchi ikiwa na mipango mikubwa sana, contract za matrillion zimesainiwa na hazijakamilika. mfano JNHPP/ SGR tu, ni zaidi ya trillion 20. Na awamu iliyotangulia ajira mpya serikalini ilikuwa ni ndoto, nyongeza ya mishahara kwa miaka 6 ilikuwa ni ndoto yote ni kuhakikisha miradi inakamilika.

Awamu ya sita imebeba vyote vilivyoshindwa kufanywa na awamu ya tano. kuongezwa kwa tozo ni kuhakikisha ya awamu ya tano hayakwami na ambayo hawakuwezekana awamu ya tano kwa miaka sita yanafanyika.
 
Weka data zako ambazo sio za kwenye magazeti badala ya kuharisha kwa kutumia mdomo badala ya tundu la huko back
fakeni kabsia yani unasupport tozo kuongezwa na kukopa kila siku.... ntapigwa ban bure maana mnanitia hasira nyie machoko
 
fakeni kabsia yani unasupport tozo kuongezwa na kukopa kila siku.... ntapigwa ban bure maana mnanitia hasira nyie machoko
Kodi umelipa kiasi gani? wakulalamika kodi ni akina Bakhresa sio wewe kapuku.
 
Kodi umelipa kiasi gani? wakulalamika kodi ni akina Bakhresa sio wewe kapuku.
hadi bibi ako aliepo kula kijijini ambao hata mlo mmoja ni shida tozo zinamkamua hasaaa... akinunua umeme tozooo...ukimtumia kelfu 2 tozoo hao ndo tunaowaongelea hapa bakhresa ukute anatoa hongo tu na sio kodi
 
Hao ndio huwa wakikutana na hizi kazi huwa hawaongei kitu,
1658471262008.png


Wakipitishwa maeneo kama haya chini huwa wanaiponda sana serikali na wakati kodi hawalipi
1658471331395.png
 
Kodi umelipa kiasi gani? wakulalamika kodi ni akina Bakhresa sio wewe kapuku.
ndo tofauti ya magu na mama... sasa maboss hata hawawazi huo utopolo wa kodi maana no body cares ila makapuku ndo wanalia
 
hadi bibi ako aliepo kula kijijini ambao hata mlo mmoja ni shida tozo zinamkamua hasaaa... akinunua umeme tozooo...ukimtumia kelfu 2 tozoo hao ndo tunaowaongelea hapa bakhresa ukute anatoa hongo tu na sio kodi
Kabla hujaitukana serikali kwenye suala la kodi jilulize kwenye hizo hizo kodi mnazopigia kelele serikali inakusanya TZS ngapi? Mahitaji ya kumridhisha kila mtanzania nchi nzima ni TZS ngapi kwa mwaka (bajeti). Ndio tutaelewana
 
Kabla hujaitukana serikali kwenye suala la kodi jilulize kwenye hizo hizo kodi mnazopigia kelele serikali inakusanya TZS ngapi? Mahitaji ya kumridhisha kila mtanzania nchi nzima ni TZS ngapi kwa mwaka (bajeti). Ndio tutaelewana
wewe jizungushe tu ila ndugai anaijua hii nchi kuliko wew tumbili maji....
 
Back
Top Bottom