Serikali yaanzisha kodi mpya kwenye miamala ya fedha kupitia Benki

Serikali yaanzisha kodi mpya kwenye miamala ya fedha kupitia Benki

Tanzania nzima ina barabara km ngapi zinahitaji lami? Gharama ni kiasi gaini kukamilisha lami?
Lakini kipaumbele ni barabara tu? Elimu, maji, umeme, afya, ulinzi na usalama sio lazima?

Hiyo mikopo/ kodi serikali inazokusanya inatosha kumaliza matatizo yote kwa mwaka mmoja?
Ukilijua hilo huwezi jiuliza kod/ mikopo yote inafanya kazi gani.
nasema hizo story za madarasa elfu 15 sijui barabara isiwe sababu ya kukopa matrilion kila sikuu... tamisemi kila siku wanaripoti hela za miradi kuliwaa ovyoo tuu yani aibuuu.. madaraja yanajengwa ya ovyoo unaambiwa zimetumika mil 200. UFISADI ULIOPO UNATISHA
 
nasema hizo story za madarasa elfu 15 sijui barabara isiwe sababu ya kukopa matrilion kila sikuu... tamisemi kila siku wanaripoti hela za miradi kuliwaa ovyoo tuu yani aibuuu.. madaraja yanajengwa ya ovyoo unaambiwa zimetumika mil 200. UFISADI ULIOPO UNATISHA
Marekani. Uingereza wenyewe wanakopa itakuwa Tz???
 
Mkuu,tuwe realistic muda mwingine..mfumo wa uongoz kwa nchi yetu unajulikana..Rais ndo kila kitu.Hawa mawaziri tutawaonea bure
REALISTIC ni kuwa mwigulu ndo anamshauri rais hizi tozoo za ovyooo
 
Sasa km ukitoa kuanzia 3M and above unakatwa 4000 tu unalalamika nini? Hakuna vya bure lazima tuchangie maendeleo ya nchi yetu. Tuwe wazalendo. Mwigulu mbunifu nampongeza sana
Sasa hiyo ni cost za gvt bado bank husika sasa nao wataongeza za kwao
 
nasema hizo story za madarasa elfu 15 sijui barabara isiwe sababu ya kukopa matrilion kila sikuu... tamisemi kila siku wanaripoti hela za miradi kuliwaa ovyoo tuu yani aibuuu.. madaraja yanajengwa ya ovyoo unaambiwa zimetumika mil 200. UFISADI ULIOPO UNATISHA
Serikali yatakiwa ipunguze matumizi yake
Ipunguze posho za vikae
Ifanye kazi virtually
Ipunguze per diem

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom