Serikali yaanzisha kodi mpya kwenye miamala ya fedha kupitia Benki

Serikali yaanzisha kodi mpya kwenye miamala ya fedha kupitia Benki

wewe jizungushe tu ila ndugai anaijua hii nchi kuliko wew tumbili maji....
Si tegemei mtu kupata taarifa za nchi hii kama wewe, niko independent kwa kila kitu, nasoma natafuta taarifa na vikao vya bunge nashiriki vizuri tu.

🤣 🤣 🤣 🤣 Keyboard worrior mzima unategemea taarifa za Ndugai????????
 
yani haya yote hayawezi kubadilika kama Mwigulu bado yupo palee... mama aanze upyaa kwenye wizara ya fedha hata kama analipa fadhilaa huu ni upuuzi huwezi kuwa na waziri yeye kazi yake kukwapua hela kwa kutumia KODI ZA OVYOO kila sikuuu... kuna siku hadi makanisa yatatozwa kodi kwenye sadaka tunazotoa
Kwani huyo mwigulu anajiamulia mwenyewe kuweka hizo tozo au anatumwa na wakubwa zake? Jaribuni kutumia common sense,yaan unataka kusema Samia hausiki na hizo tozo bali Mwigulu kaamka tu kuzileta?
 
Si tegemei mtu kupata taarifa za nchi hii kama wewe, niko independent kwa kila kitu, nasoma natafuta taarifa na vikao vya bunge nashiriki vizuri tu.

🤣 🤣 🤣 🤣 Keyboard worrior unategemea taarifa za Ndugai????????
unashiriki vizuri kumbe haya mhe endeleeni kuilaa nchi... sitegemei taarifa za ndugai ila alijitoa muhanga kusema ukweli wa nini kinaendelea
 
Bora wangeweka kodi kwa malaya na kuwapa vitambulisho na EFD mashine wangepata pesa nyingi sana.
 
Awamu ya Too na Bado wapo wanabwinu mbwinu za tozo mpya.
 
Kwani huyo mwigulu anajiamulia mwenyewe kuweka hizo tozo au anatumwa na wakubwa zake? Jaribuni kutumia common sense,yaan unataka kusema Samia hausiki na hizo tozo bali Mwigulu kaamka tu kuzileta?
yeye ndo waziri muhusika anapaswa kuwa mshauri mzuri wa rais kuwa hiki sio sawaa..
 
Ili unisaidie nini nikikuonesha?

Ulivyo fala,nani kakwambia Economists Wana certify vyeti?

Jikite kwenye hoja na uliza swala lolote la Kiuchumi nitakujibu
Hujui uchumi wowote wewe oya oya tu wa kawaida.

Pili, haujakidhi vigezo vya kunijibu swali lolote. You are not qualified to even have a conversation of any sort whatsoever.

Bila kumpamba samia mitandaoni huendi chooni wewe.

Na ukizingua tunakunyuka pia.

Haya, nioneshe vyeti vyako vya chuo kikuu vyenye muhuri wa kamishna wa viapo!
 
Tanzania nzima ina barabara km ngapi zinahitaji lami? Gharama ni kiasi gaini kukamilisha lami?
Lakini kipaumbele ni barabara tu? Elimu, maji, umeme, afya, ulinzi na usalama sio lazima?

Hiyo mikopo/ kodi serikali inazokusanya inatosha kumaliza matatizo yote kwa mwaka mmoja?
Ukilijua hilo huwezi jiuliza kodi/ mikopo yote inafanya kazi gani.
 
Mkuu kama ni mnufaika wa huu utawala ni bora uwe unapiga kimya tu kuliko unavyowasafisha na kuwasifia kila siku.
Tunaoumia ni wengi kuliko ninyi mnao lamba asali.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli mimi ni mnufaika maana huduma zote na miradi yote inaanzishwa kwa ajili ya mimi na wewe..

Wewe sio mnufaika unanufaika na Nchi gani? Kama huishi Tanzania wewe ndio Kaa kimya ,ukisema sijui unaumia sijui nini ni ujinga wa Hali ya Juu..

Wewe ulitaka aumie nani Ili wewe ule maisha?
 
Hujui uchumi wowote wewe oya oya tu wa kawaida.

Bila kumpamba samia mitandaoni huendi chooni wewe.

Na ukizingua tunakunyuka pia.

Haya, nioneshe vyeti vyako vya chuo kikuu vyenye muhuri wa kamishna wa viapo!
Sasa Mimi na wewe nani hajui uchumi? Unajua hata maana ya hiyo statement kwenye ID yangu?
 
Back
Top Bottom