Serikali yaanzisha kodi mpya kwenye miamala ya fedha kupitia Benki

Serikali yaanzisha kodi mpya kwenye miamala ya fedha kupitia Benki

wizi kila sehemu mpaka bank zinaibia wateja sana tu kimya kimya hata kuangalia salio lako tu kwenye App wanakuzibia kufungua unakatwa, ukituma pesa unapata msg tu umetoa au umeingiza kiasi gani hawakwambii balance ngapi muhimu wizi kila sehemu hata hujui ukimbilie wapi. Sina shida na serikali kukusanya kodi ila shida huduma za hizi bank pesa yako lakini wanakunyonya maana kama gharama za Maint wanakukata sasa hata kujuwa balance zako makato?
 
mimi kwa mtazamo wangu; Kodi zikiwa nyingi sana kwa watu masikini , uchumi unadumaa ( watu/wafanya biashara hawakui) na hivyo hawawezi kuongeza uigo wa kuajiri
Natamani serikali ijikite kwenye miradi Mkubwa ya kimkakati ya kuongeza ajira direct ili ipate kodi kubwa na ambazo haziadhiri ukuaji wa uchumi wa watu mmoja mmoja
Mfano; Ifufue viwanda portentail kwa kuchangia kiasi kama 70% ya share nk (mf: Kiwanda cha matairi,, kiwanda cha kuchakata Petrol, cha kuchakata gas ifae kutumia majumbani, kiwanda cha madawa soko la uhakika lipo nknknknk
Hivi kweli unamtoza kodi mtu anayotoa bank shs 3000???
Ni mtazamo wangu!
yani haya yote hayawezi kubadilika kama Mwigulu bado yupo palee... mama aanze upyaa kwenye wizara ya fedha hata kama analipa fadhilaa huu ni upuuzi huwezi kuwa na waziri yeye kazi yake kukwapua hela kwa kutumia KODI ZA OVYOO kila sikuuu... kuna siku hadi makanisa yatatozwa kodi kwenye sadaka tunazotoa
 
Hapa huwezi kumuona yule CHIZI WA UBELGIJI akibwabwaja.

Kashapewa mafao anakula taratibu huku akiuguza MADONDA YA RISASI alizopigwa na MBOWE.

Hii ingelikuwa enzi za awamu ya tano, angeshatoka hadharani kubwabwaja na kutoa mapovu huku AMEJITWIKA MAGONGO.

Chezea pesa wewe! Njaa tupu.
Dah Mkuu, punguza ukali wa maneno maana hujafa hujaumbika!
 
Wacheni kulalamikia vitu vya kipuuzi, mnafurahia kupokea misaada kutoka nchi za watu tu, hamjui hizo na zenyewe ni kodi/tozo za wenzenu.

Msipo lipa kodi kwenye nchi yenu mnataka mkailipie wapi????
Tuna nchi moja tu 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿🏴󠁧, tulipe kodi/tozo kwa maendeleo ya nchi yetu.
Kama hizo tozo zinafanya kitu cha maana mbona KUKOPA HAKUISHII??? Mbona tunakopa kuliko hata kipindi hizi tozo hazikuwepo?? magu angekuwa anakopa hivi sawa...tumbili kabisa
 
Huyu mrugaruga wa kinyiramba arudi kwao porini. Hii nchi muda sasa umefika nshomile tuiongoze, tutaleta mabadiliko ya kweli.
 
Katika hizo kodi/tozo umechangia TZS ngapi???
Hana jibu..mwambie alinganishe Makati yake ya mwaka mzima wa transactions kama yatafikia elfu 20,000 ya Kitambuliwho cha Machinga..

Hawa hua ni punguani fulani..Kwa serikali it bears yields kwa sababu inakusanya watu wengi lakini Kwa individual ni insignificant.
 
Ukitoa kwa wakala makato (serikali + bank +wakala) yaani ni hatari sn
... the worst case ni kuvuta hela yako kutoka benki ikaingia kwenye mobile-money then ikaenda kutolewa kwa wakala kwa wale wavivu wa kwenda ATM; utalizwa hadi ukome. Makato yatakuwa hivi kwa mfano wa Tigo-Pesa;

Bank ==> Serikali ==> Tigo-Pesa ==> Serikali ==> Wakala ==> Serikali ==> Wewe!

Pesa yako hiyo! Nilikuwa na huu mchezo sirudii tena.
 
Wananchi: Tuna njaa
Mfalme: Kuleni mikate......


Ndo majibu yako. Ushalewa madaraka na damu za kafara sasa unatiririka huku ukiuweka lock ubongo wako
Hakuna mwananchi mwenye njaa akawa na account bank,hayupo..

Kama ni kelele zilizidi mwaka Jana walioandisha tozo ya miamala tena pesa ilikuwa kubwa mara mbili ya hii ya baks ila sasa matokeo yake yakawa hivi 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220719-154052.png
    Screenshot_20220719-154052.png
    48.3 KB · Views: 6
sasa hiyo reli imeanza kujengwa jana??? hizo ndege mama kanunua ngapi?? wee jamaa hujitambui kabisaa
Wewe na elimu uliyonayo kidogo, hujiulizi hao walimu uliopita kwenye mikono yao walikuiwa wanajitolea bure???
Madarasa uliyotumia yalikuwa ni hisani?
Maji ya bomba unayotumia miundo mbinu yake ni hisani?
Miundo mbinu ya umeme unayotumia ni hisani???
Amani uliyonayo leo mpaka unapata muda wa kutype ujinga hapa ni hisani? polisi/ jeshi nani akulipie huduma yao????
 
sasa hiyo reli imeanza kujengwa jana??? hizo ndege mama kanunua ngapi?? wee jamaa hujitambui kabisaa
Wacha utahira watu wanaongezeka na huduma haziongezeki mpaka ziongezwe.

Kujengwa kwa madarasa 15,000/- kwa wakati mmoja hakumalizi tatizo la madarasa nchi nzima, bado yatahitajika tu ili mradi watu wanaendelea kuzaana, miundo mbinu ya barabara, maji, umeme, vituo vya afya hivyo hivyo.

Kama wewe una bahati ya kuishi sehemu yenye huduma zote, serikali inapambana kuhakikisha na ambao hawajabahatika kupata hizo huduma wanazipata, na wenye huduma duni wanaboreshewa.

As long as kodi na tozo zinasaidia watanzania wenzangu, nitalipa kodi kwa ufahari kabisa bila kinyongo.
 
Wacha utahira watu wanaongezeka na huduma haziongezeki mpaka ziongezwe.

Kujengwa kwa madarasa 15,000/- kwa wakati mmoja hakumalizi tatizo la madarasa nchi nzima, bado yatahitajika tu ili mradi watu wanaendelea kuzaana, miundo mbinu ya barabara, maji, umeme, vituo vya afya hivyo hivyo.

Kama wewe una bahati ya kuishi sehemu yenye huduma zote, serikali inapambana kuhakikisha na ambao hawajabahatika kupata hizo huduma wanazipata, na wenye huduma duni wanaboreshewa.

As long as kodi na tozo zinasaidia watanzania wenzangu, nitalipa kodi kwa ufahari kabisa bila kinyongo.
Unatetea ujinga kwa malipo ya kuliwa tako
 
Back
Top Bottom