Serikali yaanzisha kodi mpya kwenye miamala ya fedha kupitia Benki

Huna unachoweza kunifundisha kwenye uchumi,mimi mwenyewe ni mchumi..

Kwenye Taifa lenye informal sector kubwa kama Tanzania takribani 80% staili hii ndio inatakiwa..

Kwanza Kodi ni ndogo Sana hizo ,huko kwenye formal sector Kodi zinafika karibu 30% ya kipato cha mtu..

Wewe hapo unauziana mali hamlioo Kodi,unaenda mgahawani unakula bila risiti,unamiliki ardhi hulipii harafu unaongea upumbavu..
 
Makato benki kabla ya haya matozo yalikuwa makubwa sana na niliwahi lalamika humu.

Kwenye simu walisababisha watu wapunguze kutuma pesa, huku napo wanataka watu tuache


Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Tungekuwa na elimu ya kutosha tungeandamana na kuwatoa mafisadi madarakani. Kama tulikubali kuchaguliwa rais, wabunge na madiwani na marehemu kichaa, tutupie tu watukamue
Una bima ya kujitibu baada ya maandamano?

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Yaani mfano umelipwa mshahara na hio hio serikali ukaingia benki halafu unaenda benki au atm kutoa hela serikali tena wanakukata TOZO(Hapo kama bank nao huwa wanatoza unaliwa huku na huku)
Maana zamani charges za bank zilikuwa 800 ATM, ghafla wakaweka VAT, ghafla benki zote kwa kushirikiana zikaongeza hadi 1100+VAT inafika kama 1300+

Tena Benki zikaweka kiwango tofauti na zamani ukitoa 400,000 makato yalikuwa sawa na ukitoa 50000

Leo tena serikali inaongeza tozo maana yake kutoa 400000 makato tu yatakuwa 3000

Kuna wale ambao mshahara anautoa mara 4 makato anakatwa hadi asilimia 5 ya mshahara wake

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
mnyonge anaweka pesa kwenye kibubu
 
Definition ya kodi sasa imekosa maana kabisa, watu wataacha kuweka pesa zao Bank na Mabenki yataishia kukosa wateja na kuanguka, hii kodi ni ya kuua uchumi , huyu mpuuzi Mwigulu sijui walimtoa wapi? anatumia makalio yake kufikiria, wanatufanyia uhuni hawa mabozo haikubaliki kodi zimezidi, inaonekana tunafanyia kazi V8 za hawa mafisadi, itabidi kuingia mtani boss wa kweli ajulikane sasa wananchi au hawa mafisadi
 
Hujui bila kodi mishahara hailipiki?

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Ko sisi wafanya biashara ndo inakula kwetu, Dah! hii nchi hii
 
Na hapo wamelenga kuwaadhibu wafanyakazi wote maana mishahara hupitia benki, hivyo hawawezi kwepa kukatwa.

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Hii ni Kodi Mara mbili kwa wafanyakazi kwasababu, mfanyakzinakiwekewa mshahahra, hukatwa Kodi asilimi 18, Sasa kila takapoutoa huo mshahahra akatwe Tena Kodi, huu ni UNYONYAJI wa waziwazi, I abidi tuupinge huu uamuzi.. Hawa viongizi wafikiri zaidi ili kupata vyanzo vingine vya mapato..
 
Na hapo wamelenga kuwaadhibu wafanyakazi wote maana mishahara hupitia benki, hivyo hawawezi kwepa kukatwa.

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Hizo ni rate mpya na infact zimepunguzwa,kwani hujui kwamba transactions zimepunguzwa kwa 43%?

Tatizo lenu Mnakurupukia mkijua ni Kodi mpya wakati ilikuwepo toka mwaka Jana.
 
How how how
Kwani pesa zetu kukaa bank hazikatwi service charges?
Tozo ya nini kwa raia wenye kipato duni?

Mzigo wa kodi na bado zinatungwa sheria kukwapua kidogo unachobakinacho. State bulgary
 
Yaani mfano umelipwa mshahara na hio hio serikali ukaingia benki halafu unaenda benki au atm kutoa hela serikali tena wanakukata TOZO(Hapo kama bank nao huwa wanatoza unaliwa huku na huku)
Yaani tumekuwa tozonia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…