Serikali yafufua mchakato ujenzi Bandari ya Bagamoyo


Kwa sasa hatuna uwezo wa Kujenga Mpya

Karibu 23-24 Trilion zinahitajika kujenga mpya Hii ni Karibu makusanyo yetu kwa mwaka mzima ( Tukubali hatuwezi kuliko kuiuza nchi kirahisi ) Hakuna Mtu atakuja hapa akupe masharti mepesi

Cha Kufanyika kwa miaka 10 Ijayo Tujikite kwenye Chumi zalishi za Kilimo na Viwanda Vya Kuchakata mazao ( hii itatusaidia kuwa na vyakula vya kutosha na kuuza nchi jirani)


Angalia Sgr inavyotutesa kwenye bajeti hiyo ni projecy ya 13 Trilion na tuna phase 5-6 nadhani

kukubali kusubiri ni Busara mkuu Sir lanka waliona ujanja kuwahi ila now?

Tanga Iwe Bandari Pacha na Dsm Tutumie Vyema bahati hii ya kuwa na bandari pacha reli ipo TRC Klalala tu usingizi wa Porn..
 
Reactions: Tsh
Wamejua wameshagundulika janja yao...
 
MAGUFULI na UKATILI wake kwa RAIA Wake Aliupinga MRADI HUU
 
The African Report walishatoa uchambuzi wao makini tangu mwaka jana kwa jinsi gani itakuwa vigumu kumshawishi mchina kujenga hii bandari kipindi hiki

Kwa wafuatilaji wa mambo hili tulilitegemea
 
Tanzania: Why Bagamoyo Port deal with China is an uphill battle
 
Hatuwezi kujenga bandari,lakini tunaweza kununua magari kibao kwa ajiri ya msafara wa Raisi,wizara,mikoa,wilaya,na zingine tunashindwa kuzisimamia,zinaibwa,escrow,Richmond,pesa iliyopigwa ingeweza kujenga hii bandar
 
We jamaa huwa unashabikia ujinga tu kila mara.

Angalia hata maswali yako yasivyokuwa busara.
Jibu swali unaipanua Bandari ya Dar kuelekea wapi? kusini kuna daraja la kigamboni, mashariki kuna kambi ya navy Kigamboni, magharibi posta na hadi feri ikulu

Sasa tuambie unaipanua Bandari ya Dar kuelekea wapi?
 
Sidhani kama issue ni 10%. Mkataba ulikuwa na masharti magumu.
 
Ila mambo mengi ambayo mama anayawekaga hadharani kabla ya kuiva, yanabuma jamani. Hadi huruma yani. Mama aache kuweka hadharani vitu kabla hawajamaliza humo ndani. Usiri utawale.
Hata hizi reforms anazotamani ndani ya vyombo vya ulinzi na usalama hasa polisi, mabadiliko ya katiba na mazingira ya kidemokrasia, sijui kama yatafika material stage.
 
Jibu swali unaipanua Bandari ya Dar kuelekea wapi? kusini kuna daraja la kigamboni, mashariki kuna kambi ya navy Kigamboni, magharibi posta na hadi feri ikulu

Sasa tuambie unaipanua Bandari ya Dar kuelekea wapi?

Maanake Kigamboni isingepaswa kuwa Makazi kama wangeangalia Miaka 1000 mbele.

Kigamboni ingekua Economic Special Zonal ya Viwanda, Jeshi, Airport, Bandari , Tafiti mbali mbali ,

Eneo Hili Sijui kwanini Tuliruhusu Makazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…