Gilbert A Massawe
JF-Expert Member
- May 14, 2015
- 5,010
- 4,083
Ni kweli 10% ni ndogo kwenye maproject ya ndani kama ya kilimo ila 10% zisitusumbue sana tuna vidhibiti vyake ni kuviimarisha tu. Kuhusu bandari tuna tatizo la ukubwa wa kina kuruhusu meli kubwa pia business zone ambayo wafanyabiashara wakubwa wanaweza kuja na kukaa hata miezi 6 wakifanya mambo yao.
Sasa kuamua tuboreshe zilizopo au tujenge mpya ni suala la sisi kuangalia cost analysis, RIO na uwezo wa bandari husika kufanya kazi huku ikifanyiwa marekebisho.
Kwa sasa hatuna uwezo wa Kujenga Mpya
Karibu 23-24 Trilion zinahitajika kujenga mpya Hii ni Karibu makusanyo yetu kwa mwaka mzima ( Tukubali hatuwezi kuliko kuiuza nchi kirahisi ) Hakuna Mtu atakuja hapa akupe masharti mepesi
Cha Kufanyika kwa miaka 10 Ijayo Tujikite kwenye Chumi zalishi za Kilimo na Viwanda Vya Kuchakata mazao ( hii itatusaidia kuwa na vyakula vya kutosha na kuuza nchi jirani)
Angalia Sgr inavyotutesa kwenye bajeti hiyo ni projecy ya 13 Trilion na tuna phase 5-6 nadhani
kukubali kusubiri ni Busara mkuu Sir lanka waliona ujanja kuwahi ila now?
Tanga Iwe Bandari Pacha na Dsm Tutumie Vyema bahati hii ya kuwa na bandari pacha reli ipo TRC Klalala tu usingizi wa Porn..