Mdomo bakuli
JF-Expert Member
- Jan 7, 2017
- 3,442
- 7,007
Nasikia harufu ya Covid 19 kwa mbaliiii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wee kibarua wa lumumba ajira unazifahamu, au kwa kuwa akili zako zimefungiwa sandukuni huwezi fahamu!hazitoshi hata kuajiri watu mia? akili huna
Wazo zuri sana,sikukuu ya wakulima na fedha za wakulima zielekezwe kwa wakulima na siyo madalali wa wakulima kwenye sikukuu ya nanenane! Maana wanaokuja wengi si wakulima,na Madalali wa wakulima!! Mkulima masikini Yuko zake shamba,eti nyinyi huku Mjini mnakula sikukuu yake wakati mwenyewe hata habari hana!!Mpunga umekata tunafanya kuhamisha magoli tu.
Sector binafsi yenyewe hii inayolialia kila kukicha kisa vikodi vidogovidogo ndiyo itaweza!? Labda sector binafsi ya Dubai!!Kama wenyewe hawana hela si waruhusu sekta binafsi waendelee na hayo maonesho!
Huwa yanasaidia sana kwenye matanagazo ya biashara ya kampuni mbalimbali. Bora hata wangevifuta baadhi ya vikao vya Bunge.
Ile sheria ya kuingia na kuchota hela za watu bila notice haijapita tu?Mpunga umekata tunafanya kuhamisha magoli tu.
Ila na Ufisadi ulikua Mkubwa sana! Yaani kila Kona kulikua kumeooza sana kwa Ufisadi!!Waliomtangulia waliweza kufanya vyote, ajira zilikuwepo, barabara zilijengwa na Sherehe za kitaifa ziliazimishwa kama kawaida
Kama wwe una Kuku kweli!? Achana na kutegemea wateja wa Serekali,tengeneza wateja wako wwe alafu utaona na Serekali nayo inaanza kukutafuta mkae mezani muyajenge!!Duuuh! Hili ni pigo kubwa kwangu!! nilikuwa natarajia kuingia nane nane na kuku elfu moja! mara kwa mara sera za Tanzania zimekuwa zikinikwamisha na kunirudisha nyuma kiuchumi!! miaka Kama minne. Serikali ilikuja na sera ya leseni ya kitaifa kwasisi wafanyabiashara ya ng'ombe!
Watu tulifilisiwa na hii sera, ngombe zetu zilizuiliwa minadani na machinjioni!! Watu tulikata mitaji!!
Leo tema mmekuja na kuzuia n 88.
Nikama vile serikali mmekuwa mnatumika na shetani kunididimiza kiuchimi!! Sera za Tanzania sio rafiki kwangu!
[emoji106]Kama wwe una Kuku kweli!? Achana na kutegemea wateja wa Serekali,tengeneza wateja wako wwe alafu utaona na Serekali nayo inaanza kukutafuta mkae mezani muyajenge!!
Pole sana mkuu MnfumakoleDuuuh! Hili ni pigo kubwa kwangu!! nilikuwa natarajia kuingia nane nane na kuku elfu moja! mara kwa mara sera za Tanzania zimekuwa zikinikwamisha na kunirudisha nyuma kiuchumi!! miaka Kama minne. Serikali ilikuja na sera ya leseni ya kitaifa kwasisi wafanyabiashara ya ng'ombe!
Watu tulifilisiwa na hii sera, ngombe zetu zilizuiliwa minadani na machinjioni!! Watu tulikata mitaji!!
Leo tema mmekuja na kuzuia n 88.
Nikama vile serikali mmekuwa mnatumika na shetani kunididimiza kiuchimi!! Sera za Tanzania sio rafiki kwangu!
Awamu iliyopita haya yote yalifanyika bila hizi janjajanja. Acha kusingizia chadema.Magufuli akisema pesa zote ziende kujenga miundo mbinu mfano ya umwagiliaji asiajiri mnalalamika akisema basi tuajiri vijana waliomaliza mafunzo ya kilimo maafisa ugani ili pesa iliyokuwa iende kujenga miundombinu ya umwgiliaji wasikose ajira mnalakamika hivi nyie ngedere mnataka nini?
Asante Mungu kuwapiga pepo Chadema chini uchaguzi mkuu.
Ni ujinga kuwaita binadamu ngedere.Magufuli akisema pesa zote ziende kujenga miundo mbinu mfano ya umwagiliaji asiajiri mnalalamika akisema basi tuajiri vijana waliomaliza mafunzo ya kilimo maafisa ugani ili pesa iliyokuwa iende kujenga miundombinu ya umwgiliaji wasikose ajira mnalakamika hivi nyie ngedere mnataka nini?
Asante Mungu kuwapiga pepo Chadema chini uchaguzi mkuu.
Magufuli akisema pesa zote ziende kujenga miundo mbinu mfano ya umwagiliaji asiajiri mnalalamika akisema basi tuajiri vijana waliomaliza mafunzo ya kilimo maafisa ugani ili pesa iliyokuwa iende kujenga miundombinu ya umwgiliaji wasikose ajira mnalakamika hivi nyie ngedere mnataka nini?
Asante Mungu kuwapiga pepo Chadema chini uchaguzi mkuu.
Ngedele mwenyewe, kudadadeki! [emoji38][emoji38][emoji38]Magufuli akisema pesa zote ziende kujenga miundo mbinu mfano ya umwagiliaji asiajiri mnalalamika akisema basi tuajiri vijana waliomaliza mafunzo ya kilimo maafisa ugani ili pesa iliyokuwa iende kujenga miundombinu ya umwgiliaji wasikose ajira mnalakamika hivi nyie ngedere mnataka nini?
Asante Mungu kuwapiga pepo Chadema chini uchaguzi mkuu.