Serikali yafuta shughuli za Nanenane mwaka 2021

Serikali yafuta shughuli za Nanenane mwaka 2021

Mpunga umekata tunafanya kuhamisha magoli tu.
Wazo zuri sana,sikukuu ya wakulima na fedha za wakulima zielekezwe kwa wakulima na siyo madalali wa wakulima kwenye sikukuu ya nanenane! Maana wanaokuja wengi si wakulima,na Madalali wa wakulima!! Mkulima masikini Yuko zake shamba,eti nyinyi huku Mjini mnakula sikukuu yake wakati mwenyewe hata habari hana!!
 
Kama wenyewe hawana hela si waruhusu sekta binafsi waendelee na hayo maonesho!

Huwa yanasaidia sana kwenye matanagazo ya biashara ya kampuni mbalimbali. Bora hata wangevifuta baadhi ya vikao vya Bunge.
Sector binafsi yenyewe hii inayolialia kila kukicha kisa vikodi vidogovidogo ndiyo itaweza!? Labda sector binafsi ya Dubai!!
 
Waliomtangulia waliweza kufanya vyote, ajira zilikuwepo, barabara zilijengwa na Sherehe za kitaifa ziliazimishwa kama kawaida
Ila na Ufisadi ulikua Mkubwa sana! Yaani kila Kona kulikua kumeooza sana kwa Ufisadi!!
 
Naomba JPM ubatilishe huu uamuzi na huyu waziri hatufai kabisa. Wakati unahimiza kilimo chenye tija ili tuzalishe malighafi nyingi zenye viwango kwaajili ya viwanda huyu anakuja kudiscourage azma yako.

88 ni maonesho bora tz na sehemu pekee itakayokukutanisha na masoko, wazalishaji wa mbegu bora za kilimo na mifugo na teknolojia za kisasa. TARI uyole (maharage,parachichi, viazi mviringo), naliendele (korosho), Tanga (mkonge), kigoma (chikichi), dodoma (zabibu), moro, kibaha. Hizi taasisi bado hazifahamiki kwa wakulima wengi.

Hoja ya kuokoa fedha haina mashiko kwasababu 88 kiingilio ni sh 1000 na maelfu kama si malaki ya watu wanaingia kila siku, washiriki wanalipa fedha nyingi

Ikishindikana naomba wizara ya kilimo ijitoe ibaki sekta binafsi inayotaka kushiriki kuliko kuwanyima fursa ya kujitangaza
 
Duuuh! Hili ni pigo kubwa kwangu!! nilikuwa natarajia kuingia nane nane na kuku elfu moja! mara kwa mara sera za Tanzania zimekuwa zikinikwamisha na kunirudisha nyuma kiuchumi!! miaka Kama minne. Serikali ilikuja na sera ya leseni ya kitaifa kwasisi wafanyabiashara ya ng'ombe!

Watu tulifilisiwa na hii sera, ngombe zetu zilizuiliwa minadani na machinjioni!! Watu tulikata mitaji!!

Leo tema mmekuja na kuzuia n 88.

Nikama vile serikali mmekuwa mnatumika na shetani kunididimiza kiuchimi!! Sera za Tanzania sio rafiki kwangu!
Kama wwe una Kuku kweli!? Achana na kutegemea wateja wa Serekali,tengeneza wateja wako wwe alafu utaona na Serekali nayo inaanza kukutafuta mkae mezani muyajenge!!
 
Ipo siku wataufuta hata mwaka na kusema hatutaki mwaka wa beberu
 
Duuuh! Hili ni pigo kubwa kwangu!! nilikuwa natarajia kuingia nane nane na kuku elfu moja! mara kwa mara sera za Tanzania zimekuwa zikinikwamisha na kunirudisha nyuma kiuchumi!! miaka Kama minne. Serikali ilikuja na sera ya leseni ya kitaifa kwasisi wafanyabiashara ya ng'ombe!

Watu tulifilisiwa na hii sera, ngombe zetu zilizuiliwa minadani na machinjioni!! Watu tulikata mitaji!!

Leo tema mmekuja na kuzuia n 88.

Nikama vile serikali mmekuwa mnatumika na shetani kunididimiza kiuchimi!! Sera za Tanzania sio rafiki kwangu!
Pole sana mkuu Mnfumakole
 
Magufuli akisema pesa zote ziende kujenga miundo mbinu mfano ya umwagiliaji asiajiri mnalalamika akisema basi tuajiri vijana waliomaliza mafunzo ya kilimo maafisa ugani ili pesa iliyokuwa iende kujenga miundombinu ya umwgiliaji wasikose ajira mnalakamika hivi nyie ngedere mnataka nini?

Asante Mungu kuwapiga pepo Chadema chini uchaguzi mkuu.
Awamu iliyopita haya yote yalifanyika bila hizi janjajanja. Acha kusingizia chadema.
 
Magufuli akisema pesa zote ziende kujenga miundo mbinu mfano ya umwagiliaji asiajiri mnalalamika akisema basi tuajiri vijana waliomaliza mafunzo ya kilimo maafisa ugani ili pesa iliyokuwa iende kujenga miundombinu ya umwgiliaji wasikose ajira mnalakamika hivi nyie ngedere mnataka nini?

Asante Mungu kuwapiga pepo Chadema chini uchaguzi mkuu.
Ni ujinga kuwaita binadamu ngedere.
Lack of critical thinking.
 
Magufuli akisema pesa zote ziende kujenga miundo mbinu mfano ya umwagiliaji asiajiri mnalalamika akisema basi tuajiri vijana waliomaliza mafunzo ya kilimo maafisa ugani ili pesa iliyokuwa iende kujenga miundombinu ya umwgiliaji wasikose ajira mnalakamika hivi nyie ngedere mnataka nini?

Asante Mungu kuwapiga pepo Chadema chini uchaguzi mkuu.

Afute vikao vya bunge ili bunge liwe ni la siku 30 tu kwa mwaka, kisha pesa hizo zitumike kwenye mambo ya msingi maana hilo bunge linapoteza tu pesa za wananchi. Kwa sasa serikali haina hela kwa ajili ya miradi ya kukurupuka, hivyo kuliko kuliacha hilo bunge kibogoyo kuendelea na porojo, ni vyema hizo hela ziende kwingine na sio kwenda kupiga makofi mpaka huyo spika mzigo anawashangaa.
 
Magufuli akisema pesa zote ziende kujenga miundo mbinu mfano ya umwagiliaji asiajiri mnalalamika akisema basi tuajiri vijana waliomaliza mafunzo ya kilimo maafisa ugani ili pesa iliyokuwa iende kujenga miundombinu ya umwgiliaji wasikose ajira mnalakamika hivi nyie ngedere mnataka nini?

Asante Mungu kuwapiga pepo Chadema chini uchaguzi mkuu.
Ngedele mwenyewe, kudadadeki! [emoji38][emoji38][emoji38]
 
Nilipanga kwenda kununua machines Nanenane iniingizie kipato ni hatar sana.
Tukio lenyewe tunakutana mara 1 kwa mwaka
 
Back
Top Bottom