Serikali yafuta vijiji na vitongoji vyote vya wamasai wa Ngorongoro kupitia Amri ya tangazo la Serikali namba 673

Rudishieni masimbi kwa waarabu au wapeni tigo wawa samehe siye ardhi hatuachii ng'o na hizo hongo za msomera mkalale huko Umbwa nyie wa porini kabisa
 
Rudishieni masimbi kwa waarabu au wapeni tigo wawa samehe siye ardhi hatuachii ng'o na hizo hongo za msomera mkalale huko Umbwa nyie wa porini kabisa
Ujinga huu hautakusaidieni,Mlizaliwa na Ardhi nyie.

Badala ya kutukana hovyo jikite kuamua kupambana au kuondoka
 
Kwenye hili nakuunga mkono....Ardhi ni ya serikali, maamuzi yazingatie manufaa ya Taifa zima....
 
Mwee....mweee nyie


ni machawa tu wa ccm hamna pointi.....wapinzani bado wapo na wapo Persistent and determined......mnakuwa heart broken kwa kuwa kuna maslahi binafsi mlikuwa mnayatafuta baada ya kuyeyuka ndio mkakata tamaa.
maslahi gani? Ukweli ni huo siasa za tanzania zimebadilika sana ni tofauti na ilivyokuwa 2005-2015. vijana hasa wa vyuo walikuwa na mwamko wa siasa hasa wakiunga mkono chadema na walikuwa proud. sasa vijana hao wameguka kuwa machawa wa ccm wakitafuta uteuzi.
ilikuwa burudani sana kusikia wapinzani wakiibua madudu na kutema cheche bungeni ambapo mwisho walikuwa hata wabunge wa ccm wanaungana nao ila sasa mambo yamebadilika ni kama vile nchi inapitia zama za giza.
 
Mwee....mweee nyie


ni machawa tu wa ccm hamna pointi.....wapinzani bado wapo na wapo Persistent and determined......mnakuwa heart broken kwa kuwa kuna maslahi binafsi mlikuwa mnayatafuta baada ya kuyeyuka ndio mkakata tamaa.
maslahi gani? Ukweli ni huo siasa za tanzania zimebadilika sana ni tofauti na ilivyokuwa 2005-2015. vijana hasa wa vyuo walikuwa na mwamko wa siasa hasa wakiunga mkono chadema na walikuwa proud. sasa vijana hao wameguka kuwa machawa wa ccm wakitafuta uteuzi.
ilikuwa burudani sana kusikia wapinzani wakiibua madudu na kutema cheche bungeni ambapo mwisho walikuwa hata wabunge wa ccm wanaungana nao ila sasa mambo yamebadilika ni kama vile nchi inapitia zama za giza.
 
Serikali kupitia kifungu cha 30 cha Sheria ya Serikali za Mitaa (Mamlaka za Wilaya) Sura ya 287 kinachotoa ruhusa kwa mamlaka za Serikali kufanya mgawanyo wa Halmshauri za Wilaya;

Imetoa AMRI rasmi iliyotangazwa kwenye Gazeti la Serikali namba 673 la tarehe 02 Agosti, 2024; ili kufuta baadhi ya maeneo ya kiutawala kwenye mamlaka za Serikali za Mitaa hapa nchini kuelekea uchaguzi wa Serikali za Mitaa wa tarehe 27 Novemba, 2024.

Amri hii rasmi sasa inafuta Kata, Vijiji na Vitongoji katika Halmashauri za Wilaya zifuatazo; Ngorongoro, Bahi, Chemba, Kasulu, Kakonko, Hai na Rombo.

Katika Halmshauri ya Wilaya ya Ngorongoro pekee, kupitia AMRI hii, Serikali imezifuta Kata 11, Vijiji 25 na Vitongoji 96.

Garatwa,
Dar es Salaam, Tanzania.
20 Agosti, 2024.
View attachment 3074791
 
Na kwanini (kama ni lazima) wahamishiwe Tanga?

Na kama ni vijiji 25 tu, kumbe ni obvious kuwa bado eneo kubwa tu la Ngorongoro na vijiji vyake haviko kwenye mpango huu wa kufutwa..

Kama ni hivi, ni kwanini wasilipwe fidia zao tu na kila mtu ajue mwenyewe wapi atakwenda kuamua kwenda kuweka makazi yake ndani ya maeneo yao hayohayo ya asili badala ya kuwalazimisha kwenda mbali kote kule Msomera, Tanga tu?
 
Waliogeuka kuwa machawa waccm ni wasukuma waliomfata Jpm.

Wao walikuwa hawajali jamaa anavurunda au la ispokuwa Kabila tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…