Serikali yafuta vijiji na vitongoji vyote vya wamasai wa Ngorongoro kupitia Amri ya tangazo la Serikali namba 673

Serikali yafuta vijiji na vitongoji vyote vya wamasai wa Ngorongoro kupitia Amri ya tangazo la Serikali namba 673

Tatizo Tanzania hatuna upinzani wenye dira
upinzani wenye dira ambao hamuungi mkono. Upinzani unakuwa na nguvu unapokuwa backed up na wananchi. sasa wananchi wenyewe wako busy na simba na yanga na comasava we wategemea nini ndio maana wanafika muda mtu anaona anapigana vita ambayo anaowapigania wamelala bora na yeye ajiunge na ccm ale mema ya nchi.
 
upinzani wenye dira ambao hamuungi mkono. Upinzani unakuwa na nguvu unapokuwa backed up na wananchi. sasa wananchi wenyewe wako busy na simba na yanga na comasava we wategemea nini ndio maana wanafika muda mtu anaona anapigana vita ambayo anaowapigania wamelala bora na yeye ajiunge na ccm ale mema ya nchi.
Upinzani tuliuunga sana mkono 2005 hadi 2014 lakini ukaishia kutubwaga 2015
 
Tatizo Tanzania hatuna upinzani wenye dira
Tatizo ni kuwa hatuna vyombo huru na vya haki kusimamia uchaguzi, kwa Katiba, Tume hii na ushiriki wa vyombo vya dola kuisadia CCM kuiba kura hakuna Chama cha upinzani kinaweza kutangazwa kuishinda CCM.
 
Upinzani tuliuunga sana mkono 2005 hadi 2014 lakini ukaishia kutubwaga 2015
Naunga mkono hoja. Ila pia mazingira ya siasa za Tanzania yamebadilika sana hiki kipindi cha miaka 9. Vyama vya upinzani vinapata tabu sana na kipindi kile vijana hasa wa vyuo walikuwa proud kuwa upinzani, ila sasa wote wamegeuka machawa kutafuta uteuzi au favor.
 
Mwee....mweee nyie
Naunga mkono hoja. Ila pia mazingira ya siasa za Tanzania yamebadilika sana hiki kipindi cha miaka 9. Vyama vya upinzani vinapata tabu sana na kipindi kile vijana hasa wa vyuo walikuwa proud kuwa upinzani, ila sasa wote wamegeuka machawa kutafuta uteuzi au favor.

ni machawa tu wa ccm hamna pointi.....wapinzani bado wapo na wapo Persistent and determined......mnakuwa heart broken kwa kuwa kuna maslahi binafsi mlikuwa mnayatafuta baada ya kuyeyuka ndio mkakata tamaa.
 
Mwee....mweee nyie


ni machawa tu wa ccm hamna pointi.....wapinzani bado wapo na wapo Persistent and determined......mnakuwa heart broken kwa kuwa kuna maslahi binafsi mlikuwa mnayatafuta baada ya kuyeyuka ndio mkakata tamaa.
Maslahi binafsi alikuwa nayo aliyemchafua Lowasa na kumsafisha
 
Mwee....mweee nyie


ni machawa tu wa ccm hamna pointi.....wapinzani bado wapo na wapo Persistent and determined......mnakuwa heart broken kwa kuwa kuna maslahi binafsi mlikuwa mnayatafuta baada ya kuyeyuka ndio mkakata tamaa.
Maslahi binafsi alikuwa nayo aliyemchafua Lowasa na kumsafisha
 
Kule ni hifadhini sio makazi ya binadamu,Masai sio wa kwanza kuhamishwa kwenye Hifadhi.Imefanyija hivyo Ruaha,imefanyika hivyo kwenye migodi ya Madini na imefanyika hivyo maeneo mengine kupisha maendeleo.

Kipawa pale Hadi Leo hii watu wanadai fidia lakini Masai wanahamishwa na kulipwa Kila kitu nk nk.

Kwamba Masai ndio spesho sana au? Ngorongoro ni Mali ya Tanzania sio Masai.
kupisha uwizi
 
Mtu anahamishiwa eneo ambalo lina miundombinu yote barabara nzuri umeme maji anapewa nyumba mpya ya room 3 anapewa shamba la hekali 2 anapewa ngombe wa3 anapewa gunia 10 za mahindi kama haitoshi na bado anapata cash tsh 10ml; bado analeta ubishi wa kiduanzi tu,, yaani hawa lolote liwakute tu,,
ulisikia wanahaja nazo
 
Ni muhimu sana wakatii sheria bila shuruti, na ni jambo la maana zaidi wakaepuka ukaidi kwa kurubuniwa kifikra na wanaharakti uchwara au wanasiasa waliofulisika hoja huku wakidanganywa ati sheria na amri hiyo inaweza kubadilishwa 🐒

natoa Rai kwamba,
waondoke maeneo hayo ya hifadhi kwa amani mara moja 🐒
Waondoke ili Apewe mwarabu?
 
Wanafukuzwa au wanahamishwa ? Mara ngapi jamii zingine zimehqmishwa kupisha migodi au maendeleo ya jamii? What is so spesho Kwa masai?i
Ni ujinga kuleta siasa za kipumbavu hizo za ukabila kwenye ishu ya Ngorongoro,eti Waarabu..Kama ni ishu ya Waarabu Wazungu wapo hapo kabla hata ya hao unaoita Waarabu.

Masai wanahamishwa Kwa shughuli za uhifadhi, Vijijini vingi sana hapa Tanzania vimefutwa kisa uhifadhi zote huko wapo Waarabu? Acheni ujinga basi
Yaani wanaweza kuchukua hata wake zenu na mkakenua meno kama nyani....
 
Ngorongoro si hifadhi hata kidogo kama hujui uliza ujuzwe.

TANAPA ndipo zilipo hifadhi za taifa kama Serengeti,Mikumi,Tarangire,Kilimanjaro na nk.

Ngorongoro ni Conservation area.Ni eneo ambalo shughuli za utalii na muingiliano na binadamu upatikana.

Ngorongoro ni tofauti kabisa na hifadhi za taifa.
Huyo zwazwa hawezi elewa hiyo Mambo yupo kushabikia kijani
 
Hao wamasai waachwe wakae humo humo, Muwekezaji aje na Mpango wa namna gani ataishi na wamasai, wanyama na kufanya uwekezaji bila kuathiri ecologia ya eneo husika. Hii kufukuza fukuza wamasai ni ujinga usio sio kubalika, wawekaji waje na dubwana la namna gani watafanya yote wanayotaka kuyafanya bila kumuathiri yeyote aliyekuwepo, aliyepo au na atakayekuwepo. Nchi nyingi duniani zinafanya uwekezaji bila kuathiri wanyama, watu au ecologia ya eneo husika.. kama wakishindwa, maana yake , hata huo uwekezaji ni magumashi... hakuna cha carbon offsetting na ndugu yake, ni utapeli tupu...
 
AMRI YA MAREKEBISHO YA AMRI YA MGAWANYO WA MAENEO YA UTAWALA KATIKA SERIKALI ZA MITAA (MAMLAKA ZA WILAYA) YA MWAKA 2024

1. Amri hii itajulikana kama Amri ya Marekebisho ya Amri ya Mgawanyo wa Maeneo ya Utawala katika Serikali za Mitaa (Mamlaka za Wilaya) ya Mwaka 2024 na itasomwa pamoja na Amri ya Mgawanyo wa Maeneo ya Utawala katika Serikali za Mitaa (Mamlaka za Wilaya) ya Mwaka 2019 ambayo hapa imerejewa kama "Amri kuu".

2. Amri kuu inarekebishwa katika Jedwali kwa kufuta kata, vijiji na vitongoji katika Halmashauri za Wilaya ya Ngorongoro, Bahi, Chemba, Kasulu, Kakonko, Hai na Rombo kama ilivyoainishwa katika Jedwali.

Hili ni Tangazo la Serikali namba 673 la Agosti 2, 2024.

Kwa mujibu wa tangazo hili, vitongoji 96 na vijiji 25 vya Ngorongoro vimefutwa.
View attachment 3074381

Pia soma
OMBI langu kwa serikali iboreshe mazingira kule mvomero ya Barbara, hospitali maji ,maeneo ya malisho na ufugaji, umeme na malazi Bora kwa Hawa wamasai

Hili eneo la ngorongoro litakuwa na faida sana kwa nchi hapo badaye wazungu na waarabu watakpokuja kula maisha na chupi zao sisi tupate hela
 
Back
Top Bottom