Serikali yafuta vijiji na vitongoji vyote vya wamasai wa Ngorongoro kupitia Amri ya tangazo la Serikali namba 673

Serikali yafuta vijiji na vitongoji vyote vya wamasai wa Ngorongoro kupitia Amri ya tangazo la Serikali namba 673

Yaani leo wamekuwa kama Aborigines na red Indians kweli
Dunia hadaa
Mali kitu kibaya sana
 
Wanakueleza msomera walipeleka watoto, ili wakiwauwa wote kizazi chao kibakie walau, na wako tayari kufa muda wowote lakini sio kuhama ngorongoro, Kwa hapo hata serikali ilipigwa chenga ya mwili
 
Wanakueleza msomera walipeleka watoto, ili wakiwauwa wote kizazi chao kibakie walau, na wako tayari kufa muda wowote lakini sio kuhama ngorongoro, Kwa hapo hata serikali ilipigwa chenga ya mwili
mungu awasaidie wamasai na sisi tutainuka siku moja isio na jina
 
Hawa wamasai tusiwachukulie poa,
Wao wanasema waliruhusu watoto wao wahamie msomera lakini wao kamwe hawatohama pale hata iweje,
Tena aliyekua anaongea anasema wao wana akili eti wahamishwe kisa eti ujenzi wa mahoteli ya kitalii? Hapana rafiki,
Wamasai ni watu jasiri sana na hua hawana maneno na mtu ukiona hadi wao wanajua wanaonewa ujue kweli umewaonea vya kutosha,
Viongozi ogopeni wananchi wanaosema wako tayari kufa, yaani hao inabidi uwape haki yao mapema kabisa,
Nasikitika sana hata intel walishindwa kuelewa hii move.

Ukiwa kiongozi, haimaanini una akili kuwazidi waongozwa
 
Hawa wamasai tusiwachukulie poa,
Wao wanasema waliruhusu watoto wao wahamie msomera lakini wao kamwe hawatohama pale hata iweje,
Tena aliyekua anaongea anasema wao wana akili eti wahamishwe kisa eti ujenzi wa mahoteli ya kitalii? Hapana rafiki,
Wamasai ni watu jasiri sana na hua hawana maneno na mtu ukiona hadi wao wanajua wanaonewa ujue kweli umewaonea vya kutosha,
Viongozi ogopeni wananchi wanaosema wako tayari kufa, yaani hao inabidi uwape haki yao mapema kabisa,
 
Wanaojua historia watakwambia.....wachaga kwa maelfu walihamishiwa Mkoa wa Morogoro enzi za Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. Wengi walikita kambi maeneo ya Turiani, na sasa wamekuwa matajiri wakubwa, hata tajiri wa mabasi ya BM ni mchaga wa Turiani.

#twendeMsomera
 
Wengi walikuwa wapare na si wachaga ila pia sababu za nyerere na hizi ni tofauti
 
Back
Top Bottom