Hizo sera mbovu za utalii , mtalii anazipata wapi kama sio kutoka "saccos"Mtalii mwenye akili timamu aliyetafuta pesa yake kwa jasho na damu hawezi kukubali kurudi kwenye nchi iliyojaa sera mbovu za utalii.
Kama mimi ni mtalii, hiyo pesa ya kurudi tanganyika bora nikanywee K-Vant
Asante, umegusia kitu muhimu sana...creativity. You cant use the same phrase Come, land of Kilimanjaro for decades...nakuja one time so why next time nije...nini kipya ?Nadhani tunatangaza vitu tunavyoita vivutio lakini hata wenyewe sisi watz havituvutii......
Unajua ili uweze kumvuta mtalii ni vema ujue nae ni mwanadamu kama sisi, na anavutiwa na vile vitu tunavyoweza vutiwa navyo pia.
Inabidi tuongeze creativity ya kuweka vivutio ambavyo hata watu wa ndani pia wapo interested. Hebu tazama Malaysia kwa mfano, kule kuna wanawake wazuri, chakula kizuri, hoteli safi, culture profile ya kueleweka. Sasa mzungu anapokwenda kule inakuwa ni sehemu ya kutalii kweli kweli na kufurahia maisha.
Wazungu nao ni watu kama sisi, wanapokuja wanataja kuenjoy maisha ambayo sisi pia tuna enjoy sio kuwa igizia maisha ambayo hatuyaishi. Imagine mzungu anakuja unamuwekea ngoma za asili, hivi hizo ndizo ngoma unazosikiliza kila siku miaka hii?!
So hebu tutafiti kwa wenzetu Dubai na Malaysia........ Tujifunze then tuestablish.
Exactly.Customer Service.
Jana mgeni alirudia getini pale lake eyasi! Ni travel agent kutoka ufaransa! Yeye alijua kwa kichwa ni $20 -30 kwa kumbukumbu zake alipoitembelea Tanzania 2018. Alishtushwa kuambiwa kwa sasa ni $110 haijalishi anaingia Eyasi kufanya nini! Dah!! Akasema basi akaangalie eneo analotaka kuwekeza lodge la mdau mmoja akaambiwa haijalishi pale getini ataacha $110 na huko anakokwenda atawalipa $20 kila kituo! Akauliza mbona ni ghali kuliko kuingia serengeti au ngorongoro? Sio kwamba alikuwa hana ila ilimvunja moyo akasema geuza gari nipeleke hotelini karatu nikapumzike na sirudi na sileti mgeni Eyasi tena! Gari likageuzwa na ukawa mwendo wa kurusha rusha mikono na kubonga kifaransa Kwa hasira!Juzi hapa Katibu Mkuu wa Wizara ya Utalii alikutana na wafanyakazi wa wizara hiyo katika kujadili masuala ya utalii na changamoto zake alikiri kuwa zaidi ya 80% ya watalii wanaotembelea Tanzania huwa hawarudu tena, wakishakuja mara moja wengi wao huwa hawarudi tena.
Maana yake ni kuwa sisi Tanzania kila mwaka tunategemea watalii wapya, hatuwezi kuwatuliza(keep) ama kuwahakikishia watalii wa zamani kurudi tena Tanzania kufurahia vivutio vyetu vya utalii.
Retention yetu ya watalii ni chini ya 20%. Maana yake ukuaji wa utalii wetu bado una changamoto kubwa sana.
Nikitoa my personal experience, nilitembelea Kisiwa cha Saa Nane, Mwanza, tukakutana na tour guide wa kike, wote tuliofika pale siku hiyo hatuwezi kutamani kurudi tena, mimi na wenzangu siku hiyo tulikuwa disappointed, siwezi kutamani hata kwa bunduki kutembelea tena hiyo hifadhi.
Nimewahi kwenda Serengeti National park mara 2, kwa pale niko tayari kurudi maana mategemeo yangu yalikamilika kwa zaidi ya 80%.
Je, unadhani ni kwanini watalii wa nje hawarudi tena baada ya kutembelea Tanzania.
=============
ARUSHA
Wamiliki wa makampuni ya watalii, wadau ya sekta ya utalii nchini Tanzania ikiwemo wahifadhi wastaafu wameelezea sababu tano zinazowafanya watalii waliotembelea nchini wasirudi kwa mara ya pili.
Sekta ya utalii inachangia asilimia 17.5 ya pato la Taifa pia asilimia 25 ya mapato ya fedha zote za kigeni nchini ambapo kwa sasa inatembelewa na watalii milioni 1.2. Serikali inalenga mpaka 2025, Tanzania inatakiwa kupokea angalau watalii milioni tano na kukuza mapato ya fedha za kigeni kutokana na utalii mpaka dola bilioni 6 kutoka dola bilioni 2.5 kwa mwaka.
Wakiongea na gazeti la Citizen, washika dau wameainisha sababu kama gharama kubwa ambazo watalii wanaingia wakitembelea Tanzania, huduma kwa wateja isiyoridhisha kwenye mahoteli na watoa huduma wengine.
Kulingana na wao, miundombinu mibovu, makampuni ya watalii yanayoshindwa kutimiza ahadi zao walizowapa wateja na wafanyakazi kukosa uadilifu ikiwemo kuwalangua watalii. Akiongea na Citizen, mhifadhi mstaafu, Erastus Lufungilo ambae kwa sasa ni mkurugenzi wa kampuni ya utalii ya Burudika amesema watalii walilazimika kutumia fedha zaidi kutokana na kukosekana kwa ndege za moja kwa moja kutoka kwenye nchi zao ikiwemo Ulaya na Marekani kuja Tanzania. "Utalii ni gharama, hii ni kwasababu kutembelea Tanzania kwasasa ni gharama kuliko kutembelea Kenya au Afrika kusini" Alieleza.
Kulingana na yeye, makampuni mengi ya utalii yana mapungufu katika kuendesha biashara na kuongoza watalii kunakosababishwa na upungufu wa wafanyakazi wataalam na kusababisha matatizo.
"Baadhi ya waongoza watalii wanachukua hela kutoka kwa watalii lakini chaajabu huwezi kuwakuta uwanja wa ndege kuwapokea watalii. Hata wakijitokeza kuwapokea ambao wanalipwa hela nyingi, hawatoi huduma bora" Alisema Lufungilo
Kwa upande wake, mwenyekiti wa chama cha waongoza watalii(TTGA) amesema wingi wa kodi zinazotozwa kwa makampuni ya watalii na waongoza watalii imesababisha watalii kutomudu gharama kwa watalii wengi ambao wanashindwa kuitembelea tena Tanzania.
"Kuna kodi nyingi sana na kila siku kodi mpya zinatangazwa na kuwalazimu wamiliki kupandisha gharama ili kupata faida. Alisema ndugu Mollel. Alihoji kwanini baadhi ya mashrika ya ndege kuchaji dola 500 zaidi kwa tiketi safari kutoka Ulaya kuja Tanzania ikilinganishwa na viwanja vingine vya ndege kwenye nchi za jirani.
Akifungua mkutano wa mwaka kwa wahariri na waandishi waandamizi kwenye sekta ya utalii, katibu mkuu wizara ya Utalii na maliasili, Aloyce Nzuki amewataka wanahabari wafikiri kwa makini kwanini asilimia 20 pekee ya watalii wanaitembelea tena Tanzania.
Dr. Nzuki amevitaka vyombo vya habari nchini kutoa taswira nzuri ya nchi kabla na baada ya watalii kutembelea Tanzania
View attachment 1666303
Story yako ni story nzuri sana. Kwamba ufanisi ni mdogo sana , masoko, bei ni ndogo sana.Jana mgeni alirudia getini pale lake eyasi! Ni travel agent kutoka ufaransa! Yeye alijua kwa kichwa ni $20 -30 kwa kumbukumbu zake alipoitembelea Tanzania 2018. Alishtushwa kuambiwa kwa sasa ni $110 haijalishi anaingia Eyasi kufanya nini! Dah!! Akasema basi akaangalie eneo analotaka kuwekeza lodge la mdau mmoja akaambiwa haijalishi pale getini ataacha $110 na huko anakokwenda atawalipa $20 kila kituo! Akauliza mbona ni ghali kuliko kuingia serengeti au ngorongoro? Sio kwamba alikuwa hana ila ilimvunja moyo akasema geuza gari nipeleke hotelini karatu nikapumzike na sirudi na sileti mgeni Eyasi tena! Gari likageuzwa na ukawa mwendo wa kurusha rusha mikono na kubonga kifaransa Kwa hasira!
Hii sio poa kwa kukuza utalii , unakuta umepiga sound nzuri kwa nchi na vivutio anakuja mgeni anakutana na ma bush lawayers kwenye mageti huko unaambulia kuficha uso!
Nilikuwa natazama documentary ya utalii. Kuna wageni kutoka New York wamekuja, na wengi wa hao wageni ni wafanyabiashara, aisee nasikitika wapokeaji wa hao wageni walikuwa ni wazee watu wazima sana.Asante, umegusia kitu muhimu sana...creativity. You cant use the same phrase Come, land of Kilimanjaro for decades...nakuja one time so why next time nije...nini kipya ?
Pia marketing tools na strategies. Wenzetu you test your ads, get feedback then you use them. Sasa waziri yule msanii anaogelea na Wema then take a video na kupost eti kuvuta watalii... !!
Wao wakiona hilo sura baya tu wanaboreka, why not post hiyo waterfall , sema ipo wapi na pia some key Flora na fauna around it.
Vivutio vya sisi au wanasiasa wetu sio vivutio vya watalii, na bila kujua tunataka akina nani... target, tutaishia kama huyu juzi alisema eti uwanja wa mpira mpya Chato utaongeza utalii. Labda vichaa, mtu atoke UK kwenye viwanja kama OT, Wembley aje Chato ???
Hahahahaha sawa mkuuNipo tu nimejaa. Niondoke JF nikonde???
Khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee nchi gani ina kodi rafiki?Mimi naona watanzania tunahitaji elimu kwa kiwango cha hali ya juu sana.
Wala hatuna sababu ya kwenda mbali kama Ulaya au hats South Afrika, tuje kwa jirani zetu was Kenya.
Ukimwajiri mkenya kama mhudumu wa hotel, mgahawa ama bar utaona tofauti kubwa sana na Mtz, kwa sababu anawapokea wageni kwa haraka na kwa ukarimu.
Pili, lugha wanayotumia wafanyakazi was TRA no ngumu, kwa sababu wanamchukulia mfanyabiashara kama mkwepa kodi, na hii no Sera ya serikali yetu.
Tens kodi zetu so rafiki kwa watalii na hats kwa wafanyabiashara, hii inapelekea kuwe na gharama kubwa sana zinazotozwa kwa watalii kwa sababu ya wingi na ukubwa wa kodi zetu.
Hivi, kutokana na kodi zetu kuwa nyingi na kubwa unatozaje kodi za vitanda wakati unataka watalii wake kwa wingi?
Kwa maelezo yako umesema ulikwenda kisiwa Cha Saa Nane ukakutana na tour guide mwanamke na ukakata shauri la kutorudi tena huko, sababu ni tour guide ni mwanamke ama? Je, huyo tour guide alikuwa na matatizo gani kwenu, kajichubua, ananuka makwapa, ananuka mdomo, ana asili ya kigaidi ama?Juzi hapa Katibu Mkuu wa Wizara ya Utalii alikutana na wafanyakazi wa wizara hiyo katika kujadili masuala ya utalii na changamoto zake alikiri kuwa zaidi ya 80% ya watalii wanaotembelea Tanzania huwa hawarudu tena, wakishakuja mara moja wengi wao huwa hawarudi tena.
Maana yake ni kuwa sisi Tanzania kila mwaka tunategemea watalii wapya, hatuwezi kuwatuliza(keep) ama kuwahakikishia watalii wa zamani kurudi tena Tanzania kufurahia vivutio vyetu vya utalii.
Retention yetu ya watalii ni chini ya 20%. Maana yake ukuaji wa utalii wetu bado una changamoto kubwa sana.
Nikitoa my personal experience, nilitembelea Kisiwa cha Saa Nane, Mwanza, tukakutana na tour guide wa kike, wote tuliofika pale siku hiyo hatuwezi kutamani kurudi tena, mimi na wenzangu siku hiyo tulikuwa disappointed, siwezi kutamani hata kwa bunduki kutembelea tena hiyo hifadhi.
Nimewahi kwenda Serengeti National park mara 2, kwa pale niko tayari kurudi maana mategemeo yangu yalikamilika kwa zaidi ya 80%.
Je, unadhani ni kwanini watalii wa nje hawarudi tena baada ya kutembelea Tanzania.
=============
ARUSHA
Wamiliki wa makampuni ya watalii, wadau ya sekta ya utalii nchini Tanzania ikiwemo wahifadhi wastaafu wameelezea sababu tano zinazowafanya watalii waliotembelea nchini wasirudi kwa mara ya pili.
Sekta ya utalii inachangia asilimia 17.5 ya pato la Taifa pia asilimia 25 ya mapato ya fedha zote za kigeni nchini ambapo kwa sasa inatembelewa na watalii milioni 1.2. Serikali inalenga mpaka 2025, Tanzania inatakiwa kupokea angalau watalii milioni tano na kukuza mapato ya fedha za kigeni kutokana na utalii mpaka dola bilioni 6 kutoka dola bilioni 2.5 kwa mwaka.
Wakiongea na gazeti la Citizen, washika dau wameainisha sababu kama gharama kubwa ambazo watalii wanaingia wakitembelea Tanzania, huduma kwa wateja isiyoridhisha kwenye mahoteli na watoa huduma wengine.
Kulingana na wao, miundombinu mibovu, makampuni ya watalii yanayoshindwa kutimiza ahadi zao walizowapa wateja na wafanyakazi kukosa uadilifu ikiwemo kuwalangua watalii. Akiongea na Citizen, mhifadhi mstaafu, Erastus Lufungilo ambae kwa sasa ni mkurugenzi wa kampuni ya utalii ya Burudika amesema watalii walilazimika kutumia fedha zaidi kutokana na kukosekana kwa ndege za moja kwa moja kutoka kwenye nchi zao ikiwemo Ulaya na Marekani kuja Tanzania. "Utalii ni gharama, hii ni kwasababu kutembelea Tanzania kwasasa ni gharama kuliko kutembelea Kenya au Afrika kusini" Alieleza.
Kulingana na yeye, makampuni mengi ya utalii yana mapungufu katika kuendesha biashara na kuongoza watalii kunakosababishwa na upungufu wa wafanyakazi wataalam na kusababisha matatizo.
"Baadhi ya waongoza watalii wanachukua hela kutoka kwa watalii lakini chaajabu huwezi kuwakuta uwanja wa ndege kuwapokea watalii. Hata wakijitokeza kuwapokea ambao wanalipwa hela nyingi, hawatoi huduma bora" Alisema Lufungilo
Kwa upande wake, mwenyekiti wa chama cha waongoza watalii(TTGA) amesema wingi wa kodi zinazotozwa kwa makampuni ya watalii na waongoza watalii imesababisha watalii kutomudu gharama kwa watalii wengi ambao wanashindwa kuitembelea tena Tanzania.
"Kuna kodi nyingi sana na kila siku kodi mpya zinatangazwa na kuwalazimu wamiliki kupandisha gharama ili kupata faida. Alisema ndugu Mollel. Alihoji kwanini baadhi ya mashrika ya ndege kuchaji dola 500 zaidi kwa tiketi safari kutoka Ulaya kuja Tanzania ikilinganishwa na viwanja vingine vya ndege kwenye nchi za jirani.
Akifungua mkutano wa mwaka kwa wahariri na waandishi waandamizi kwenye sekta ya utalii, katibu mkuu wizara ya Utalii na maliasili, Aloyce Nzuki amewataka wanahabari wafikiri kwa makini kwanini asilimia 20 pekee ya watalii wanaitembelea tena Tanzania.
Dr. Nzuki amevitaka vyombo vya habari nchini kutoa taswira nzuri ya nchi kabla na baada ya watalii kutembelea Tanzania
View attachment 1666303
Kama nilivyokupuuza tu wwUtakuwa mpuuzi, hivyo ni mtu wa kupuuzwa
Sijui ndo uzalendo ama Ni Nini lakini kiukweli sisi tunaona Tanzania Kama nchi ya kipekee Sana duniani kitu ambacho sio kweli, Wala si kweli kuwa Tanzania ni nchi pekee ya kuvutia watalii duniani. Kuna nchi nyingi duniani Zina vivutio vya kutosha hasa wanyama wa mwitu. Hapa Afrika tu Kuna nchi Kama Botswana, Namibia na south Afrika Zina wanyama wengi na vivutio vingi hata nje ya wanyama.
Kitu mingine ni sera mbovu za utalii. Tunachikulia watalii Kama Matajiri Sana hivyo gharama ni kubwa Sana.
Roma ,ugirigi na uturuki Kuna Majengo Yana miaka zaidi ya 800 na bado hapo Hadi leo sisi huko Zanzibar jengo la miaka 200 linaanguka, serikali mbovu isiyojali.
Kikubwa tuboreshe mazingira ya kuvutia watalii hasa usafiri na makazi ikiwemo vyoo. Pia tupunguze kodi.
Kuna nchi Kama Marekani, India, Amerika kusini na hata baadhi ya nchi za ulaya Zina vivutio vizuri Sana vya utalii kuzidi kwetu. Lakini sisi tunajiona Kama Ni wa pekee zaidi duniani.
The lower the price at good service level, the higher the number of customers joining the service.
Unaweza kuweka hiyo kauli au maandishi yako hapa kama sio bendera kufuata upepo na muendelezo wakuonyesha ulivyo mpuuuziKama nilivyokupuuza tu ww