Serikali yakiri makosa kuwalazimisha Wafanyakazi wa Umma kununua laini ya simu ya TTCL

huyo nae ni mnafiki ana chuki binafsi na jiwe kwa kumtumbua enzi zile.
 
Hizo hizo public phones ndizo wangezitumia Makamba, Kinana na Nape "kutrepiwa".
 
Hii ni petty issue
 
Nchi ilikua inaendeshwa na genge fulani na kwa matakwa yao binafsi .
 
Ujinga utakuisha lini? Utaupenda vipi mtandao hauvuki mji?
 
Kwa hiyo watumishi wa umma kujiunga TTCL haikuwa sera ya sirikali, lilikuwa tamko.....
 
Kwa hiyo watumishi wa umma kujiunga TTCL haikuwa sera ya sirikali, lilikuwa tamko.....
Hakuna mtumishi wa serikali kwa private communication aliyeambiwa kujiunga ttcl ila provider wa serikali kwa official communications ndiyo alikuwa ttcl msipotoshe umma kwa maslahi yenu binafsi...Fanyeni deal zenu bila kutaka ku smear mad kwa wenzenu...
 
Kwa hiyo hakukuwa na tamko watumishi wa umma kutakiwa kujiunga TTCL kuwaongezea wateja, wote wanaoongea hapa wewe ndo pekee unayejua.......acha ukilaza basi.
 
Kwa hiyo hakukuwa na tamko watumishi wa umma kutakiwa kujiunga TTCL kuwaongezea wateja, wote wanaoongea hapa wewe ndo pekee unayejua.......acha ukilaza basi.
Hakujawahi kuwepo...Lilete hapa kama unalo!
 
Shirika la posta tz limekalia kuiba parcels za wateja wao, hovyo sana
 
Shirika la posta tz limekalia kuiba parcels za wateja wao, hovyo sana

Hakuna siku nimekasirika kama nilipotuma documents zangu bongo tena zingine hazina copy kabisa
Nimetrace mpaka posta Dar
Eti hawakupokea huku wanasema zimefika
Walinikera sana walifikiri kuna hela
Wametupa docs zangu bure
Huku wanasema wanilipe fidia nikawaambia ni priceless hata wakinipa millions haitarudisha hizi og

Hao ni takataka kabisa
 
Wale wafanyakazi wana njaa saana
Kila kitu ni kuchakura na kupotea nacho gizani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…