Serikali yakwama ujenzi Mji mpya wa NSSF Dege Eco Village Kigamboni, yatangaza kuuza mradi

Kwa hiyo alishindwa kuwashughulikia kwa miaka 5 yote.
Majengo yalitelekezwa hadi nilipokuwa nikipita nashangaa inakuaje mradi umeshatumia mamilion ya pesa umefika pale halafu majumba yanaachwa tu yaoze
Kuwashughulikia mafisadi kunahitaji muda mrefu
 
Kwa hiyo alishindwa kuwashughulikia kwa miaka 5 yote.
Majengo yalitelekezwa hadi nilipokuwa nikipita nashangaa inakuaje mradi umeshatumia mamilion ya pesa umefika pale halafu majumba yanaachwa tu yaoze
Sio tu kutekelezwa, yaani vifaa vyote mule kama magari, sijui vifaa vya ujenzi nk vimeibiwa karibia vyote
 
Roho mbaya, visasi na chuki vya JPM ndio vilisababisha mradi kusimama.
Nambie kimewashinda kipindi kuendeleza?
Miradi wa kifisadi from the beginning unaweza kuwa na matokeo chanya?
Akili zako ndogo hufikirii kwa nini miradi mingi ya majengo ya kibiashara hazina wapangaji?
Hayo magorofa unayoyaona hapo Dar gorofa za juu haina wangaji miaka nenda rudi!
Walikuwa wanaazisha miradi ya kifisadi wapige ten percent lakini wewe juha umekazania kumlaumu JPM!
Juzi hapa mlisema mmeshafungua nchi! What's wrong going on?
 
Hizi pesa za wafanyakazi ni za kuchangia wajanja wachache wafanye miradi ya ujanja ujanja kama hii kwa malengo ya kujitajirisha huku wastaafu wakisota kupata mafao yao na kubanwa na kikokotoo......nchi ya kindezi sana hii.
 
Ni wakati wetu kumiliki majengo makubwa baada ya fitina ya muda mrefu.....
 
Muda mrefu huku majengo yanaoza na kushuka thamani? Muda mrefu kiasi gani? Maana hata aliunda mahakama lakink hakuna fisadi lolote tuliwahi kusikia limepelekwa huko kwa miaka yote 5.
Kila alipojitahidi kuwakamata mnadai hawapendi matajiri anakinyongo nao,akina Manji wote walifirisi NSSF kwa kukopa, lakini Magufuli alivyoanza kumshugulikia makelele kibao,akina Lugemalira wa IPTL walipigiwa kelele na akina Lissu bungeni, lakini Magufuli alivyoanza kuwashugulikia mkaanza kusema wanaonewa, Watanganyika kwa unafiki hawajambo.
 
Ni awamu ya mwendazake sio hii
mwendazake ndiye aliyeupiga chini huo mradi.mnyonge mnyongeni haki yake mpeni.mwenye huu mradi anajulikana tena wakati huo kuna nsomile mmoja aliupigia promo sana huo mradi.
 
Embu niambie Manji alikopaje NSSF?!
 
Duh...!. Bonge la fursa hili!.
Hapa Mchechu hawezi kuacha hii opportunity!.
Hapa matajiri watauwana!.
Huu ni wakati sasa wa PPR kuachana na media business na kuingia kwenye real estate na property!.
P
🤣🤣🤣kaka Pascal PPR itaweza hiyo ligi kweli?hapo tayari wakubwa washapangana,DG anakamilisha tu maandalizi ya mchezo.PPR jikite kwenye low cost housing,maeneo ya Kibaha,Kimara Bonyokwa,Kirungure,Mkuranga,Vianzi.nk.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…