Bepari2020
JF-Expert Member
- Nov 7, 2020
- 2,072
- 2,453
Aiseee
GSM au Wachina wanaununua
Hao wawekezaji watanunua, wataumaliza baadaye CCM itakuja kuwapora.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aiseee
GSM au Wachina wanaununua
Acha porojo wewe...Hapana.jpm alitaka kuwashughulikia walioufisadi bahati mbaya akatutoka.kwa sasa mafisadi wamerudi na wanataka wajiuzie wao ili waendeleze kunufaika hao mafisadi
Aliyeshiba hamjui mwenye njaa !! Tutabaki tunasema Lakini Mungu yupo !!Hizi pesa za wafanyakazi ni za kuchangia wajanja wachache wafanye miradi ya ujanja ujanja kama hii kwa malengo ya kujitajirisha huku wastaafu wakisota kupata mafao yao na kubanwa na kikokotoo......nchi ya kindezi sana hii.
lini NSSF na mashirika mengine ya umma yakafanya biashara ndugu zangu kama si mwanya wa kufisadi michango ya wanachama wao maskini as a result.View attachment 2398070
Baada ya kusuasua kukamilika kwa mradi wa Dege Eco Village kwa thamani ya dola 653 milioni za Marekani (zaidi ya Sh1.3 trilioni), Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) lililokuwa linautekeleza limetangaza kuuza kwa mwekezaji mwingine atakeyevutiwa nao.
Ujenzi wa mradi huo wa mji mpya wa Kigamboni jijini Dar es Salaam ulioanzishwa na NSSF mwaka 2014 ulisimama tangu Januari 2016 ukidaiwa kufisidi zaidi ya Sh179 bilioni hivyo kutokamilika kwa nyumba za kifahari, hoteli, maduka makubwa, eneo la wazi la mapumziko, baa, shule, hospitali, kumbi za mikutano, nyumba za ibada na migahawa.
Taarifa iliyosainiwa na Mkurugenzi Mkuu wa NSSF, Masha Mshomba na kusambazwa Jumanne Oktoba 25 imetangaza kutafutwa kwa mzabuni atakayeuendeleza mradi huo.
“NSSF inakusudia kuuza mradi mzima wa Dege Eco Village, shirika halitowajibika tena baada ya mauzo haya. NSSF inakaribisha zabuni zilizofungwa kuununua mradi huu kwa viwango vya kimataifa vilivyoainishwa kwenye Kanuni za Ununuzi wa Umma zilizochapishwa kwenye gazeti la Serikali namba 446,” inasomeka sehemu ya taarifa ya NSSF.
Kwa wawekezaji watakaovutiwa kuuendeleza mradi huo uliosimama kwa miaka saba sasa, NSSF imesema wanaweza kuutembelea huko Rasi ya Dege iliyopo Kigamboni jijini hapa ili kuukagua na kujiridhisha na mandhari yake kuanzia saa 4:00 asubuhi mpaka saa 7:00 mchana wa Novemba 3.
Zabuni zote, shirika hilo limesema zinapaswa kuwasilishwa mpaka Novemba 14, saa 9:00 alasiri kabla hazijafunguliwa mbele ya waombaji wote watakaokuwa wamejitokeza kwenye ukumbi wake uliopo ghorofa ya saba katika Jengo la Benjamin William Mkapa.
View attachment 2398094
Pia, soma=> Dar: Mradi wa Dege Eco village uliotelekezwa Kigamboni
Nadhani alitaka kwanza kupata uhakika wa kuwepo madarakani kwa muda mrefu zaidi ndipo angekuwa na uhakika wa kuwashughulikia hao magwiji aliokuwa anazijua habari zao !! Nadhania tu. !!!Acha porojo wewe...
Yaani since 2016 hadi 2020 bado tu "alitaka kuwashughulikia"?!
Btw, kama ambavyo aliwahi "kumshughulikia" mnene yupi serikalini na taasisi zake?!
Na kama alitaka kuwashughulikia kwavile aliona kuna ufisadi, ilikuaje tena DG wa NSSF akampa Ubalozi na kumpeleka Malaysia?!
Hivi mtaendelea kudanganyana hadi lini?!
Magu HAKUWA na guts za kushughulikia watu wazito... yeye aliishia ku-deal na civil servants tu tena wale ambao hawajafikia ministerial level.
Ukiondoa hao, gut yake nyingine ilikuwa kwa BAADHI tu ya Wafanyabiashara manake watu kama Rostam Azizi aliendelea kugonga nao cheers kama kawaida!!
Kama wanauza kiwepo kiwango cha chini kitakachohakikisha fedha ya umma ie nssf inarudi. Vinginevyo tutaona wizi wa mali ya umma kwa mradi kuuziwa mhuni au wahuni fulani kwa bei ya kutupa. Serikali isiachie bodi ya nssf maana ufisadi ndio unatawala shirika hilo.View attachment 2398070
Baada ya kusuasua kukamilika kwa mradi wa Dege Eco Village kwa thamani ya dola 653 milioni za Marekani (zaidi ya Sh1.3 trilioni), Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) lililokuwa linautekeleza limetangaza kuuza kwa mwekezaji mwingine atakeyevutiwa nao.
Ujenzi wa mradi huo wa mji mpya wa Kigamboni jijini Dar es Salaam ulioanzishwa na NSSF mwaka 2014 ulisimama tangu Januari 2016 ukidaiwa kufisidi zaidi ya Sh179 bilioni hivyo kutokamilika kwa nyumba za kifahari, hoteli, maduka makubwa, eneo la wazi la mapumziko, baa, shule, hospitali, kumbi za mikutano, nyumba za ibada na migahawa.
Taarifa iliyosainiwa na Mkurugenzi Mkuu wa NSSF, Masha Mshomba na kusambazwa Jumanne Oktoba 25 imetangaza kutafutwa kwa mzabuni atakayeuendeleza mradi huo.
“NSSF inakusudia kuuza mradi mzima wa Dege Eco Village, shirika halitowajibika tena baada ya mauzo haya. NSSF inakaribisha zabuni zilizofungwa kuununua mradi huu kwa viwango vya kimataifa vilivyoainishwa kwenye Kanuni za Ununuzi wa Umma zilizochapishwa kwenye gazeti la Serikali namba 446,” inasomeka sehemu ya taarifa ya NSSF.
Kwa wawekezaji watakaovutiwa kuuendeleza mradi huo uliosimama kwa miaka saba sasa, NSSF imesema wanaweza kuutembelea huko Rasi ya Dege iliyopo Kigamboni jijini hapa ili kuukagua na kujiridhisha na mandhari yake kuanzia saa 4:00 asubuhi mpaka saa 7:00 mchana wa Novemba 3.
Zabuni zote, shirika hilo limesema zinapaswa kuwasilishwa mpaka Novemba 14, saa 9:00 alasiri kabla hazijafunguliwa mbele ya waombaji wote watakaokuwa wamejitokeza kwenye ukumbi wake uliopo ghorofa ya saba katika Jengo la Benjamin William Mkapa.
View attachment 2398094
Pia, soma=> Dar: Mradi wa Dege Eco village uliotelekezwa Kigamboni
Kwani hizo kelele lini zilimzuia kuwakamata? Na kwanini hakuwashughulikia akina dau basi kama ni kweli maana akina manj kama waliiba nssf basi walishirikiana na bodi ya nssf.Kila alipojitahidi kuwakamata mnadai hawapendi matajiri anakinyongo nao,akina Manji wote walifirisi NSSF kwa kukopa, lakini Magufuli alivyoanza kumshugulikia makelele kibao,akina Lugemalira wa IPTL walipigiwa kelele na akina Lissu bungeni, lakini Magufuli alivyoanza kuwashugulikia mkaanza kusema wanaonewa, Watanganyika kwa unafiki hawajambo.
Kutakatisha!!🤣🤣🤣kaka Pascal PPR itaweza hiyo ligi kweli?hapo tayari wakubwa washapangana,DG anakamilisha tu maandalizi ya mchezo.PPR jikite kwenye low cost housing,maeneo ya Kibaha,Kimara Bonyokwa,Kirungure,Mkuranga,Vianzi.nk.
Unawaza ki masikini sanaKama wanauza kiwepo kiwango cha chini kitakachohakikisha fedha ya umma ie nssf inarudi. Vinginevyo tutaona wizi wa mali ya umma kwa mradi kuuziwa mhuni au wahuni fulani kwa bei ya kutupa. Serikali isiachie bodi ya nssf maana ufisadi ndio unatawala shirika hilo.
Hebu tujiulize ni nani aliingia mradi huu na ilikua kwa faida ya nani?
Magufuli alipoamua nyumba za mradi huo ziwe hosteli za vyuo vikuu, je sio ndio ulikua uamuzi bora kuliko risk ya kuporwa mradi na fisadi kwa kujidai wanauza au kununua mradi?
Je si bora nyumba hizo kuuziwa wananchi kwa bei nafuu maana ujenzi wake umejaa gharama za upigaji wa wakurugenzi na management ya nssf?
Hii awamu imetoka wapi sasa, mradi ulisimama toka 2016??Mradi wameufisadi hadi umewashinda. Duh hii awamu in balaaa
PPR kama PPR haiwezi, bali una download tender documemts na ku parter na wanene, wao ndio watafanya kila kitu, wewe unakuwa local partner.🤣🤣🤣kaka Pascal PPR itaweza hiyo ligi kweli?hapo tayari wakubwa washapangana,DG anakamilisha tu maandalizi ya mchezo.PPR jikite kwenye low cost housing,maeneo ya Kibaha,Kimara Bonyokwa,Kirungure,Mkuranga,Vianzi.nk.
View attachment 2398070
Baada ya kusuasua kukamilika kwa mradi wa Dege Eco Village kwa thamani ya dola 653 milioni za Marekani (zaidi ya Sh1.3 trilioni), Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) lililokuwa linautekeleza limetangaza kuuza kwa mwekezaji mwingine atakeyevutiwa nao.
Ujenzi wa mradi huo wa mji mpya wa Kigamboni jijini Dar es Salaam ulioanzishwa na NSSF mwaka 2014 ulisimama tangu Januari 2016 ukidaiwa kufisidi zaidi ya Sh179 bilioni hivyo kutokamilika kwa nyumba za kifahari, hoteli, maduka makubwa, eneo la wazi la mapumziko, baa, shule, hospitali, kumbi za mikutano, nyumba za ibada na migahawa.
Taarifa iliyosainiwa na Mkurugenzi Mkuu wa NSSF, Masha Mshomba na kusambazwa Jumanne Oktoba 25 imetangaza kutafutwa kwa mzabuni atakayeuendeleza mradi huo.
“NSSF inakusudia kuuza mradi mzima wa Dege Eco Village, shirika halitowajibika tena baada ya mauzo haya. NSSF inakaribisha zabuni zilizofungwa kuununua mradi huu kwa viwango vya kimataifa vilivyoainishwa kwenye Kanuni za Ununuzi wa Umma zilizochapishwa kwenye gazeti la Serikali namba 446,” inasomeka sehemu ya taarifa ya NSSF.
Kwa wawekezaji watakaovutiwa kuuendeleza mradi huo uliosimama kwa miaka saba sasa, NSSF imesema wanaweza kuutembelea huko Rasi ya Dege iliyopo Kigamboni jijini hapa ili kuukagua na kujiridhisha na mandhari yake kuanzia saa 4:00 asubuhi mpaka saa 7:00 mchana wa Novemba 3.
Zabuni zote, shirika hilo limesema zinapaswa kuwasilishwa mpaka Novemba 14, saa 9:00 alasiri kabla hazijafunguliwa mbele ya waombaji wote watakaokuwa wamejitokeza kwenye ukumbi wake uliopo ghorofa ya saba katika Jengo la Benjamin William Mkapa.
View attachment 2398094
Pia, soma=> Dar: Mradi wa Dege Eco village uliotelekezwa Kigamboni
Pascal....acha kuota. Hapo anachukua Mwarabu mmoja kwa ulaini. Watu washakula vyao. Ikibuma hii, pale patakuwa magofu ya ukumbusho tu kwa vizazi vijavyoDuh...!. Bonge la fursa hili!.
Hapa Mchechu hawezi kuacha hii opportunity!.
Hapa matajiri watauwana!.
Huu ni wakati sasa wa PPR kuachana na media business na kuingia kwenye real estate na property!.
P
Ndugu mkurugenzi, PPR ikiingia kwenye real estate naomba usiniache katika ufalme wakoDuh...!. Bonge la fursa hili!.
Hapa Mchechu hawezi kuacha hii opportunity!.
Hapa matajiri watauwana!.
Huu ni wakati sasa wa PPR kuachana na media business na kuingia kwenye real estate na property!.
P