Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wananchi wanapitia hali ngumu Sana ya maisha halafu mkuja na short stories kuwa serikali imefuta sijui ujinga gani!. Wakati mnaweka ukomo mlifikiria nn na Sana mmefikiria nn kuondoa ukomo?.Serikali imesikia kilio cha Wananchi na imetangaza rasmi kuondoa ukomo wa matumizi wa Vitambulisho vya Taifa (NIDA), vilivyomalizika muda wake baada ya kufanya mabadiliko ya kanuni za usajili na utambuzi wa watu...
Ile iliyoanzisha huu mradi, ya nne.Awamu ipi walikuwa wanajipigia tu mkuu
NIDA wamechoka, kwanini wasiajiri hata kampuni ya nje tupate vitambulisho? waliweka expiry date ya nini kama tuliojiandikisha tangia 2019 hatujapata vitambulisho mpaka leo.Serikali imesikia kilio cha Wananchi na imetangaza rasmi kuondoa ukomo wa matumizi wa Vitambulisho vya Taifa (NIDA), vilivyomalizika muda wake baada ya kufanya mabadiliko ya kanuni za usajili na utambuzi wa watu...
Sawa mkuu, asante kwa ufafanuzi mujarab pasipo tashwishwi..☺Hapana. Hiyo ni "SPECIMEN" ya kitambulisho cha Taifa
Akili zako unazijua mwenyewe mkuu qmmmk🤓🤓🤓🤓Samahani mkuu, hiyo picha ndio ya huyo waziri aliye toa tamko..🤔
Nenda mahakamani kaape watakupatia hati ya kiapo, utapeleka Nida....Hivi Ni kwa namna gani naweza kubadili jina
Niliuliza tu mkuuAkili zako unazijua mwenyewe mkuu qmmmk🤓🤓🤓🤓
INA MAANA WE HUJUI JINSIA YA WAZIRI WAKO WA MAMBO YA NDANI YA NCHI? Aliyeko kwenye picha ni mwanamke lakini jinsia ya kiume(Male) Katazame details ya kadi.Samahani mkuu, hiyo picha ndio ya huyo waziri aliye toa tamko..🤔
Hii serikali nadhani inaumwa
Sawa mkuuNiliuliza tu mkuu
Hiyo inapendeza, binafsi nilishangaa toka mara ya kwanza nilipoona kitambulisho cha taifa kina expiry date, nikajua tu hilo lilikuwa dili la wapigaji, kwasababu ya awamu ile vilipotolewa kwa mara ya kwanza, watu walikuwa wanajipigia tu.
Watu wenyewe hatujawahi kuviona hivyo vitambulisho tofauti na kupewa namba za Nida, wanataka kutufanya matahiraTupeni vitambulisho vyetu acheni maneno.
Hii serikali nadhani inaumwa
Kuna uzembe mkubwa sana kwa kweli kutoa kitambulosho tu ni miakaMwaka wa nne kila nikienda jibu ni bado hakijatoka
Not expired date ,it is Expiry dateSerikali imetangaza kuondoa ukomo wa matumizi ya vitambulisho vya Taifa vilivyoisha muda wake, ikizitaka taasisi za kibenki na kampuni kuendelea kuvitambua vitambulisho hivyo katika utoaji wa huduma
Chanzo: Mwananchi
Penyeza rupia kdgoMwaka wa nne kila nikienda jibu ni bado hakijatoka
Vipi kuhusu matumizi on international issues means nje ya Tanzania maana wenzetu huangalia sana validity dates, na hivi vitambulisho tulivyo navyo ni expiry dateSerikali imetangaza kuondoa ukomo wa matumizi ya vitambulisho vya Taifa vilivyoisha muda wake, ikizitaka taasisi za kibenki na kampuni kuendelea kuvitambua vitambulisho hivyo katika utoaji wa huduma
Chanzo: Mwananchi