ubarinolutu
JF-Expert Member
- Oct 22, 2012
- 2,424
- 4,954
Naomba nipewe namba ya huyo mrembo anastazia, pia nipewe email yake, na twitter yake, nataka nimuoe haraka inavyowezekana, nawasilisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NDIOSamahani mkuu, hiyo picha ndio ya huyo waziri aliye toa tamko..🤔
Mkuu, unataka kuniingiza choo cha watoto eehhhh...🤣🤣NDIO
Ni umasikini wa nchi tu kukwepa gharama ya kutengeneza card mpya lakini duniani kote vitambulisho hivi vina expire lengo ni muhusika kuhuwisha, (update) taarifa zake. Picha uliyoweka Leo kwenye kitambulisho ukiwa na miaka 20 haitakuwa sawa wakati ukiwa na miaka 40.hivyo huwezi kusema utumie kitambulisho hicho milele wakati details zako zinabadilika
Huu nuongo at its best, ID ukomo wake unapokufa, acha kuongopa humu
Bora kitambulisho cha taifa kiwe cha milele
Lakini uhai hapa duniani sio milele!Bora kitambulisho cha taifa kiwe cha milele
Watoe pi na ukomo wa wa leseni za uderevaSerikali imesikia kilio cha Wananchi na imetangaza rasmi kuondoa ukomo wa matumizi wa Vitambulisho vya Taifa (NIDA), vilivyomalizika muda wake baada ya kufanya mabadiliko ya kanuni za usajili na utambuzi wa watu.View attachment 2525037
Hayo yamebainishwa leo Jumanne tarehe 21 Februari 2023 na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Hamad Masauni wakati akizungumza na wanahabari Jijini Dar es Salaam, kuhusu Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (Nida) na hali ya utolewaji wa vitambulisho hivyo.
--
Waziri wa Mambo ya Ndani, Hamad Masauni amesema wamefanya mabadiliko ya kanuni ya utambuzi na usajili ili kuruhusu kuondoa ukomo wa matumizi wa Vitambulisho vya Taifa.
Masauni ametoa kauli hiyo leo Jumanne Februari 21, 2023 wakati akizungumza na wanahabari Jijini Dar es Salaam, kuhusu Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (Nida) na hali ya utolewaji wa vitambulisho.
Waziri huyo, amesema marekebisho ya kanuni yamekamilika na zimeshaanza kutumika baada ya kutangazwa rasmi katika gazeti la Serikali la Februari 17, 2023.
"Nitoe rai kwa watoa huduma kwa wananchi hasa taasisi za kifedha, benki na kampuni za simu kuendelea kuvitambua na kuvitumia vitambulisho vya Taifa vyenye tarehe ya ukomo uliopita kwa sababu havitakuwa na ukomo tena wa matumizi.
"Marekebisho hayo hayahusiani na vitambulisho vya wageni wakazi na wakimbizi na kwamba muda wa vitambulisho hivyo uzingatiwe," amesema Masauni.
Kwa uamuzi huo wa Serikali, wananchi sasa wataondokana na wasiwasi pamoja na hofu pale vitambulisho vyao vya taifa vitakapokwisha muda wake.
Lakini sasa hakutakuwa na ukomo tena na hawatalazimika kuvihuisha kwa kulipa Sh 20,000.
MWANANCHI
Pia, soma; Kwanini kitambulisho cha taifa kina muda wa kuisha matumizi
Hahahaa.Samahani mkuu, hiyo picha ndio ya huyo waziri aliye toa tamko..[emoji848]
Pambana na namba ya NIDA tu hakuna msaada mwingine. Si mlituonaga mabwege sisi wa mwanzoni tulipokuwa tunavifuatilia nyie mkauchunaVitambulisho vyenyewe vikwapi? Mwaka wa 6 huu
Serikali imesikia kilio cha Wananchi na imetangaza rasmi kuondoa ukomo wa matumizi wa Vitambulisho vya Taifa (NIDA), vilivyomalizika muda wake baada ya kufanya mabadiliko ya kanuni za usajili na utambuzi wa watu.View attachment 2525037
Hayo yamebainishwa leo Jumanne tarehe 21 Februari 2023 na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Hamad Masauni wakati akizungumza na wanahabari Jijini Dar es Salaam, kuhusu Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (Nida) na hali ya utolewaji wa vitambulisho hivyo.
--
Waziri wa Mambo ya Ndani, Hamad Masauni amesema wamefanya mabadiliko ya kanuni ya utambuzi na usajili ili kuruhusu kuondoa ukomo wa matumizi wa Vitambulisho vya Taifa.
Masauni ametoa kauli hiyo leo Jumanne Februari 21, 2023 wakati akizungumza na wanahabari Jijini Dar es Salaam, kuhusu Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (Nida) na hali ya utolewaji wa vitambulisho.
Waziri huyo, amesema marekebisho ya kanuni yamekamilika na zimeshaanza kutumika baada ya kutangazwa rasmi katika gazeti la Serikali la Februari 17, 2023.
"Nitoe rai kwa watoa huduma kwa wananchi hasa taasisi za kifedha, benki na kampuni za simu kuendelea kuvitambua na kuvitumia vitambulisho vya Taifa vyenye tarehe ya ukomo uliopita kwa sababu havitakuwa na ukomo tena wa matumizi.
"Marekebisho hayo hayahusiani na vitambulisho vya wageni wakazi na wakimbizi na kwamba muda wa vitambulisho hivyo uzingatiwe," amesema Masauni.
Kwa uamuzi huo wa Serikali, wananchi sasa wataondokana na wasiwasi pamoja na hofu pale vitambulisho vyao vya taifa vitakapokwisha muda wake.
Lakini sasa hakutakuwa na ukomo tena na hawatalazimika kuvihuisha kwa kulipa Sh 20,000.
MWANANCHI
Pia, soma; Kwanini kitambulisho cha taifa kina muda wa kuisha matumizi
Noma sana🤣🤣🤣🤣🤣🤣Samahani mkuu, hiyo picha ndio ya huyo waziri aliye toa tamko..🤔
Hapana sikuzembea. Niliandikisha kipindi cha mwanzo kabisa. Namba ninayo..Pambana na namba ya NIDA tu hakuna msaada mwingine. Si mlituonaga mabwege sisi wa mwanzoni tulipokuwa tunavifuatilia nyie mkauchuna
Wamebadili gia angani.Wananchi wanapitia hali ngumu Sana ya maisha halafu mkuja na short stories kuwa serikali imefuta sijui ujinga gani!. Wakati mnaweka ukomo mlifikiria nn na Sana mmefikiria nn kuondoa ukomo?.