Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tanzania kichwa waziSerikali imefuta Ukomo wa Muda wa Matumizi ya Kitambulisho cha Taifa (NIDA) kwa Watanzania wote, na kuzitaka taasisi na Mashirika yote yanayotumia utambulisho huo kuendelea kuvitumia bila kuangalia muda wake wa kuisha.
View attachment 2525536
Si kuna sensa?Serikali imekosea, itakuwa ngumu kuhuisha taarifa
Kwamba sensa inachukua picha ya mhusika?Si kuna sensa?
Fafanua kuhuishaSerikali imekosea, itakuwa ngumu kuhuisha taarifa
Maamuzi ya awali yalikuwa yanatia shaka. Yani raia wa Tanzania unakuwa na expired date!!! Nilipokichukuwa tu nakupna ukomo nilishangaa sn, Bora wamebatilisha
Uamuzi huu unahitaji tafakari....Serikali imekosea, itakuwa ngumu kuhuisha taarifa
We jamaa, ukihama si unaenda wanakubadilishia?? Ishu ni kuexpire na ile kulipia Tsh 20,000NIDA wameamua kuingiza Siasa
Kitambulisho cha NIDA huonesha taarifa muhimu za Mhusika ie Makazi anayoishi, Namba ya Simu etc
Kuna watu wengi namba walizotumia kusajili hazitumiki muda huu, picha watu hubadilika kutoka utoto kwenda uzee.
Wanatengeneza tatizo kwa kukwepa wajibu wao.
Tutakuwa taifa ambalo data zetu hazitakuwa zikiwa updated
Kwamba watabadilisha bure?We jamaa, ukihama si unaenda wanakubadilishia?? Ishu ni kuexpire na ile kulipia Tsh 20,000
Nilijua tu hawa panya wataweza wapi ku toa vipya wakati hadi sasa watu mamilioni atujapata vitambulishoSerikali imefuta Ukomo wa Muda wa Matumizi ya Kitambulisho cha Taifa (NIDA) kwa Watanzania wote, na kuzitaka taasisi na Mashirika yote yanayotumia utambulisho huo kuendelea kuvitumia bila kuangalia muda wake wa kuisha.
View attachment 2525536
Kwamba watabadilisha bure?
Watu wamesambaziwa namba tu nadhani kwa serikali kushindwa kubeba gharama. Sasa unahuisha taarifa ilhali kuna wemgine bado hawajanasa hicho kitambulisho?NIDA wameamua kuingiza Siasa
Kitambulisho cha NIDA huonesha taarifa muhimu za Mhusika ie Makazi anayoishi, Namba ya Simu etc
Kuna watu wengi namba walizotumia kusajili hazitumiki muda huu, picha watu hubadilika kutoka utoto kwenda uzee.
Wanatengeneza tatizo kwa kukwepa wajibu wao.
Tutakuwa taifa ambalo data zetu hazitakuwa zikiwa updated
Kuhuisha au ku update.Fafanua kuhuisha
Details zote zinakuwepo kama kawaida, walichoondoa ni ku renew kila baada ta mda fulani.Kwamba sensa inachukua picha ya mhusika?
Sensa inatumika Bank?
Ndio ni BURE au umekurupuka na mawenge ya SIMBA umekurupukia uzi bila kuelewa habari kamili??Kwamba watabadilisha bure?
Fingerprint haibadiliki, na hiyo ndio hasa hutumika popoteKwamba sensa inachukua picha ya mhusika?
Sensa inatumika Bank?
Unaweza kubadili jina, dini, utaifa ila huwezi kubadili kabila tuHivi Ni kwa namna gani naweza kubadili jina
Kama kuna mabadiliko nenda wewe kama wewe ubadilishiwe, lakini si lazima nchi nzima tuingie hasara pesa na muda kufuatilia vitambulisho wakati hakuna taarifa iliyobadilikaKuhuisha au ku update.
Kuna mabadiliko ya kimaisha mtu anapata.
Mfano: mwaka 2018 wakati nasajili kitambulisho nilikuwa mtumishi wa shirika x, nikiwa mzima na sijalemaa.
Mwaka 2028 nikawa nimekwisha staafu na ni mlemavu.
Sasa wasipokuwa na utaratibu wa ku update, taarifa flani flani za mtu zaweza kuwa wrong na uhalisia kadri siku zinavyokwenda.
Kwa sababu katika maisha ya mtu kuna mabadiliko mbali mbali ya kila aina na kila wakati.
Nakuunga mkono 100%.Kama kuna mabadiliko nenda wewe kama wewe ubadilishiwe, lakini si lazima nchi nzima tuingie hasara pesa na muda kufuatilia vitambulisho wakati hakuna taarifa iliyobadilika