Serikali yaonya utoaji taarifa za maradhi, vifo au wagonjwa bila kuzingatia misingi ya utoaji taarifa

Serikali yaonya utoaji taarifa za maradhi, vifo au wagonjwa bila kuzingatia misingi ya utoaji taarifa

Anazunguka sana, aseme tu kuwa kiongozi wa kiroho wa Kabisa Katoliki amefanya makosa kutoka takwimu na kusema ukweli hadharani.
JPM kafanya watendaji wake wawe watu wa ajabu sana, wenye hofu na kukabidhi akili kwake.
Nilisema hata jana na ninarudia tena ngome ya rome /catholic inanguvu na ni nzito kuliko hata hiyo serikali ya jiwe hivyo serikali isiingie kichwa kichwa.
 
Kwakuwa serikali imekataza kutoa taarifa za watu za magonjwa wanayougua, mm nimeitikia mwito na nimeamua kutoa taarifa zangu mwenyewe.

Naumwa korona! Dr. Abbas upo?
Wewe ni mrumi? wao wanaruhusiwa kutangaza😊

Ila Tz raha sana, but not funny at all.
 
Ngoja nipite tu kimyakimya nisije nikaharibu. Kama mtu ulishawahi kufiwa na ndugu yako kwa Corona kauli kama hizi zinaamsha masikitiko na huzuni. Pumzikeni kwa Amani shangazi zangu wawili.
 
Watu wanakufa kama nzige, nyie mmekaa tu kuimba nyimbo za kiongozi wenu aliyeisha poteza utu, badala ya kumsaidia kumrekebisha! Shame on you all puppets, your days are numbered! Big up viongozi wa dini, Mungu azidi kuwabariki na kuwaongezea busara!
 
Wakati wa maafa-Kanisa linatakiwa liombee Taifa.

Mababa wa Kiroho huongea mambo yanayozidi uwezo wa akili-

Taifa lisiwatishe wachungaji kwa kuwa hawa wanaongoza IMANI na Matumaini.

Sasa kama hawatumii Vyombo vya habari watatumia kitu gani?

Ningetegemea Mh Abas Angewaalika Mapadre na Wachungaji kwenye MDAHALO wa kusaidia Serikali namna Bora ya kwenda mbele-Sasa kumbe unawachimba tena mkwara?

No,Vuna Hekima kwa hawa watu acha kupanick.
 
Kitima anapaswa kuchukuliwa hatua za kinidhamu/ kisheria. Ni nchi gani hapa duniani ambayo mapadre ndiyo watoa takwimu za corona? Hata huko Italy ambako ndiyo makao makuu ya kanisa katoliki hawajawahi na hawatawahi kufanya hivyo.

Sayansi haitambui uwepo wa Mungu. Science has never discovered the existance of any matter in this universe which has characteristics of being called God. Iweze padre huyu ashabikie sayansi badala ya God?
 
Kitima anapaswa kuchukuliwa hatua za kinidhamu/ kisheria. Ni nchi gani hapa duniani ambayo mapadre ndiyo watoa takwimu za corona? Hata huko Italy ambako ndiyo makao makuu ya kanisa katoliki hawajawahi na hawatawahi kufanya hivyo.

Sayansi haitambui uwepo wa Mungu. Science has never discovered the existance of any matter in this universe which has characteristics of being called God. Iweze padre huyu ashabikie sayansi badala ya God?
Mtu yoyote kusema anaumwa tatizo flani,hasa katika magonjwa ya kuambukiza ,mlipuko ni mtu bora kabisa hata kikiwa kikundi sawa, KWA unawakinga wengine na kuwapa tahadhali, that's wakati ukimwi unaingia watu waliona haibu kujiweka wazi, na tatizo lilikua linakua Sana, ikaja miradi mbali mbali iliyosaidia wenye tatizo hilo kujiweka wazi,kupewa elim na wakaanza elimisha wengine, pamoja na dawa upimaji wa ihali ukaongezeka, leo tatizo limepungua sana.

Kipindupindu kinapotokea tahalifa hutolewa, kuhimiza watu kuzingatia usafi na Mambo ukaa sawa.

So shida hapa iko wapi kwa ungonjwa kama wa Sasa akisema, nafikili huyu anaweza kua analisadia taifa,watu wake wa karibu, jamii yake zaidi kuliko anekaa kimya.
 
Wahadhiri wa SAUT Dar es Salaam Campus ilikuwaje mkampa huyu Doctorate (PhD) yenu wakati ni mtupu hivi na sasa kabakia tu Kutumika Kuvitisha Vyombo vya Habari nchini huku akivigawa ili avitawale vizuri kwa Maelekezo ya Boss wake Mkuu?
 
Ni hivi hivi ndivyo China ilizuia taarifa za Covid-19 hadi kirusi kikaenea duniani bila tahadhari.

Halafu utasikia wakidai hatari kubwa zaidi ni HOFU kuliko corona yenyewe. Kwa hiyo, wanazuia taarifa ili kuwaondolea wananchi HOFU! Hakuna kitu kama hicho mitaani. Hakuna panic kuhusu corona; kazi/shughuli zinaendelea kama kawaida. Watu wanachohitaji ni taarifa sahihi na kusisitiziwa kuhusu njia bora za kujikinga. Kuna uzembe unaendelea kwa upande huo.

Propaganda kuhusu “hofu”, “lockdown” na “chanjo” hazitatusaidia kamwe mbele vipigo vinavyotujia.
 
Mtu yoyote kusema anaumwa tatizo flani,hasa katika magonjwa ya kuambukiza ,mlipuko ni mtu bora kabisa hata kikiwa kikundi sawa, KWA unawakinga wengine na kuwapa tahadhali, that's wakati ukimwi unaingia watu waliona haibu kujiweka wazi, na tatizo lilikua linakua Sana, ikaja miradi mbali mbali iliyosaidia wenye tatizo hilo kujiweka wazi,kupewa elim na wakaanza elimisha wengine, pamoja na dawa upimaji wa ihali ukaongezeka, leo tatizo limepungua Sana ,
Kipindu pindu kinapotokea tahalifa hutolewa ,kuhimiza watu kuzingatia usafi na Mambo ukaa sawa
So shida hapa iko wapi KWA ungonjwa Kama wa Sasa akisema, nafikili huyu anaweza kua analisadia taifa,watu wake wa karibu, jamii yake zaidi kuliko anekaa kimya
Tunazungumzia taratibu, maadili, kanuni na sheria za utoaji wa takwimu za magonjwa ya kuambukiza na ya milipuko.

1. Katika mlipuko wa ukimwi ulipotokea na hadi sasa unavyoendelea, mapadre kama Kitima walishawahi kutoa takwimu za mapadre na masista walioambukizwa ukimwi na waliofariki kwa ukimwi?

Si ni wengi tu, sasa kwa nini hatoi takwimu hizo ili tuhamasike kuchukua tahadhali zinazopaswa? Kwa nini anaona rahisi kutoa takwimu za gonjwa la corona kwa mapadre na watawa wa kanisa lake? Hajui kwamba corona inaambukizana kwa njia zote ambazo ukimwi unaambukizana pamoja na hizo njia nyingine? Yaani kama mpenzi wako ana corona lazima atakuambukiza, and vice versa, tena kirahisi zaidi kuliko virusi vya ukimwi.

All you need is close contact of any part of his/ her body provided that contact is within 1 metre distance. Contact ya ukimwi si zero distance pekee bali certain parts of your bodies have to be penetrating each other. Hivyo ni rahisi zaidi kupata corona kwa njia ya zinaa kuliko kupata ukimwi kwa njia ya zinaa.

Masista kwa kawaida huishi maisha ya isolation katika makazi yao. Hivyo ndivyo wanavyoishi mapadre kwenye makazi yao. Hutawaona masokoni wala kwenye madaladala. Contact yao na watu wengine ni kwenye nyumba za ibada tu ambamo watu huvaa barakola na kufanya social distancing. Sasa hizo close contact zingine kati ya mapadre na masista zimetokeaje hadi kupelekea vifo 25 za mapadre na 60 za masista kwa kuambukizana corona ndani ya miezi 2 tu?

Padre Kitima anataka serikali ifanye nini kunusuru hii hali ya mapadre na masista kuambukizana corona? Hii kasi ya maambukizi kwa watawa hawa, kama takwimu za Kitima ni za kweli, ni kubwa sana xaidi ya mara kumi kuliko hali ilivyo kwa wengine. Yaani wanawazidi hata watoa huduma ya afya walio front line kutibu wagonjwa wa corona mara zaidi ya kumi? Kuna nini huko kwa watawa wetu?

NB: Hadi sasa wimbi hili la sasa la ugonjwa huu, kiwango chake bado kiko chini sana ukilinganisha na wimbi la mwaka jana. Na tayari karibu linafikia mwisho wa msimu wake. Tungefanya copy & paste ncji yetu ingalikuwa kwenye continous lockdown and face masks kwa zaidi ya mwaka mmoja hadi sasa.

Tulikataa kufanya hivyo. Wala hatuko peke yetu kufanya hivyo. Sweden walikataa kama sisi. Hadi sasa kimaambukizi na vifo sisi, Sweden na nchi zingine zilizochukua msimamo huu, ziko far better than those other countries such as USA and most European countries.
 
Waambieni MATAGA kwamba kudili na mteule wa VATICAN ni ngumu sana. Chama cha mazezeta hakuna hata mmoja anaeweza kudili hata na FLATELI. Kama wanabisha waseme suuu. Mapadri ni akili kubwa licha ta vibaraka wachache waliopandikizwa ndani ya TEC ila kudili na wateule wa VATICAN sio kama kudili na GWAJIBOY RASHID
 
Back
Top Bottom