Serikali yaonya utoaji taarifa za maradhi, vifo au wagonjwa bila kuzingatia misingi ya utoaji taarifa

Serikali yaonya utoaji taarifa za maradhi, vifo au wagonjwa bila kuzingatia misingi ya utoaji taarifa

Hao viongozi wa Katoliki na KKKT wanalack some leadership skills.

Wanaongozwa na hisia na external influence.
 
Anazunguka sana, aseme tu kuwa kiongozi wa kiroho wa Kabisa Katoliki amefanya makosa kutoka takwimu na kusema ukweli hadharani.

JPM kafanya watendaji wake wawe watu wa ajabu sana, wenye hofu na kukabidhi akili kwake.
Sasa huyu PhD holder alitaka ateuliwe pia kuwa msemaji wa kanisa Katoliki?
Fr. Kitima kaongelea watawa Wakatoliki waliofari. Kosa gani liko hapo? Hawa wasaidizi wa Jpm wamelogwa na nani?
 
Kitima anapaswa kuchukuliwa hatua za kinidhamu/ kisheria. Ni nchi gani hapa duniani ambayo mapadre ndiyo watoa takwimu za corona? Hata huko Italy ambako ndiyo makao makuu ya kanisa katoliki hawajawahi na hawatawahi kufanya hivyo...
Acha longo longo. Kamata Kitima, weka ndani, fullstop! Kilangila.
 
Nilisema hata jana na ninarudia tena ngome ya rome /catholic inanguvu na ni nzito kuliko hata hiyo serikali ya jiwe hivyo serikali isiingie kichwa kichwa.
Huwezi kushindana na dola!! Vinginevyo uko tayari kutumia!
 
Ingalikua ile taarifa iliyotolewa na Padri Kitina kuhusu vifo vya mapadri 25 na masista 60 imetolewa na familia ya mtu binafsi kua amefiwa na watoto wake tisa kwa corona basi leo angekua mkononi mwa mambosasa.

These people are rubbish.

Watu wanakufa kwa korona unataka watu wakae kimya eti kuwatoa hofu, watu wanatakowa watiwe hofu ili wachukue tahadhari zote
Boss wao anapenda haya ya kuonwa wanatii 'kupiga' umma mikwara.
 
Kitima anapaswa kuchukuliwa hatua za kinidhamu/ kisheria. Ni nchi gani hapa duniani ambayo mapadre ndiyo watoa takwimu za corona? Hata huko Italy ambako ndiyo makao makuu ya kanisa katoliki hawajawahi na hawatawahi kufanya hivyo...
Mapadri ni viongozi wa serikali? Ni watumishi wa CCM? Yaani taasisi binafsi imetoa taarifa za watumishi wake binafsi nyie kiherehere cha nini? Basi wao wataoa taarifa zinazohusu watu wao nyie msipeleke vyonbo vyenu TBC, Channel10 na Uhuru.
 
Dr Kitima atikisa nchi , Mamluki waanza kuweweseka !
Nililitegemea hilo kuwa huyu Pimbi haraka sana angefanya Counter ili Kulifunika la Padre Kitima na TEC yake.

Alichosahau ( Walichosahau ) ni kwamba Doctorates ( phd's ) zote za Watu wa TEC ( akiwemo Padre Kitima ) ni za uhakika hasa tofauti na zao za Kubumba kama si Kuiba kwa wengine.
 
Hao viongozi wa Katoliki na KKKT wanalack some leadership skills.

Wanaongozwa na hisia na external influence.
Leadership skills anazo Nani, Magufuli?? Hili neno skill lina maana tofauti hapo Lumumba?
 
Msitujaze hofu na matakwimu yenu uchwara. Kwani kama wamekufa mapadri 25 na masister 60, la ajabu ni lipi.

Kifo kipo duniani kuanzia Habili.

Hata huyo anayetoa hizo takwimu naye ataondoka siku ikifika. Cha kufanya ni kila mtu ayakabidhi maisha yake kwa Kristo apate uzima wa milele.

YESU NI MWOKOZI
 
Kinachoendelea ni hali isiyoyakawaida (unprecedented) ya watu kufa. Alichokisema katibu wa TEC ni maelezobya hali hii inayohusishwa na ugonjwa wa Korona.

Sheria haziwezi kuzuia watu kupiga kelele kusituka au kutaadhrisha wengibe pale hali za nana hiibzinapotokea...watu wakiumwa na nyoka au kula sumu na kufs itangoja waziri aje aseme?? Wajibu who kama binadamu kuwtaadharisha wengine na hatari utakua umeuacha wapi.

Hawa wanaonyesha kishindwa kuongoza na kukibilia kutumia sheria kama fimbo za kuwachapia wananchi. This is ridiculous to say but the least
 
Tunazungumzia taratibu, maadili, kanuni na sheria za utoaji wa takwimu za magonjwa ya kuambukiza na ya milipuko.
1. Katika mlipuko wa ukimwi ulipotokea na hadi sasa unavyoendelea, mapadre kama Kitima walishawahi kutoa takwimu za mapadre na masista walioambukizwa ukimwi na waliofariki kwa ukimwi? Si ni wengi tu, sasa kwa nini hatoi takwimu hizo ili tuhamasike kuchukua tahadhali zinazopaswa? Kwa nini anaona rahisi kutoa takwimu za gonjwa la corona kwa mapadre na watawa wa kanisa lake? Hajui kwamba corona inaambukizana kwa njia zote ambazo ukimwi unaambukizana pamoja na hizo njia nyingine? Yaani kama mpenzi wako ana corona lazima atakuambukiza, and vice versa, tena kirahisi zaidi kuliko virusi vya ukimwi. All you need is close contact of any part of his/ her body provided that contact is within 1 metre distance. Contact ya ukimwi si zero distance pekee bali certain parts of your bodies have to be penetrating each other. Hivyo ni rahisi zaidi kupata corona kwa njia ya zinaa kuliko kupata ukimwi kwa njia ya zinaa.

Masista kwa kawaida huishi maisha ya isolation katika makazi yao. Hivyo ndivyo wanavyoishi mapadre kwenye makazi yao. Hutawaona masokoni wala kwenye madaladala. Contact yao na watu wengine ni kwenye nyumba za ibada tu ambamo watu huvaa barakola na kufanya social distancing. Sasa hizo close contact zingine kati ya mapadre na masista zimetokeaje hadi kupelekea vifo 25 za mapadre na 60 za masista kwa kuambukizana corona ndani ya miezi 2 tu? Padre Kitima anataka serikali ifanye nini kunusuru hii hali ya mapadre na masista kuambukizana corona? Hii kasi ya maambukizi kwa watawa hawa, kama takwimu za Kitima ni za kweli, ni kubwa sana xaidi ya mara kumi kuliko hali ilivyo kwa wengine. Yaani wanawazidi hata watoa huduma ya afya walio front line kutibu wagonjwa wa corona mara zaidi ya kumi? Kuna nini huko kwa watawa wetu?

NB: Hadi sasa wimbi hili la sasa la ugonjwa huu, kiwango chake bado kiko chini sana ukilinganisha na wimbi la mwaka jana. Na tayari karibu linafikia mwisho wa msimu wake. Tungefanya copy & paste ncji yetu ingalikuwa kwenye continous lockdown and face masks kwa zaidi ya mwaka mmoja hadi sasa. Tulikataa kufanya hivyo. Wala hatuko peke yetu kufanya hivyo. Sweden walikataa kama sisi. Hadi sasa kimaambukizi na vifo sisi, Sweden na nchi zingine zilizochukua msimamo huu, ziko far better than those other countries such as USA and most European countries.

Mkuu ,mkuu , nimekuita Mara mbili, wenda andishi lako ni fikilishi, ila lenye hasira Sana KWA mh Kitima

1.Elewa kanisa ni familia ya watu wenye mtazamo mmoja katika imani flan,Kati ya viongozi ,(maaskofu,mapadri,masister n.k) na waumini, muumini akifariki atazikwa na viongozi wa kanisa, viongozi au padri aliezika muumini atakutana na watumishi wengine wakiwamo masister katika ibada ambazo hufanyika kila siku Kama sehem ya wito wao huko katika makazi yao, chain itaendelea,so kusema mda wote hukaa wamejifungia na kwamba ni ngum kupata close contact ni hiyo hoja haina mashiko,

2.Nakubali kwamba mtu na mwenza wake yaweza kua rahisi kuambukizana Corona kuliko Hiv, lakini elewa tangu anza KWA Hiv hata kabla ya kupata dawa za kurefusha maisha magonjwa nyemelelezi yalikuja KWA kasi kutokana na AIDS, na watu walikua wanakufa ila sio kwa mda mfupi Kama anachokifanya bwana CORONA, hivyo Corona ni harari Mara mia kuliko HIV kwamba yenyewe kufyeka hata watu mia au zaidi katika mda mfupi ni Jambo la kufikia , so watu kujua uhatari wa corona, Hali ya corona ilivyo ,na uhoga juu ya corona ni Jambo jema Sana kuwajenga kufikra ili kuendelea kuchukua hatua za kujikinga, leo watu bado wanachukulia Kama biashara ya kila siku, so hapa tatizo ni nini as far as hon Kitima speech is concerned? Kama tu alikua anafikisha ujumbe KWA familia yake iliyo chini ya tahasisi yao Kama viongonzi wao?

3. Tunapenda tatizo Hili kuisha, wasema tuko atua ya mwisho, unafikaje mwisho kirahisi Kama watu Bado wanachukulia hii kitu Kama biashara ya kila siku, daily watu kupumliana hata kwenye misongamano isiyo ya lazima? au bado unatumia idea ya hard immunity,elewa ngoma hii na Kama ilivyo Tabia ya virus ina mutate mjomba, mwaka jana Mambo yalienda vizuri KWA sababu serikali ilikuja na kauli moja ya kuwataka wananchi kuchukua tahadhali na mwitikio wa wananchi ulikua juu,tz nzima,that's ya matokeo chanya, so mpaka Sasa ni probability, kusema tunakaribia mwisho,wakati wewe binafsi unaona jinsi jamii haiko serious kuchukua hatua Kama mwaka jana, na mtaani Hali sio nzuri Kama unavyoaminisha watu,

Mwisho
GONJWA lolote Kama CORONA halitakiwi kua jukum la serikali tu bali wadau mbali mbali, wanajamii wenyewe,kujua ukubwa wa tatizo na kuelimishana KWA kushirikiana na serikali,
 
Wananchi wanakufa,vifo kila leo... !!! Pumzi pumzi pumzi... Tufanye siri,tufe kimya kimya...
 
Ibara ya 18 ya Katiba ya JMT (1977) iko wazi. Kila mtu ana haki ya kupokea na kutoa habari zinazomhusu au zinazoihusu jamii. Serikali ikitaka itoe au izuie habari zake yenyewe, siyo habari nje ya Serikali. Serikali inavunja Katiba. Wananchi amkeni! Ahsante Kanisa Katoliki kwa kuanzisha safari ya matumaini
 
Tunazungumzia taratibu, maadili, kanuni na sheria za utoaji wa takwimu za magonjwa ya kuambukiza na ya milipuko.
1. Katika mlipuko wa ukimwi ulipotokea na hadi sasa unavyoendelea, mapadre kama Kitima walishawahi kutoa takwimu za mapadre na masista walioambukizwa ukimwi na waliofariki kwa ukimwi?

Si ni wengi tu, sasa kwa nini hatoi takwimu hizo ili tuhamasike kuchukua tahadhali zinazopaswa? Kwa nini anaona rahisi kutoa takwimu za gonjwa la corona kwa mapadre na watawa wa kanisa lake? Hajui kwamba corona inaambukizana kwa njia zote ambazo ukimwi unaambukizana pamoja na hizo njia nyingine? Yaani kama mpenzi wako ana corona lazima atakuambukiza, and vice versa, tena kirahisi zaidi kuliko virusi vya ukimwi.

All you need is close contact of any part of his/ her body provided that contact is within 1 metre distance. Contact ya ukimwi si zero distance pekee bali certain parts of your bodies have to be penetrating each other. Hivyo ni rahisi zaidi kupata corona kwa njia ya zinaa kuliko kupata ukimwi kwa njia ya zinaa.

Masista kwa kawaida huishi maisha ya isolation katika makazi yao. Hivyo ndivyo wanavyoishi mapadre kwenye makazi yao. Hutawaona masokoni wala kwenye madaladala. Contact yao na watu wengine ni kwenye nyumba za ibada tu ambamo watu huvaa barakola na kufanya social distancing. Sasa hizo close contact zingine kati ya mapadre na masista zimetokeaje hadi kupelekea vifo 25 za mapadre na 60 za masista kwa kuambukizana corona ndani ya miezi 2 tu? Padre Kitima anataka serikali ifanye nini kunusuru hii hali ya mapadre na masista kuambukizana corona? Hii kasi ya maambukizi kwa watawa hawa, kama takwimu za Kitima ni za kweli, ni kubwa sana xaidi ya mara kumi kuliko hali ilivyo kwa wengine. Yaani wanawazidi hata watoa huduma ya afya walio front line kutibu wagonjwa wa corona mara zaidi ya kumi? Kuna nini huko kwa watawa wetu?

NB: Hadi sasa wimbi hili la sasa la ugonjwa huu, kiwango chake bado kiko chini sana ukilinganisha na wimbi la mwaka jana. Na tayari karibu linafikia mwisho wa msimu wake. Tungefanya copy & paste ncji yetu ingalikuwa kwenye continous lockdown and face masks kwa zaidi ya mwaka mmoja hadi sasa.

Tulikataa kufanya hivyo. Wala hatuko peke yetu kufanya hivyo. Sweden walikataa kama sisi. Hadi sasa kimaambukizi na vifo sisi, Sweden na nchi zingine zilizochukua msimamo huu, ziko far better than those other countries such as USA and most European countries.
Takwimu gani wewe unaongea!!!!!
Kwa hiyo Wewe kama BABA WA FAMILIA UKIFIWA NA WATOTO WAWILI AU WATATU HUPASWI KUSEMA JAMANI NIMEFIWA NA WANANGU KADHAA?

Kwani Masista waliotajwa ni wa kanisa gani?
Hao Mapadri ni Wa kanisa gani?

Halafu unasema ati wanatolea wapi huu ugonjwa-Like seriously?

Kama haujui kitu unachopinga Ebu tulia tu.
 
Tunazungumzia taratibu, maadili, kanuni na sheria za utoaji wa takwimu za magonjwa ya kuambukiza na ya milipuko.
1. Katika mlipuko wa ukimwi ulipotokea na hadi sasa unavyoendelea, mapadre kama Kitima walishawahi kutoa takwimu za mapadre na masista walioambukizwa ukimwi na waliofariki kwa ukimwi?

Si ni wengi tu, sasa kwa nini hatoi takwimu hizo ili tuhamasike kuchukua tahadhali zinazopaswa? Kwa nini anaona rahisi kutoa takwimu za gonjwa la corona kwa mapadre na watawa wa kanisa lake? Hajui kwamba corona inaambukizana kwa njia zote ambazo ukimwi unaambukizana pamoja na hizo njia nyingine? Yaani kama mpenzi wako ana corona lazima atakuambukiza, and vice versa, tena kirahisi zaidi kuliko virusi vya ukimwi.

All you need is close contact of any part of his/ her body provided that contact is within 1 metre distance. Contact ya ukimwi si zero distance pekee bali certain parts of your bodies have to be penetrating each other. Hivyo ni rahisi zaidi kupata corona kwa njia ya zinaa kuliko kupata ukimwi kwa njia ya zinaa.

Masista kwa kawaida huishi maisha ya isolation katika makazi yao. Hivyo ndivyo wanavyoishi mapadre kwenye makazi yao. Hutawaona masokoni wala kwenye madaladala. Contact yao na watu wengine ni kwenye nyumba za ibada tu ambamo watu huvaa barakola na kufanya social distancing. Sasa hizo close contact zingine kati ya mapadre na masista zimetokeaje hadi kupelekea vifo 25 za mapadre na 60 za masista kwa kuambukizana corona ndani ya miezi 2 tu? Padre Kitima anataka serikali ifanye nini kunusuru hii hali ya mapadre na masista kuambukizana corona? Hii kasi ya maambukizi kwa watawa hawa, kama takwimu za Kitima ni za kweli, ni kubwa sana xaidi ya mara kumi kuliko hali ilivyo kwa wengine. Yaani wanawazidi hata watoa huduma ya afya walio front line kutibu wagonjwa wa corona mara zaidi ya kumi? Kuna nini huko kwa watawa wetu?

NB: Hadi sasa wimbi hili la sasa la ugonjwa huu, kiwango chake bado kiko chini sana ukilinganisha na wimbi la mwaka jana. Na tayari karibu linafikia mwisho wa msimu wake. Tungefanya copy & paste ncji yetu ingalikuwa kwenye continous lockdown and face masks kwa zaidi ya mwaka mmoja hadi sasa.

Tulikataa kufanya hivyo. Wala hatuko peke yetu kufanya hivyo. Sweden walikataa kama sisi. Hadi sasa kimaambukizi na vifo sisi, Sweden na nchi zingine zilizochukua msimamo huu, ziko far better than those other countries such as USA and most European countries.
Weka namba ya simu tafadhali, kuna nafasi ya u-DAS mahali.
 
Kuna vitabu tulivisoma enzi hizo Kama vile PASSED LIKE A SHADOW kilicho andikwa na Bernard Mapalala Kama sikosei tukawa tunaulizwa relevance of the book to the society. Wengi hatukujua Kama Yale yaliyokuwemo yanahusu jamii nyingi za Africa. Kule HIV iliitwa "slim"ili kiwaondoa watu hofu. Mwishoe hata watoa watu hofu walikufa kwenye ile story. Ama kwa hakika,waandishi ni manabii
 
Back
Top Bottom