Serikali yaonya utoaji taarifa za maradhi, vifo au wagonjwa bila kuzingatia misingi ya utoaji taarifa

Mtu yeyote anayesema maambukizi au vifo vya corona, ni chini, lazima huyo mtu ni mjinga, mwendawaImu, mwongo, mnafiki na mpuuzi.

Utawezaje kusema tatizo ni dogo au kubwa wakati huna takwimu? Enyi wendawazimu mliwahi kuona maiti barabarani huko US, Italy au Brazil? Kuna watu wajinga kabisa wanasena tatizo la corona Tanzania ni dogo eti kwakuwa tu maiti hazionekani barabarani!! Hawa wanaotumia kigezo hiki ni taahira, vichaa au wendawazimu?

Kuna familia zimefiwa na wwtu mpaka 5, wengine 3 au 4, halafu kunatokea wendawazimu wanasema eti tatizo ni dogo! Wajinga wakubwa hawa. Mimi nimefiwa na ndugu yangu, kuna rafiki yangu amefiwa na ndugu zake wa karibu 7, akiwemo mama yake mzazi, mjomba wake, binamu yake na kaka yake.

Wenye akili kama Padre Kitima, wanatumia takwimu. Ameeleza vifo vya mapadre na watawa. Kwa kuangalia ratio ya populatuon ya mapadre na watawa kwa idadi ya Watanzania, ndiyo unajua ukubwa wa tatizo.

Bila takwimu, wajinga wanabwabawaja eti tatizo siyo kubwa. Tatizo siyo kubwa kwa sababu tu waliokufa siyo wewe au mama yako?
 
Utoaji wa taarifa wa serikali umekuwa 'bogus'.

Kazi kubwa ya serikali sasa imekuwa ni kupotosha!
Well said.

Serikali iliyostahili kuwa chombo cha kuaminka, limekuwa genge la uhalifu wa kutoa taarifa za uwongo. Hakuna mwenye ambaye yupo tayari kuzimeza taarifa za uwongo zinazotolewa na serikali.
 
Angalia ulivyo mnafiki na unajiita damu ya yesu, aliyeongea ni kiongozi wako wa dini, leo amekua UCHWARA?
Unadhani mimi ni mtu wa dini???? Hata kidogo!!!!

KIONGOZI YEYOTE WA KIROHO ANATAKIWA AYAONE MAMBO KIROHO, YA KISAYANSI AWAACHIE WANASAYANSI.


YESU NI BWANA NA MWOKOZI
 
pumbavu wewe anatoa taarifa za watawa wake
 
Viongozi wa kanisa wazingatie katika kuijua Biblia, na kutoa neno la Mungu ,mengine waachie serikali.
 
Hivi serikali hii haina kazi ya maana ya kufanya hadi inataka kubinafsisha utoaji wa habari wa ugonjwa na vifo? Dah, ama kweli mitano tena!
Ni kawaida ya mtu aliyeshindwa kazi ya msingi kujitungia vikazi vya uongo na kweli ilimradi aonekane yuko busy tu.
 
Hawa vichaa wanakoelekea watakuja kusema mtu ukifiwa usiwaambie jirani zako.
Ni ajabu na kweli. Hii desturi ya kukaa kimya mtu akifa niliwahi kuiona Usukumani kipindi wanauwa vikongwe kwa kisingizio cha ushirikina
 
Kweli ww ni Dk.Mwehu
 
Huwezi kushindana na dola!! Vinginevyo uko tayari kutumia!
hiyo dola unayo iongelea wewe unayo iaminia kwamba ndio kila kitu basi nikwambie tu yoote inaisujudia ngome ya rome/rumi ila kwa vile hujui kitu sio kosa lako
 
Ujue Kitima Ni Katibu wa TEC kwa hiyo Yeye Ni Kipaza sauti wa Vikao vya Tec.
Kitima anafuata nyayo za mtangulizi wake Dr. Willbond Slaa. Hiyo nafasi ya Katibu wa TEC inapaswa kuangaliwa kwa umakini. Ilimujenga Dr Slaa kutimukia chadema hadi kuwa balozi. Kitima naye kaianza safari hiyo. Kila la heri Dr Kitima, unakaribishwa sana huku.
 
Ukificha habari watu watatafuta habari nje na habari hizo huenda zikawa nzuri au mbaya hivyo toeni habari
 
Hivi serikali hii haina kazi ya maana ya kufanya hadi inataka kubinafsisha utoaji wa habari wa ugonjwa na vifo? Dah, ama kweli mitano tena!
Ukishindwa kuwaletea watu maendeleo, lazima ujiongeze kuwachanganya na stories za mabeberu na wasaliti.

Ama sivyo watakustukia umeshindwa mwenyewe.
 
Seikali ya maonyo na maagizo. Kila siku lazima utasikia waziri mkuu au waziri yoyote anatoa maagizo kwa wakuu wa mikoa na viongozi wengine wafanye hiki. Huwa najiuliza haya maagizo yalivyo mengi hivi hawayasahau kweli.?
 
Nilisema hata jana na ninarudia tena ngome ya rome /catholic inanguvu na ni nzito kuliko hata hiyo serikali ya jiwe hivyo serikali isiingie kichwa kichwa.
Mi nataka tu nikujulishe dini zinazoogopwa na serikali huwa ni waislamu. Maana wale wakimezeshana sumu huwa wanafanya kweli ndo maana serikali inawakumbatia na kuwasikiliza sana.
 
Yaani mwanangu afariki kwa koroona nikae kimya hadi Abasi aje aseme?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…