Serikali yapiga marufuku mazao ya uhandisijeni(GMOs) nchini

Serikali yapiga marufuku mazao ya uhandisijeni(GMOs) nchini

On serious note hizi taasisi za research bora vyombo watu tumeshaona Kuna tatizo kubwa na litaathiri ustawi wetu kama taifa, mi nimetembelea taasisi nyingi kipindi flani nilizoona ziko poa ni SUA ya morogoro, Ifakara utafiti na TACRI ya lyamungo moshi
Kwa hili taasisi zetu za utafiti zimetuangusha sana mkuu,sijui ni kwa kutokujua au kwa makusudi?!Inasikitisha sana kwa kweli.
 
GMOs zimetumiwa tangu binadamu anaanza kilimo. Kuna naturally occuring GMOs, nakila siku ya mungu mbegu zinakuwa genetically modified naturally or artificially.
Ukipuliza dawa za magugu, magugu yanadevelop resistance through genetic modification. Ng'ombe wa maziwa, kuku wa nyama na mayai wote tunaokula ni genetically modified breeds.
Tutakuja kukubali GMOs miaka 100 ijayo na ukifananisha life expectancy ya jamii zinazotumia GMOs ni kubwa kuliko zisizotumia kwa hiyo we need to stop that myth.
Ndiyo dunia inakoelekea mpende msipende. Na mshakula sana GMOs.
 
Mkemia sijui kasoma wapi kemia.
Tuna fikra hovyoo sana
GMOs zimetumiwa tangu binadamu anaanza kilimo. Kuna naturally occuring GMOs, nakila siku ya mungu mbegu zinakuwa genetically modified naturally or artificially.
Ukipuliza dawa za magugu, magugu yanadevelop resistance through genetic modification. Ng'ombe wa maziwa, kuku wa nyama na mayai wote tunaokula ni genetically modified breeds.
Tutakuja kukubali GMOs miaka 100 ijayo na ukifananisha life expectancy ya jamii zinazotumia GMOs ni kubwa kuliko zisizotumia kwa hiyo we need to stop that myth.
Ndiyo dunia inakoelekea mpende msipende. Na mshakula sana GMOs.
 
Aliyesambaza ujumbe kuwa mbegu za GMO ukipanda huwezi rudia msimu unaofuata sijui nani? Hakuna kitu inaitwa terminator gene ni myth siyo kweli. Zitaota sema kuna kitu kinaitwa segregation so haitakuwa na ubora wa mwanzo.
Mkuu Terminator Gene Technology is real.Wala hakuna ubishi kuhusu hili,it's simple science.Soma article ifuatayo kwa kuanzia,it's a simple one,nadhani utaelewa.Hii ndio sababu moja wapo kwa nini watu hatutaki GMOs.Mkulima masikini kuipigia magoti Monsanto kila mwaka for seed is unacceptable na kwanza hataweza.

What is Terminator technology?

Terminator technology is the genetic modification of plants to make them produce sterile seeds. They are also known as suicide seeds. Terminator's official name - used by the UN and scientists - is Genetic Use Restriction Technologies (GURTs). Although Terminator seeds are not yet being sold, in 2007 biotech companies with the support of the US Department for Agriculture were conducting greenhouse tests for future commercialisation.
Good for biotech companies, bad for farmers
Terminator spells trouble for peasant farmers throughout the developing world because they would no longer be able to save seeds to re-use from one harvest to the next. Many poor farmers cannot afford to buy seeds each year. Instead, they save, swap and share seeds that have been developed over generations. If farmers have no choice but to buy new seeds every year, the companies are guaranteed large profits at the expense of poor farmers' food security.
Why is it being developed?
The biotech companies argue that Terminator technology will prevent the contamination of non-GM crops with GM-crops. They say that if all GM varieties had the terminator trait they would not be able to spread into the environment, and so biosafety would be ensured.
However, like any other GM genes, Terminator genes could spread to other crops by cross-fertilisation and by accidental mixing. So the GM Terminator genes would themselves contaminate non GM-crops, meaning that these non-GM crops would produce sterile seeds and would no longer be GM-free.
Terminator spells the end of seed diversity
Farmers in the developing world have been breeding plants for generations and in doing so, have been responsible for developing thousands of varieties that thrive in local soils and climates. Terminator technology could spell the end of locally adapted agriculture. It would diminish the range of local and native seeds that are fundamental to local food systems.
In the face of climate change, conserving plants adapted to local conditions becomes crucial. Nobody knows in advance which crops or varieties are capable of surviving heat waves, floods, droughts and pest invasions - so it has never been more important for farmers to cultivate a well chosen diversity of traditional crops.
Corporate control over seeds
Having fewer and fewer companies in charge of the global seed supply has serious implications for global food security. In 2006, the world's top four seed companies - Monsanto, DuPont, Syngenta and Group Limagrain - accounted for half of the global seed market. Seeds are the first and essential element of the food chain: without seeds, there is no agriculture and therefore there is no food.
In 1994, the World Trade Organisation (WTO) made it compulsory for both developed and developing countries to provide some sort of monopoly rights on seeds. No serious consideration has been given to the impact that such protection can have on food security in poor countries. The seed corporations realised that the enforcement of intellectual property rights on seeds was costly and difficult. Having a self-enforcing biological way to do this would be a much more effective way for seed corporations to protect and gain from their intellectual property. This is the aim of Terminator technology.
From Terminator to zombie
The need to uphold the ban on Terminator becomes even more urgent as biotech companies are trying to develop a new type of terminator seeds - dubbed 'zombie' seeds by environmentalists. Zombie crops would be engineered to produce sterile seeds that could be brought back to life with the right treatment - probably a chemical sold by the seed companies. Zombie seeds would force farmers not only to pay for new seeds but for chemicals to make the seeds they save viable. This would create a new perpetual monopoly for the seed industry.
Hope is not yet lost
In recognition of the serious threat to the food security and livelihoods of poor farmers in developing countries, the UN's Convention on Biodiversity (CBD) established a ban on the field test and commercialisation of Terminator technology until studies show that it doesn't pose any harm to the lives of farmers or the environment.
During 2005 Progressio worked with other organisations for the ban to be upheld at the March 2006 CBD meeting. Thanks to the strong support of the British public, over 250 MPs from all parties signed an Early Day Motion 1300 asking the UK Government to support the ban. This, together with the actions taken by many others around the world, was fundamental in reinforcing the international ban on Terminator technology.
 
Ni kweli huu ni ushindi mkubwa kwa watanzania. Nina imani na nchi nyingine za Afrika zitaiga ili katika kulinda afya ya walaji na vizazi vyao kutoka kwenye 'makucha'! Hongera watanzania...

Shukrani sana viongozi wa serikali kwa kuendelea kutambua umuhimu wa kulinda Watanzania katika nyanja zote.
Ngoja tumsubiri Zitto,Lissu ,Yericko na timu yao waje hapa na kuanza kupinga kama ilivyo kawaida yao kila kinachofanywa na serikali ni kibaya,wao ndio wenye akili,maono zaidi.
 
Ni Kitendo kikubwa kufanyika Duniani. Heko kwa Serikali ya Jamhuri ya Muungano. Ni jeuri ambayo MwaAfrika anapaswa kuwa nayo katika wakati ambao ni muhimu, siyo kwa nchi yetu tu bali Duniani..."...tunapitwa na nini?...

Sasa kile kipengele kinachotaka "...liability" kirudishwe.
Mungu Ibariki Afrika
Mungu Ibariki Tanzania
Yaani this brings happiness to my soul!
 
Hatuwezi kukimbia GMO, ndio kilimo kilipo na kinakokwenda. Badala ya kuogopa mabadiliko, tujitahidi tujifunze na sisi tuweze kufanya, tusije tukageuka tegemezi. GMO zimeenea sana hapa Tanzania, sijui kama itakuwa rahisi kuzizuia kwa sasa.
Kwanini watanzania wanapenda kuchangia maada yoyote hata wasipojua chochote.
 
Finally serikari wamefanya kitu ambacho naki support mda mrefu na zile research za monsato na billgate wake wapige barn kabisa maswala ya kutufanya mazombie kupitianchakula na kuharibu ardhi yetu ifike mahali yaishe GMO zinakuja na cancer sana hata hizi chanjo tunazopatiwa hospitalini zipigwe barn tu
 
Heko kwa serikali kama mmeweza kugundua hili Bomu ambalo lilikuwa linaandaliwa ili baadae liwalipukie Wakulima na Watanzania wote kwa ujumla. Kiukweli Wazungu ni watu hatari sana, miaka kidogo iliyopita kulitokea ugonjwa kwa SIMBA, huko kwenye mbuga ya Wanyama SERENGETI, Ugonjwa huu ulikuwa unawafanya simba wanaoza kwenye sehemu za nyuma, lakini nyuma ya pazia ugonjwa huu ulikuwa umepandikizwa makusudi na Wazungu waliokuwa wamekuja kwa kivuli cha kufanya utafiti juu ya wanyama haswa simba. Mungu si athumani ugonjwa huu ulipatiwa mbadala na hatimaye ukatoweka. Binafsi nimekuwa nilikilima mahidi na maharagwe miaka nenda miaka rudi lakini sijawahi kutumia mbolea yoyote ile tofauti na kuozesha magugu yaliyomo shambani kwa kuyafukia na wala sijawahi kutumia dawa zozote zile katika kilimo, zaidi sijawahi kwenda hata dukani kwenda kununua mbegu yoyote ile lakini nimekuwa nikipata mazao ya kunitosha katika matumizi yangu. Shukrani sana mleta mada na muandika barua kwa Mh Rais, maana nimeisoma na nimeelewa kwamba mwisho wa siku tutajikuta tunakuwa watumwa wa kwenda madukani kununua mbegu na madawa. Hili halina tofauti na Magonjwa hatari ambayo tumepandikiziwa na Wazungu ili tuwe watumwa wa kutaka madawa kutoka kwao.
 
S
Mkuu sidhani kama uko sahihi sana (utanisamehe kama nakosea). Kuna hybrids (chotara) na hizo GMOs. Hybrids ndo zimeenea sana hapa nchini. Hizi ukipanda zinaota vizuri sema sifa husika (kuvumilia ukame, magonjwa, uzaaji nk) hupungua kadri unavyorudia kupanda

GMOs kwa sasa zilikuwa zinafanyiwa utafiti makutupola pale. Hizi huwa zinatengenezwa mahsusi kwa kuzaa sana au kuvumilia/kukinzana na magonjwa au wadudu fulani. Na wengine wanazifanya tegemezi kwa kitu fulani ili wapate faida zaidi kwa kukuuzia more products. Kwa mfano.

1. Mbegu inaweza ikatengenezwa ma ikafanywa tegemezi kwa kiuatilifu fulani ndo izae sana. Hapa utauziwa mbegu na kulazimishwa kununua hicho kiuatilifu ili upate majibu mazuri. Hapa utaambiwa ili izae vizuri inabidi utumie hii kitu shambani kwako katika kupalilia etc


2. Inaondolewa uwezo wa kuwa mbegu baada ya kuvuna. Hili linafanyika ili urudi kwa mtengenezaji kila ukitaka kulima.

Naomba kuwasilisha
Shukrani ndugu umeeleza vizuri na kwa kifupi umeeleweka sana umewasaidia wale ambao hawana uwezo wa kusoma makala ndefu, kama MTU alikuwa hajaelewa kilichoelezwa kwenye barua ya juu basi hapa ataelewa na asipo elewa hapa basi ana lake jambo
 
Na hawa jamaa wanazisajili mbegu zao wakikukuta unapewa fine kali kama umeiba nyara za serikali..na all in all with timw zinaharibu sana mazingira kutokana na madawa yanayotumika...nadhani hawa Mosanto washaanza ingia Tanzania huko Arusha
Hawa waliingia tangu wakati wa JK, ikaleta mvutano then wakapata mahala nadhani huko Dodoma kwa ajili ya majaribio na utafiti. Na cha ajabu wanapigiwa upatu na bahadhi ya watafiti wetu pengine kwa sababu wanatoa sana mpunga. Tanzania ina eneo kubwa sana ni suala tu la kumechanise kilimo na hatutakuwa na haja ya GMO. Tuachane na jembe la mkono, tufanye kilimo cha umwagiliaji na mfumo wa masoko uwe mzuri. Tunao uwezo mkubwa sana wa kuzalisha ziada ya kutosha kabisa
 
Aliyesambaza ujumbe kuwa mbegu za GMO ukipanda huwezi rudia msimu unaofuata sijui nani? Hakuna kitu inaitwa terminator gene ni myth siyo kweli. Zitaota sema kuna kitu kinaitwa segregation so haitakuwa na ubora wa mwanzo.
Mkuu wala usibishe, MONSANTO anayo hiyo patent na alikuwa ameanza kuitumia ukizipanda hazioti, sema baada ya kelele za wenzake huko Magharibi akaitoa hiyo genes inayozuia mbegu ulizovuna zisiote. Na hapo anatuvizia tu, siku wateja wamekuwa wakubwa anairudisha tena na probably ipo kwani alistop kama miaka 5 - 6 iliyopita. Nadhani inaitwa terminator gene
 
Hatuwezi kukimbia GMO, ndio kilimo kilipo na kinakokwenda. Badala ya kuogopa mabadiliko, tujitahidi tujifunze na sisi tuweze kufanya, tusije tukageuka tegemezi. GMO zimeenea sana hapa Tanzania, sijui kama itakuwa rahisi kuzizuia kwa sasa.
Mkuu labda utanisaidia, GMO zimeenea Tanzania mahali gani? kwani hazijaanzwa kulimwa na wala mbegu zake hazijatolewa kwa public. Labda kama vyakula vinaingizwa kinyemela na kuuzwa kwa supermarket, lakini so far wakulima wetu wako safe.
 
GMOs zimetumiwa tangu binadamu anaanza kilimo. Kuna naturally occuring GMOs, nakila siku ya mungu mbegu zinakuwa genetically modified naturally or artificially.
Ukipuliza dawa za magugu, magugu yanadevelop resistance through genetic modification. Ng'ombe wa maziwa, kuku wa nyama na mayai wote tunaokula ni genetically modified breeds.
Tutakuja kukubali GMOs miaka 100 ijayo na ukifananisha life expectancy ya jamii zinazotumia GMOs ni kubwa kuliko zisizotumia kwa hiyo we need to stop that myth.
Ndiyo dunia inakoelekea mpende msipende. Na mshakula sana GMOs.
Kwa sehemu unaweza kuwa kweli, hata wazee wetu walikuwa wakitaka kupata ng'ombe bora wanachagua dume bora kabisa ili lipande jike na kupata uzao bora. Ila hiki tunachoongelea yaani GMO ilianza kwa mara ya kwanza mwaka 1983 na tangu hapo wameiendeleza kwa kasi sana na kwa sasa ukubali au ukatae madhara yake kwa nchi za dunia ya tatu yatakuwa makubwa maradufu ya faida zake. Mbegu za hybrid zinatutosha kabisa hata kwa mamia ya miaka na eneo la kutosha tunalo, maji tunayo, watu tunao why GMO?
 
Ngoja tumsubiri Zitto,Lissu ,Yericko na timu yao waje hapa na kuanza kupinga kama ilivyo kawaida yao kila kinachofanywa na serikali ni kibaya,wao ndio wenye akili,maono zaidi.
Nyie nao sasa mmezidi na muwe mnaweka kumbukumbu, sio kila kitu mnawataja hao wa upande wapili. Mh Zito alilipigia hili kelele nyingi sana akipinga GMO na tena sio leo wala jana. Hii ni serikali yetu sote kwa hiyo hao sio maadui bali ni mbadala. Sasa kila kitu tunawasukumia kuwa watapinga. Ebu tutumie bongo zetu vizuri, ona kuna watu hawatoi hoja yoyote, wakishaandika kuwa ngoja fulani waje kupinga hapo washamaliza kuchangia hoja. Sio fair kabisa
 
Ishu kubwa Ni ilel radha- utamu wa vyakula vyetu. Tena kikitoka shamba, lakini kwa hili hata Mh.Rais wangu msukuma ameishi Scandinavia anajua hata kuku hana test seuze embe!

Mfano mzur ni nyanya chungu zipo hapa nchini. Zamani Radha ya nnyanya chungu inakauchachu
 
hii ni habari njema kwa watu wote wanaoitakia mema tanzania nilishangaa wabunge tena nawaita vilaza wakipigia debe GMO hapa jamiiforums tumeijadili mara nyingi na kuipinga lakini bado kuna watu wanataka kutuingiza kwenye janga ambalo litaathiri vizazi na vizazi kiukweli Tanzania hatuna tatizo la chakula bali tuna tatizo la kusambaza chakula lakini wasomi wetu wamedhiirisha kuwa elimu waliyonayo si ya kumsaidia mtanzania bali ni kushibisha matumbo yao na familia zao pale wanapopigia debe kitu chenye madhara kwa sababu tu wanalipwa vizuri
 
Sasa nimepata picha kwanini yale machungwa ya supermarket toka Africa Kusini matamu sana na makubwa ila ndani hakuna mbegu ahsante mhe
 
Back
Top Bottom