Serikali yapiga marufuku mazao ya uhandisijeni(GMOs) nchini

Serikali yapiga marufuku mazao ya uhandisijeni(GMOs) nchini

Sasa si ufanyike kipi ni bora, kama zinazaa zaidi, hazina madhara kwetu sisi na mazingira na hazina gharama vs mbegu za asili.
Kuna mambo hata hayahitaji elimu ya chekechea.

Haya Mazao/mimea ipo Duniani kiasili na imetumika na Binadamu na Wanyama muda wote, iweje leo Binaadamu aongezee ufundi wake kuzalisha mmea njia isiyo ya kiasili na uone bado mmea/chakula hicho ni salama kama kile cha asili?

Ni sawa na kupandikiza kiungo cha bandia kwenye mwili, kinaweza kufanya kazi ndio lakini kamwe si sawa na kiungo ulichozaliwa/umbwa nacho.
 
Naunga mkono hili ila nina mambo mawili.

Kwanza ningetamani juhudi hizi ziende sambamba na kuhimiza matumizi ya mbolea ya asili, badala ya hizi mbolea za Viwandani.

Pia ninajiuliza hivi kama hao Monsato hawawezi kuanzisha hujuma, kama vile kupandikiza Wadudu waharabifu kwenye Mashamba ya Watu? maana bhita ni bhita Mura.
 
So they want to destroy our health for their
personal gain!!!

This is totally unacceptable
 
Mkuu hybrid/chotara si GMO ni cross breeding ya mmea kupata tabia fulani unazozitaka k.v mazao mengi, kuvumilia ukame, kuzaa kwa muda mfupi n.k., off course ukizipanda zinaota vizuri sana hili mazao yanapungua kila unapoendelea kuzitumiatu but zinota. GMO ni teknolojia nyingine kabisa ya kucheza na genes za mimea. na mbegu zake ukizipanda hazioti lazima ununue toka kwa mzalishaji kwa maisha yako yote.
Well technical description!
 
Kuna mtu anajiita Graph hii inamfaa. Maana jamaa sijui ana ulimbukeni wa technology au vipi. Inaonekana kwake yeye every technology has positive impact.

Uje ujionee huku kama watu wameweka hela mbele na hawajali afya yako wala mazingira.

Hehe mkuu don't take this personal.
Sijasema kila technology ina positive impact, ila sitokaa kama nyie mnaoamini kila technology imetengenezwa kwa ajili ya kuwaua, you always blame hawa mnaowaita "mabepari" kana kwamba ubepari ni kitu kibaya. Don't have time for your bs, technology ndo inazungusha dunia sasa hivi.
 
Hiki kitu mimi nilikiona juzi kwenye Televison, shamba kubwa na zuri mno la mahindi pale Makutupora. Sasa nikawa najiuliza, requirements za kutumia GMO huwa ni zipi? Kwamba what are we now lacking as opposite to the previous days, kiasi kwamba sasa tunataka kuanza kutmuia mbegu za aina hii? Are we really in a situation ambayo inatulazimu kutumia mbegu hizi? Na kama ni optional, kwa nini?

Source: Utafiti marufuku
 
Mungu Mkubwa ,ilikuwa tuingizwe tena utumwani
Bado yapo mengi ya kupigania mkuu,na hata hili inabidi tuwe makini sana,hasa sisi wananchi.Akiingia madarakani Rais mchumia tumbo,si ajabu kibao kikageuka.
 
Someni hii:-

10 Reasons to Avoid GMOs

1. GMOs are unhealthy.
The American Academy of Environmental Medicine (AAEM) urges doctors to prescribe non-GMO diets for all patients. They cite animal studies showing organ damage, gastrointestinal and immune system disorders, accelerated aging, and infertility. Human studies show how genetically modified (GM) food can leave material behind inside us, possibly causing long-term problems. Genes inserted into GM soy, for example, can transfer into the DNA of bacteria living inside us, and that the toxic insecticide produced by GM corn was found in the blood of pregnant women and their unborn fetuses.
Numerous health problems increased after GMOs were introduced in 1996. The percentage of Americans with three or more chronic illnesses jumped from 7% to 13% in just 9 years; food allergies skyrocketed, and disorders such as autism, reproductive disorders, digestive problems, and others are on the rise. Although there is not sufficient research to confirm that GMOs are a contributing factor, doctors groups such as the AAEM tell us not to wait before we start protecting ourselves, and especially our children who are most at risk.
The American Public Health Association and American Nurses Association are among many medical groups that condemn the use of GM bovine growth hormone, because the milk from treated cows has more of the hormone IGF-1 (insulin-like growth factor 1)―which is linked to cancer.
2. GMOs contaminate―forever.
GMOs cross pollinate and their seeds can travel. It is impossible to fully clean up our contaminated gene pool. Self-propagating GMO pollution will outlast the effects of global warming and nuclear waste. The potential impact is huge, threatening the health of future generations. GMO contamination has also caused economic losses for organic and non-GMO farmers who often struggle to keep their crops pure.
3. GMOs increase herbicide use.
Most GM crops are engineered to be “herbicide tolerant”―they deadly weed killer. Monsanto, for example, sells Roundup Ready crops, designed to survive applications of their Roundup herbicide.
Between 1996 and 2008, US farmers sprayed an extra 383 million pounds of herbicide on GMOs. Overuse of Roundup results in “superweeds,” resistant to the herbicide. This is causing farmers to use even more toxic herbicides every year. Not only does this create environmental harm, GM foods contain higher residues of toxic herbicides. Roundup, for example, is linked with sterility, hormone disruption, birth defects, and cancer.
4. Genetic engineering creates dangerous side effects.
By mixing genes from totally unrelated species, genetic engineering unleashes a host of unpredictable side effects. Moreover, irrespective of the type of genes that are inserted, the very process of creating a GM plant can result in massive collateral damage that produces new toxins, allergens, carcinogens, and nutritional deficiencies.
5. Government oversight is dangerously lax.
Most of the health and environmental risks of GMOs are ignored by governments’ superficial regulations and safety assessments. The reason for this tragedy is largely political. The US Food and Drug Administration (FDA), for example, doesn’t require a single safety study, does not mandate labeling of GMOs, and allows companies to put their GM foods onto the market without even notifying the agency. Their justification was the claim that they had no information showing that GM foods were substantially different. But this was a lie. Secret agency memos made public by a lawsuit show that the overwhelming consensus even among the FDA’s own scientists was that GMOs can create unpredictable, hard-to-detect side effects. They urged long-term safety studies. But the White House had instructed the FDA to promote biotechnology, and the agency official in charge of policy was Michael Taylor, Monsanto’s former attorney, later their vice president. He’s now the US Food Safety Czar.

6. The biotech industry uses “tobacco science” to claim product safety.

Biotech companies like Monsanto told us that Agent Orange, PCBs, and DDT were safe. They are now using the same type of superficial, rigged research to try and convince us that GMOs are safe. Independent scientists, however, have caught the spin-masters red-handed, demonstrating without doubt how industry-funded research is designed to avoid finding problems, and how adverse findings are distorted or denied.
7. Independent research and reporting is attacked and suppressed.
Scientists who discover problems with GMOs have been attacked, gagged, fired, threatened, and denied funding. The journal Nature acknowledged that a “large block of scientists . . . denigrate research by other legitimate scientists in a knee-jerk, partisan, emotional way that is not helpful in advancing knowledge.” Attempts by media to expose problems are also often censored.

8. GMOs harm the environment.

GM crops and their associated herbicides can harm birds, insects, amphibians, marine ecosystems, and soil organisms. They reduce bio-diversity, pollute water resources, and are unsustainable. For example, GM crops are eliminating habitat for monarch butterflies, whose populations are down 50% in the US. Roundup herbicide has been shown to cause birth defects in amphibians, embryonic deaths and endocrine disruptions, and organ damage in animals even at very low doses. GM canola has been found growing wild in North Dakota and California, threatening to pass on its herbicide tolerant genes on to weeds.
9. GMOs do not increase yields, and work against feeding a hungry world.
Whereas sustainable non-GMO agricultural methods used in developing countries have conclusively resulted in yield increases of 79% and higher, GMOs do not, on average, increase yields at all. This was evident in the Union of Concerned Scientists’ 2009 report Failure to Yield―the definitive study to date on GM crops and yield.
The International Assessment of Agricultural Knowledge, Science and Technology for Development (IAASTD) report, authored by more than 400 scientists and backed by 58 governments, stated that GM crop yields were “highly variable” and in some cases, “yields declined.” The report noted, “Assessment of the technology lags behind its development, information is anecdotal and contradictory, and uncertainty about possible benefits and damage is unavoidable.” They determined that the current GMOs have nothing to offer the goals of reducing hunger and poverty, improving nutrition, health and rural livelihoods, and facilitating social and environmental sustainability.
On the contrary, GMOs divert money and resources that would otherwise be spent on more safe, reliable, and appropriate technologies.
10. By avoiding GMOs, you contribute to the coming tipping point of consumer rejection, forcing them out of our food supply.
Because GMOs give no consumer benefits, if even a small percentage of us start rejecting brands that contain them, GM ingredients will become a marketing liability. Food companies will kick them out. In Europe, for example, the tipping point was achieved in 1999, just after a high profile GMO safety scandal hit the papers and alerted citizens to the potential dangers. In the US, a consumer rebellion against GM bovine growth hormone has also reached a tipping point, kicked the cow drug out of dairy products by Wal-Mart, Starbucks, Dannon, Yoplait, and most of America’s dairies.
NOTE: As an additional motivation to avoid GMOs, you may wish to take a lesson from the animals. Eyewitness reports from around the world describe several situations where animals, when given a choice, avoid genetically modified food. These include cows, pigs, geese, elk, deer, raccoons, mice, rats, squirrels, chicken, and buffalo. We’re pretty sure the animals didn’t read the above 10 reasons.
The Campaign for Healthier Eating in America is designed to achieve a tipping point against GMOs in the US. The number of non-GMO shoppers needed is probably just 5% of the population. The key is to educate consumers about the documented health dangers and provide a Non-GMO Shopping Guide to make avoiding GMOs much easier.
Please choose healthier non-GMO brands, tell others about GMOs so they can do the same, and join the Non-GMO Tipping Point Network. Together we can quickly reclaim a non-GMO food supply.

By:
IRT
Institute For Responsible Technology

The Most Comprehensive Source of GMO Health Information on the Web.
 
Unaongea nini wewe unajua ulimwengu uliko sasa katika technology ya kilimo?. Mbona huwa mnaongea pumba tu. Unafikiri Ulaya, America, Asia wote hao wanakula chakula cha asili.

The matter here is TBS and TFDA mzee. Nikupe mfano unafikili nyanya zinazolimwa na kupigwa madawa yasiyo na uwiano sahihi ni salama Kwa matumizi ya binadamu?.

Haupo salama Kama unavyofikili, kuna asali ya kutoka Tabora tena wanaitwa ni ya asili ilifanyiwa analysis majubi yake haifai Kwa matumizi ya binadamu Kwa sababu imeasiliwa na dawa za kupulizia tumbaku.

Msishangilie Kila kitu jiulizeni Kwanini wazungu wanatumia Sana chemical food bado Maisha yao no marefu kuliko tuaojiita walaji wa vyakula vya asili. Baba TBS ni mhimu Kwa vyakula.
[emoji22][emoji22][emoji22]
 
Ni bora zimepigwa marufuku maana tulikuwa tunakaribisha janga la kujitakia
 
Jamani mnatuchanganya na hizi taarifa. Jana imeripotiwa humu JF wabunge wameshangilia kuletwa GMO. Leo mnasema GMO zimesitishwa.
Tatizo la hawa hawafanyi utafiti, wanafanya majaribio ili kuonyesha kwamba ni mbegu bora. Makampuni yanayotoa GMO yanatumia nguvu nyingi sana kulazimisha ubora wa bidhaa zao lakini ukweli ni kwamba hakuna aliye na uhakika wa usalama wa mazao haya.

Bahati mbaya kuna watu wana digrii za mambo hayo, wanajifanya hiyo ni taaluma yao na ni lazima ifanikiwe.
 
Nisaidieni tofauti ya mbegu za hybrid na GMO,nielimishe tafadhali kuna mambo nataka kuelewa katika hayo,
pia tofauti ya hybrid na organic farming,au hybrid inaweza kutumika kwenye organic farming!

GMO ni kifupi cha Genetic modified organism, kifupi kila mnyama au mmea umeumbwa na chembe chembe ndogo ndogo zinazitwa cell, na cell zimeumbwa na genes ambayo ni proteins, na proteins zimeundwa muunganiko wa DNA na DNA zimeundwa na RNA

Gene ambazo zinaundwa na DNA zinakazi ya kuzalisha cell nyingine na kutunza kumbukumbu ndio maana unaona nywele na kucha zinakuwa na ukijikata unapona.

Sasa katika GMO wataalamu wanafanya kisoma gene na kufuta kumbumbu fulani zisiotakiwa na kuongeza kumbukumbu zinatakikana, kama vile kuongeoza uwezo wa kuhimili magonjwa, kuzaa zaidi, kukomaa haraka. Mbegu zilizopita katika zoezi hilo huitwa GMO

Naomba kuwasilisha
 
Hivi kuku wa kisasa wa nyama na mayai si wanatokana na GMO? kulisha dunia ya sasa mambo ya GMO hayaepukiki?
 
Back
Top Bottom