Restless Hustler
JF-Expert Member
- Apr 9, 2017
- 5,150
- 20,025
Hivi nauli ya Tazara kwenda Mbeya shs ngapi wakuu?Rest in peace watu wa mjini
Si unachekelea vichaka navyo vitakulaki kwa cheko muheko!Kwa kweli
Maana possibility za kumwagwa vichakani nazo zinaweza ongezeka
Mi naona watu kuanza kuvulishwa nguo hadharani nakuporwa mali na vi Infinix mixer iphone zao...πNawaona wazee wa kula tunda kimasihara wanavyokenua
Hii huduma mbona ipo kitambo, mimi nimesafiri several times na bus moja sijui linatokea Uganda au Sirari, ila linaendeshwa na waarabu koko fulani mirungi sana kwa kama miaka mitatu nimekuwa napanda bus hilo saa 4 usiku pale Dodoma naingia Dar 12 au 11 alfajiriHayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani Nchi, Jumanne Sagini wakati anaongea na Baraza la Taifa la Usalama Barabarani na kusema kuwa wamefikia maamuzi hayo baada ya Serikali kuimarisha shughuli za uchumi wa wananchi wake wa maeneo ya mjini na Vijijini.
Hatari san, tena kwa barabara zetu mbovu na madereva wetu wasiokuwa makini ni hatari.Kuruhusu usafiri kwa saa 24 ni kutengeneza bomu ajali zitakuwa nyingi
Sipati picha December hii sijui itakuaje Huko barabarani.Polisi na zimamoto na uokoaji nao wasilale usiku kucho wafanye doria barabarani. Afadhali usafiri wa kwenda mikoani utapatikana masaa yote hata jioni unaanza safari kwenda dar, kutoka dar kwenda mikoani usafiri utapatikana muda wote itapunguza kupoteza siku kwa safari moja hakuna kulala gesti
Kilimanjaro wameanza kitambo kusafiri usiku.Afadhali eheee
Unalala Pwani, unaamkia Mwanza. ππ
ITV HABARI saa mbili usiku leoChanzo cha habari tafadhali!
Negative comment Huwa hai?hazikosekani!Kuruhusu usafiri kwa saa 24 ni kutengeneza bomu ajali zitakuwa nyingi
UsiogopeKuruhusu usafiri kwa saa 24 ni kutengeneza bomu ajali zitakuwa nyingi