Skid Row Boy
JF-Expert Member
- Mar 15, 2023
- 290
- 401
Kila kitu tunalaumu, hatuna jema hata moja.Watanzania ni kundi la wapumbavu, wao ndo walikuwa wanailalamikia serikali kuwa uwanja mbovu.
Leo serikali inatengeneza hawajasoma hata nini kinatengenezwa na nani atalipia nini ila wanalaumu na kutoa matusi.