Serikali yasaini mkataba wa Bilioni 30 kukarabati Uwanja wa Benjamin Mkapa

Serikali yasaini mkataba wa Bilioni 30 kukarabati Uwanja wa Benjamin Mkapa

Subirini mpewe details za huo ukarabati acheni kuongea ongea kama watu mliopagawa
 
Wizara ya Michezo imetangaza kufanya ukarabati mkubwa wa Uwanja wa Benjamin Mkapa kwa Shilingi Bilioni 31.

Ikumbukwe uwanja huu ulijengwa kwa Bilioni 60 na kuzinduliwa mwaka 2007. Nini maoni yako juu ya ukarabati huu wa bilioni 31??
View attachment 2700884
Kwanza huu uwanja uko chini ya Wizara gani? Manaa hii gharama ya ukarabati ni kubwa kuliko Bajeti ya Wizara ya michezo
 
Uwanja uliojengwa kwa 60bil unakarabatiwa kwa 31bil (52%).

Hata kama muda umepita na vifaa vya ujenzi vimepanda bei ila 31bil ni nyingi sana kwenye ukarabati tu. Hizo hela zingeweza kuweka viti na majukwaa uwanja wa pili (Uhuru Stadium) au hata kuanzisha uwanja mwingine mdogo hata Kigamboni labda.

31bik ni unang'oa viti na majukwaa yote urudishie vingine au? Ukute hata hii sio bajeti halisi bali watu wameweka "cha juu" as usual.
Sasa una Miaka zaidi ya 15 so hakuna Cha kushangaza hapo sema Ili kupunguza over utilization tuanze kujenga viwanja vingine
 
CCM wanatengeneza hela ya uchaguzi mkuu 2025
Acheni upuuzi wenu nyie
 
Wizara ya Michezo imetangaza kufanya ukarabati mkubwa wa Uwanja wa Benjamin Mkapa kwa Shilingi Bilioni 31.

Ikumbukwe uwanja huu ulijengwa kwa Bilioni 60 na kuzinduliwa mwaka 2007. Nini maoni yako juu ya ukarabati huu wa bilioni 31??
View attachment 2700884
Uwanja unafanyiwa renovations Kwa hiyo wako sawa kabisa
 
Wafanye yote Ila wasisahau tu kuweka bana za video humo pembeni😁
Japo vyoo ni changamoto Ila Kwa kuwa mm siwezi kunisaidia tofauti na Nyumbani kwangu au kazini kwangu Wala Haina shida😃
 
Hiyo hela ni nyingi sana kwa ukarabati... Daah
Hapo unajenga uwanja mpya wa seat capacity 30,000 ..

Hivi watanzania sijui hatujui makadirio ya ujenzi.. au ni nini kimetukumba?

Yaani ukarabati wa billion 5 (maximum) tunaambiwa billioni 31..?

Kweli.. hii hatari
 
Hiyo hela ni nyingi sana kwa ukarabati... Daah
Hapo unajenga uwanja mpya wa seat capacity 30,000 ..

Hivi watanzania sijui hatujui makadirio ya ujenzi.. au ni nini kimetukumba?

Yaani ukarabati wa billion 5 (maximum) tunaambiwa billioni 31..?

Kweli.. hii hatari
Usiwe mjinga weww nyumba uliyojenga kwa milioni 20 unaweza kuamua kuikarabati kwa shilingi milioni 50 kipi ambacho huelewi hapo au una akili ndogo? Wewee unajua kitakachowekwa hapo uwanjani baada ya hayo marekebisho?
 
Sasa una Miaka zaidi ya 15 so hakuna Cha kushangaza hapo sema Ili kupunguza over utilization tuanze kujenga viwanja vingine
Hivi ulishawahi kufika kwenye huu uwanja na unailewa vizuri 31Bil? Ngoja tuone watabadili nini
 
Usiwe mjinga weww nyumba uliyojenga kwa milioni 20 unaweza kuamua kuikarabati kwa shilingi milioni 50 kipi ambacho huelewi hapo au una akili ndogo? Wewee unajua kitakachowekwa hapo uwanjani baada ya hayo marekebisho?
We mbweha... kahaba... usije kufanya nikala ban..
Pumbavu kabisa... Wahed

Ukarabati wa kubadili viti na pitch useme hela zote hizo...

Huna tofauti na Prof Mruma
Uko kwenye mgao
 
Back
Top Bottom