MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 14,311
- 36,056
Subirini mpewe details za huo ukarabati acheni kuongea ongea kama watu mliopagawa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanza huu uwanja uko chini ya Wizara gani? Manaa hii gharama ya ukarabati ni kubwa kuliko Bajeti ya Wizara ya michezoWizara ya Michezo imetangaza kufanya ukarabati mkubwa wa Uwanja wa Benjamin Mkapa kwa Shilingi Bilioni 31.
Ikumbukwe uwanja huu ulijengwa kwa Bilioni 60 na kuzinduliwa mwaka 2007. Nini maoni yako juu ya ukarabati huu wa bilioni 31??
View attachment 2700884
Wizara ya Michezo imetangaza kufanya ukarabati mkubwa wa Uwanja wa Benjamin Mkapa kwa Shilingi Bilioni 31.
Ikumbukwe uwanja huu ulijengwa kwa Bilioni 60 na kuzinduliwa mwaka 2007. Nini maoni yako juu ya ukarabati huu wa bilioni 31??
View attachment 2700884
Japo uwanja umezeeka una miaka 15 Sasa vitu vingi vitakuwa vimechokasahihi kabisa uki consider inflation
Hata wajenge viwanja vipya ila ukarabati lazima ,miaka 15 ni Mingi sishangaibadala ya kujenga viwanja vingine wanafikiria upigaji tu
Sasa una Miaka zaidi ya 15 so hakuna Cha kushangaza hapo sema Ili kupunguza over utilization tuanze kujenga viwanja vingineUwanja uliojengwa kwa 60bil unakarabatiwa kwa 31bil (52%).
Hata kama muda umepita na vifaa vya ujenzi vimepanda bei ila 31bil ni nyingi sana kwenye ukarabati tu. Hizo hela zingeweza kuweka viti na majukwaa uwanja wa pili (Uhuru Stadium) au hata kuanzisha uwanja mwingine mdogo hata Kigamboni labda.
31bik ni unang'oa viti na majukwaa yote urudishie vingine au? Ukute hata hii sio bajeti halisi bali watu wameweka "cha juu" as usual.
Justification ipi zaidi ya maelezo ya Wizara? Wewe ulitaka iwe bei gani na Kwa activities zipi?
Acheni upuuzi wenu nyieCCM wanatengeneza hela ya uchaguzi mkuu 2025
Uwanja unafanyiwa renovations Kwa hiyo wako sawa kabisaWizara ya Michezo imetangaza kufanya ukarabati mkubwa wa Uwanja wa Benjamin Mkapa kwa Shilingi Bilioni 31.
Ikumbukwe uwanja huu ulijengwa kwa Bilioni 60 na kuzinduliwa mwaka 2007. Nini maoni yako juu ya ukarabati huu wa bilioni 31??
View attachment 2700884
Wabongo huwa mnapenda kujitia ujuaji sana. Wewe unajua kinachowekwa hapo ni nini? Na kina gharama kiasi gani?Upigaji tu. Unakarabati kitu kwa nusu ya gharama yake ya upya??
Unadhani kukarabati huo uwanja ni sawa na kwenda kuweka kiraka kwenye suruali yako kwa fundi cherehani?Wanajenga upya au??
Punguzeni sifuri moja Bwana .
Huwa ukarabati unatumia nini? Lete vielelezo watanzania mnapenda ujuaji sanaNi dharau kubwa ,hakuna ukarabati ambao unatumia nusu ya gharama ya ujenzi
Usiwe mjinga weww nyumba uliyojenga kwa milioni 20 unaweza kuamua kuikarabati kwa shilingi milioni 50 kipi ambacho huelewi hapo au una akili ndogo? Wewee unajua kitakachowekwa hapo uwanjani baada ya hayo marekebisho?Hiyo hela ni nyingi sana kwa ukarabati... Daah
Hapo unajenga uwanja mpya wa seat capacity 30,000 ..
Hivi watanzania sijui hatujui makadirio ya ujenzi.. au ni nini kimetukumba?
Yaani ukarabati wa billion 5 (maximum) tunaambiwa billioni 31..?
Kweli.. hii hatari
Hivi ulishawahi kufika kwenye huu uwanja na unailewa vizuri 31Bil? Ngoja tuone watabadili niniSasa una Miaka zaidi ya 15 so hakuna Cha kushangaza hapo sema Ili kupunguza over utilization tuanze kujenga viwanja vingine
We mbweha... kahaba... usije kufanya nikala ban..Usiwe mjinga weww nyumba uliyojenga kwa milioni 20 unaweza kuamua kuikarabati kwa shilingi milioni 50 kipi ambacho huelewi hapo au una akili ndogo? Wewee unajua kitakachowekwa hapo uwanjani baada ya hayo marekebisho?
Mwaka 2024/06Marekebisho yanaisha lini turudi kukumbushana