Serikali yasaini mkataba wa Bilioni 30 kukarabati Uwanja wa Benjamin Mkapa

Serikali yasaini mkataba wa Bilioni 30 kukarabati Uwanja wa Benjamin Mkapa

Bil 30 hupati uwanja acha uongo. WATZ mnapenda kulalamika kisenge yaani. Ule uwanja unajua umegharimu Usd ngapi? Ukiipata hiyo ibadilishe kwa pesa ya leo.
mkuu najua upo kwenye ulaji..
Hongera
 
mkuu najua upo kwenye ulaji..
Hongera
Huo uwanja gharama yake ilikuwa USD 56 MILLION. Ibadilishe hiyo fedha kwa fedha ya kibongo leo uone gharama yake.

Afu ukimaliza linganisha na bil 30 hizo.
 
Kwenye huo ukarabati sioni mahali wamegusia kupaka rangi mjengo ule, vilivyotajwa ni vile vilivyoko ndani, muonekano wa kupendeza kwa nje ...kama kawaida ya watendaji wetu fungu lake litapotelea kwenye 10% ya watendaji...

Maboresho yakitamatika, mbivu na mbichi zitaonekana.
 
Kwenye huo ukarabati sioni mahali wamegusia kupaka rangi mjengo ule, vilivyotajwa ni vile vilivyoko ndani, muonekano wa kupendeza kwa nje ...kama kawaida ya watendaji wetu fungu lake litapotelea kwenye 10% ya watendaji...

Maboresho yakitamatika, mbivu na mbichi zitaonekana.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Yaani Bongo kila kitu mnahisi mnaibiwa, basi mwambie baba yako akakarabati yeye ule uwanja.
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Yaani Bongo kila kitu mnahisi mnaibiwa, basi mwambie baba yako akakarabati yeye ule uwanja.
Sasa baba yangu anaingiaje kwenye mjadala huu? wewe toa maoni yako tu, lengo la jukwa hili ni kujadili hoja sio kutweza.
 
Watanzania ni watu wa kufata upepo

Mechi ya Stars umeme ulipozingua lawama zikatupwa kwa swrikali

Maji yakituama lawama kwa serikali

Leo marekebisho yanataka fanyika wale wale wanalalamika
Ujuaji mwingi, yaani hawajui kama ukarabati sio repairing tu ni pamoja na ku upgrade na renovation , inawezekana kabisa nyumba ya million 30 ukaikarabati kwa million 40 inategemeana unataka kuweka vitu gani

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Ujuaji mwingi, yaani hawajui kama ukarabati sio repairing tu ni pamoja na ku upgrade na renovation , inawezekana kabisa nyumba ya million 30 ukaikarabati kwa million 40 inategemeana unataka kuweka vitu gani

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Watanzania wengi wanasoma kichwa cha habari tu.
Ila ukizama humo ndani waona kabisa kuwa mambo sio madogo yatayofanyika.
Na imeeleza kabisa kuwa kuna sehemu CAF watahusika, na kuna sehemu TFF itahusika.

Uwanja ubakie kuwa wa mpira tu, tofauti na mpira watafute sehemu zingine.

Viti vitavyotolewa vipelekwe viwanja vya mikoani
 
Nchi hii kuna watu wanaifaidi sana. Anyway, hivyo viti wanavyoving'oa, wavipake rangi vikawekwe katika viwanja viwili vya mikoani vya kuingiza watu 30,000 kila kimoja tupate viwanja vingine 2 wenye standard nzuri ya pitch na majukwaa.

Natumaini makubaliano na hao wachina yatajumuisha maboresho ya viwanja hivyo vingine viwili.
Viwanja vya mikoani ni mali ya CCM

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Huu ni upumbavu aisee ujue waha wapuuzi sijui wanatuonaje hivi zile pesa wanazokata kwajili ya usafi na ukarabati wa uwanja huwa wanapeleka kwa matumbo yao.
Ni mara ngapi kila ukienda Mkapa mtu unakuta hata toilets tu ni chafu sana hazifai, pale nje parking za magari zile paving unakuta zinaota majani yaani hadi unajiuliza hivi huu uwanja hakuna waangalizi.
Mnakumbuka tukio la aibu ya umeme kukatika katika mchezo this year.
 
Kiti kimoja ni 60000 haya zindisha na 60,000
Ile system ya TV zaidi ya Bil 1 kuiweka pale.
System ya Ulinzi, electronic system, Camera za uwanja, Taa za uwanjani, Paa la uwanja, mifumo ya maji safi na Taka
Fire systems
sasa kwa maelezo haya huo sio ukarabati, ni ujenzi mpya mkuu ndio mana tunasema hio hela inaweza kujenga viwanja vya Azam viwili..........
 
sasa kwa maelezo haya huo sio ukarabati, ni ujenzi mpya mkuu ndio mana tunasema hio hela inaweza kujenga viwanja vya Azam viwili..........
Ko tukijenga uwanja mpya huu wa mkapa tuuache uoze? 🤔
Na huo mpya baada ya miaka 15 tuuche tujenge mpya?
 
Katibu Mkuu wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo Bw. Saidi Yakubu akizungumza katika Hafla ya Utiaji Saini Mkataba wa Ukarabati wa Uwanja wa Benjamin Mkapa, tarehe 27 Julai, 2023.
 
Back
Top Bottom