Serikali yasaini mkataba wa Bilioni 30 kukarabati Uwanja wa Benjamin Mkapa

Serikali yasaini mkataba wa Bilioni 30 kukarabati Uwanja wa Benjamin Mkapa

Hivi ulishawahi kufika kwenye huu uwanja na unailewa vizuri 31Bil? Ngoja tuone watabadili nini
Wacha kukurupuka watabadili viti vyote ,pitch inajengwa up ya,Mifumo ya taa,vyumba vya Kubadilisha nguo nk nk

Mwisho unajua bei ya vifaa vya ujenzi lakini?
 
Watanzania ni watu wa kufata upepo

Mechi ya Stars umeme ulipozingua lawama zikatupwa kwa swrikali

Maji yakituama lawama kwa serikali

Leo marekebisho yanataka fanyika wale wale wanalalamika
 
We mbweha... kahaba... usije kufanya nikala ban..
Pumbavu kabisa... Wahed

Ukarabati wa kubadili viti na pitch useme hela zote hizo...

Huna tofauti na Prof Mruma
Uko kwenye mgao
Kiti kimoja ni 60000 haya zindisha na 60,000
Ile system ya TV zaidi ya Bil 1 kuiweka pale.
System ya Ulinzi, electronic system, Camera za uwanja, Taa za uwanjani, Paa la uwanja, mifumo ya maji safi na Taka
Fire systems
 
Kiti kimoja ni 60000 haya zindisha na 60,000
Ile system ya TV zaidi ya Bil 1 kuiweka pale.
System ya Ulinzi, electronic system, Camera za uwanja, Taa za uwanjani, Paa la uwanja, mifumo ya maji safi na Taka
Fire systems
Mkuu, Nchi yetu ni maskini...
Tunahitaji uwanja Dodoma, Arusha nk

Serikali imepanga kujenga viwanja Dodoma na Arusha..
Kwa Arusha gharama zinafika billioni 40 ..huo ni uwanja umekamilika..

Sasa inahitaji busara na maamuzi mazuri kwa uwanja wa mkapa.. Ambapo ni kubadili pitch kwa sasa..

Mambo ya kuweka paa la juu kama uwanja wa Madrid wapi na wapi?

Unataka kusema wataweka seat kama uwanja wa Real Madrid?

Tuwe wa kweli hatujafikia huko.. Na hiyo Billion 31 ..ukiongeza kidogo unapata uwanja mzuri sana sehemu nyingine.. Ukarabati ufanyike ila hiyo hela ni balaa
 
Wabongo huwa mnapenda kujitia ujuaji sana. Wewe unajua kinachowekwa hapo ni nini? Na kina gharama kiasi gani?
Huwezi kunishawishi kwa hili. Watanzania tunajuana. Kwa miradi ya umma mtu haweki bajeti bila kuzidisha cha juu chake.
 
Wacha kukurupuka watabadili viti vyote ,pitch inajengwa up ya,Mifumo ya taa,vyumba vya Kubadilisha nguo nk nk

Mwisho unajua bei ya vifaa vya ujenzi lakini?
Wewe ndio unakurupuka, umeona wapi list na bei ya vitu vitakavyobadilishwa kama sio kudandia treni kwa mbele? Unajua bei ya vifaa pia?
 
Huwezi kunishawishi kwa hili. Watanzania tunajuana. Kwa miradi ya umma mtu haweki bajeti bila kuzidisha cha juu chake.
Sahihi kabisa,
Hasa kwa utawala huu uliopo.
 
Wewe ndio unakurupuka, umeona wapi list na bei ya vitu vitakavyobadilishwa kama sio kudandia treni kwa mbele? Unajua bei ya vifaa pia?
Toa upumbavu wako hapa,kasome taarifa ya Wizara.

Harafu wewe sio engineer Huwez jua Kila item isipokuwa mojor items tuu.
 
Toa upumbavu wako hapa,kasome taarifa ya Wizara.

Harafu wewe sio engineer Huwez jua Kila item isipokuwa mojor items tuu.
Pumbavu mwenyewe, mjinga sana wewe mbumbumbu. Una elimu gani kwanza? Rudi shule.

Harafu = Halafu
Mojor = Major.
 
Katibu Mkuu wa Wizara ya Utamaduni Sanaa na Michezo, Said Yakubu amesema Serikali ya [emoji1241] imetoa Tsh 30 𝘽𝙄𝙇𝙇𝙄𝙊𝙉 kwa ajili ya kuufanyia ukarabati uwanja wa Mkapa.

Amesema maboresho hayo yatafanyika katika maeneo ya kuchezea, vyumba vya wachezaji na kutoa viti vyote vya uwanja huo.

Uwanja wa Mkapa ulizindulwa rasmi mwaka (2007). Mpaka kukamilika uligharimu kiasi cha $ 56 Million sawa na Tsh 137+ 𝘽𝙄𝙇𝙇𝙄𝙊𝙉.

===
View attachment 2700662
View attachment 2700663
Serikali kupitia Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo imesaini mkataba wa makubaliano ya ukarabati wa Uwanja wa Benjamin Mkapa na Kampuni ya Beijing Construction Engineering Group (BCEG) ya China ambao utagharimu zaidi ya Sh. bilioni 31 hadi kukamilika Julai 2024.

Hayo yamesemwa Dar es Salaam Julai 27, 2023 na Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Pindi Chana baada ya kusaini mkataba na kampuni BCEG ya China ambao pia ndio waliojenga uwanja huo.

Alisema lengo la kukarabati huo ni kufikia viwango vya Chama cha Mpira wa Miguu Duniani (FIFA) Pamoja na Chama cha Mpira wa Miguu Afrika (CAF) ili uendelee kuwa bora zaidi.

"Wito wangu kwa kampuni ya BCEG, hakikisheni kazi hii mnayoifanya iwe ya viwango vinavyowekwa iendane na ubora na viwango vya CAF na FIFA na ikamilike kwa wakati” amesema Dkt. Chana.

Naye Katibu Mkuu wa wizara hiyo, Bw. Said Yakubu amesema uwanja huo utafanyiwa marekebisho katika eneo la vyumba vya wachezaji, chumba cha waandishi wa Habari, eneo la watu mashuhuri (VVIP), kubadilisha viti vyote vya kukalia mashabiki uwanjani hapo, ubao wa kuonesha matokeo, kuweka mfumo mpya wa TEHAMA, kubadilisha eneo la kuchezea na seti mbili za magoli ambazo zitatumika uwanjani hapo.

Maeneo mengine ambayo yatafanyiwa ukarabati ni viti vya benchi la ufundi na wachezaji wa akiba, mfumo wa umeme, mfumo wa sauti, eneo la kukimbilia wanariadha, chumba cha VAR, lifti mbili mpya, mfumo wa taa, mfumo wa maji taka, mgahawa pamoja na vitu vingine ambavyo vimepita muda wa matumizi kwani vilitakiwa kutumika kwa muda wa miaka saba tu.

Aidha, Katibu Mkuu Yakubu ametoa wito kwa watumiaji wa uwanja huo wakiwemo mashabiki, kuhakikisha wanatunza miundombinu ya uwanja huo ili iendelee kutumika kadiri ilivyopangwa na kuendelea kuwa eneo la watanzania kupata burudani wakati wa kuangalia mechi mbalimbali na nchi jirani wanautumia kama uwanja wao wa nyumbani.

Katika kufanikisha ukarabati huo, Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF) watatoa viti vipya vitakavyotumiwa na benchi la ufundi pamoja na wachezaji wa akiba wakati mechi uwanjani hapo na Shirikisho la Mpira Afrika (CAF) litagharimia matengenezo ya eneo la kuchezea mpira katika uwanja huo.
Nasikia wanaweka viti vya dhahabu
 
Nchi hii kuna watu wanaifaidi sana. Anyway, hivyo viti wanavyoving'oa, wavipake rangi vikawekwe katika viwanja viwili vya mikoani vya kuingiza watu 30,000 kila kimoja tupate viwanja vingine 2 wenye standard nzuri ya pitch na majukwaa.

Natumaini makubaliano na hao wachina yatajumuisha maboresho ya viwanja hivyo vingine viwili.
Hili wazo zuri Sana
 
Mkuu, Nchi yetu ni maskini...
Tunahitaji uwanja Dodoma, Arusha nk

Serikali imepanga kujenga viwanja Dodoma na Arusha..
Kwa Arusha gharama zinafika billioni 40 ..huo ni uwanja umekamilika..

Sasa inahitaji busara na maamuzi mazuri kwa uwanja wa mkapa.. Ambapo ni kubadili pitch kwa sasa..

Mambo ya kuweka paa la juu kama uwanja wa Madrid wapi na wapi?

Unataka kusema wataweka seat kama uwanja wa Real Madrid?

Tuwe wa kweli hatujafikia huko.. Na hiyo Billion 31 ..ukiongeza kidogo unapata uwanja mzuri sana sehemu nyingine.. Ukarabati ufanyike ila hiyo hela ni balaa
Bil 30 hupati uwanja acha uongo. WATZ mnapenda kulalamika kisenge yaani. Ule uwanja unajua umegharimu Usd ngapi? Ukiipata hiyo ibadilishe kwa pesa ya leo.
 
Kuna mwekezaji mmoja
Kutoa bill 20 TU Ni shughuli pevu
Afu kawaahidi kuwajengea kiwanja[emoji28]
 
Back
Top Bottom