Serikali yasaini mkataba wa Bilioni 30 kukarabati Uwanja wa Benjamin Mkapa

Watanzania tukatae huu wizi wa mchana Mweupe,pesa hiyo inatosha sana kujenga Uwanja Mpya wa Ukubwa wa watu kuanzia 30,000
 
Uwanja wa MKAPA ulijengwa kwa BIL.60
LEO unafanyiwa UKATABATI kwa BIL.30 haya ni MAFANIKIO MAKUBWA inaonekana Nusu ya UWANJA unahitaji kufanyiwa UKARABATI
 
Katibu Mkuu wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo Bw. Saidi Yakubu akizungumza katika Hafla ya Utiaji Saini Mkataba wa Ukarabati wa Uwanja wa Benjamin Mkapa, tarehe 27 Julai, 2023.View attachment 2701236
Hii nchi , twende tu sasa hafla ya nini, tunajiabisha sana kama taifa yani kukarabati kile kilichokuepo , tena unalipa pesa unafanya hafla?

Napendekeza kuanzia sasa angakau kubadili kwa dharula sheria zetu kwamba ukiondoa Rais , makam wa rais , waziri mkuu, watendaji wakuu kwenye wizara nyeti ,washauri wa rais kwenye mambo ya kimaendeleo na uchumi ,na mipango tuajiri watu toka nje katika nchi ambazo zimepiga hatua kwa mikataba kana ambavyo Tim za mpira wanafanya,

Sie Watanzania tunaaminiwa ila to wapumbavu ,wajinga, wabinfsi ,upumbavu gani huu, yani watu wapumbavu wanafanya wote tuwe wapumbavu na kua na haibu mbele za watu why
 
Tulizeni vikojoleo nchi ina wenyew... Nyie si mpo bize na DP world
 
Huu ni wizi wa mchana kbs. TAKUKURU wamelala sana hiyo pesa ingeenda kujenga uwanja Dodoma.
 
Nilishtuka usingizini Nilifikiri naota kumbe radio ilikuwa anasema hayo!
 
Hivyo viti vilivyotolewa kuna mwanasiasa atapewa kama sadaka mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…