Serikali yasalimu amri mgomo wa wafanyabiashara Kariakoo, yakubali kusitisha kamatakamata ya TRA na kuleta mfumo mpya wa kodi

Kiufupi wafanyabiashara wanajipangia walipe kodi ipi na kiasi kipi.. wafanyakazi wa serikali especially walimu mmeona wenzenu wamekaza wamepata wanachokitaka,kuna cha kujifunza hapa.
 
Mada inazungumzia malalamiko ya wafanyabiashara na ukiyasikiliza ukitoa swala la machinga mbele ya maduka (tatizo kweli), mengine ni ya uelewa wao tu kwa upande wa wafanyabiashara.

Hayo ya TRA kuvizia watu hakuna anaekataa hizo possibilities, ukikutana na kesi ya namna hiyo with evidence anzisha mada wana JF kwa umoja wetu tutakusaidia kuikemea serikali haki ipatikane.

Lakini kwenye haya malalamiko hadi kugoma 90% ya demands ni limitations za wafanyabiashara tu kwa mambo ambayo yapo wazi ni wao tu kujielemisha.
 
Hiyo damu ilimwagika wapi? Nani alimwagwa damu? Nani alinyang'anywa fedha zake? Unaweza kunitajia hao watu na walinyang'anywa kiasi gani?
 
Wanadekezwa hao na Samia Kwa sababu Kila kitu anawasikiliza.

Rais angekuwa Magu au Makonda au Mwigulu na PM Chalamila hakuna rangi wangeacha kuona

View: https://www.instagram.com/reel/C8mEzRNN7QA/?igsh=aDNoeDhzdTh2b3czView attachment 3024811
Wajinga kama hao uliotaja huwa hawachelewi kupigwa pini na wajeda wenyewe. Unakumbuka ile kauli ya kihuni kuwa watafanya usafi wa kudumu kuzuia maandamano, kwamba wamekosa kazi za maana za kufanya?!!

Kwenye utawala enzi za sasa, ukitumia ubabe na udikteta hutoboi
 
 

Attachments

  • 5751768-a1e447678b648f9be776a3662352bcea.mp4
    11.2 MB
Labda nikukumbushe tu kuwa tax system lazima iendane na jamii.Income tax Act yetu ni copy and paste ya India,Uk na ilikuwepo toka ukoloni hivyo inakubali kwenye jamij ambavyo mifumo ya Kodi Iko well organized.Africa mkulima au mtu anadeal agricultural sometimes anapata hela nyingi na faida kubwa kuliko mchuuzi wa nguo lakini mkulima hayuko rasmi na Wala hasumbuliwi.Tunahitaji kulea biashara huku tukitengeneza mifumo ya watu kujulikana income bila kutumia nguvu.
 
Inatakiwa iwe hivyo,Asante sana mkuu.
 
Bandiko refu kama vile ni kitu kipya kisichojulikana.

Hayo mbona yalikubaliwa siku nyingi na Kassim Majaliwa alipokutana nao. Ni watendaji wabovu wa TRA waliolianzisha tena, wachukuliwe hatua.

Serikali ya mama Samia ni sikivu kuliko zote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…