Aliwaua watu zaidi ya 300 huko MKIRU, kuna wale wa kwenye viroba waliokuwa wakitupwa baharini. Aliua Ben Saanane, Azory Gwanda, Kanguye na alimshambulia kwa risasi Lissu kupitia kundi la wasiojulikana.Hiyo damu ilimwagika wapi? Nani alimwagwa damu? Nani alinyang'anywa fedha zake? Unaweza kunitajia hao watu na walinyang'anywa kiasi gani?
kweli ni pimbiChalamila a.k.a Pimbi bado anawasiliana na jeshi huko Kongo lirudi kuwasambaratisha Kriakoo!
sijakuelewa😂😂😂
Utige ndauli?
Kwa lipi zaidi?Kama ikifika kesho asubuhi. Chalamila bado ni kweli RC Basi nitajua kweli hii nchi haina Rais
na kweli amewachafua maana kuna ka mama??? fulani kamemkomalia kishenziAlienda kuchafua Hali ya hewa
Wengi wanatumia na wanatoboa,kuliko fedheha ya serikali kudhalilishwa.Wajinga kama hao uliotaja huwa hawachelewi kupigwa pini na wajeda wenyewe. Unakumbuka ile kauli ya kihuni kuwa watafanya usafi wa kudumu kuzuia maandamano, kwamba wamekosa kazi za maana za kufanya?!!
Kwenye utawala enzi za sasa, ukitumia ubabe na udikteta hutoboi
Hakuna swala la uelewa kuna faida gani kubwa inayoonekana wazi wazi ni matokeo ya kulipa kodi.Ukisikiliza malamimiko ya kodi sehemu kubwa ni kutoka kwa wafanyabiashara wadogo ambao hawana access za accountants au wataalamu wa kodi.
Shida sio waziri (labda mitizo yake kwa wananchi), Iła kwenye biashara 90% ya malalamiko ni uelewa mdogo wa maswala ya tax administration.
Hana uwezo wa mawasiliano Kwa umma,(lack of communication skills)na kweli amewichafua maana kuna ka mama??? fulani kamemkomalia kishenzi
Wajinga kama hao uliotaja huwa hawachelewi kupigwa pini na wajeda wenyewe. Unakumbuka ile kauli ya kihuni kuwa watafanya usafi wa kudumu kuzuia maandamano, kwamba wamekosa kazi za maana za kufanya?!!
Kwenye utawala enzi za sasa, ukitumia ubabe na udikteta hutoboi
Mnaleta upuuzi harafu mnataka kubembelezwa?
Atakuwa RC na hakuna utakachomfanya Chalamila au Samia.Kama ikifika kesho asubuhi. Chalamila bado ni kweli RC Basi nitajua kweli hii nchi haina Rais
Ilikuwa zamani enzi za giza, siyo sasa.Wengi wanatumia na wanatoboa,kuliko fedheha ya serikali kudhalilishwa.
Shukiruni ni mwaka wa Uchaguzi,huko Kenya wameuwa 3 ndio wanaojifanya kuwasikiliza.Ilikuwa zamani enzi za giza, siyo sasa.
Kukaa kwenye meza ya mazungumzo na kufikia muafaka ndiyo uongozi.
Ubabe na udikteta wa kulazimisha mambo yasiyowezekana hauna tija na ndo hupelekea nchi kuwa "a failed state"
Tax rates anapanga waziri kila mwaka kupitia ‘finance act’ hiyo ndio inaamua rates za income tax, VAT na import duties; pamoja na misamaa au nafuu za biashara serikali inazitoa.Labda nikukumbushe tu kuwa tax system lazima iendane na jamii.Income tax yetu ni copy and paste ya India,Uk na ilikuwepo toka ukoloni hivyo inakubali kwenye jamij ambavyo mifumo ya Kodi Iko well organized.Africa mkulima au mtu anadeal agricultural sometimes anapata hela nyingi na faida kubwa kuliko mchuuzi wa nguo lakini mkulima hayuko rasmi na Wala hasumbuliwi.Tunahitaji kulea biashara huku tukitengeneza mifumo ya watu kujulikana income bila kutumia nguvu.
Ukiwafinya wafanya biashara, mshale wa jicho utakuwa haki yako .Shukiruni ni mwaka wa Uchaguzi,huko Kenya wameuwa 3 ndio wanaojifanya kuwasikiliza.
Na nyie mlitakiwa mfinywe kwanza ndio msikilizwe.
Viva Chalamila.
Hiyo ndio Taarifa ya sasa baada ya mgomo wa wafanyabiashara wa Kariakoo unaoendelea
=======
Waziri wa Viwanda na Biashara, Kitila Mkumbo amesema wamekutana na wafanyabiashara wa Kariakoo na kutoka sehemu nyingine Tanzania wakiongozwa na mwenyekiti wa wafanyabiashara Kariakoo, Majid Mbwana baada ya mapema kutokea Mgomo wa Wafanyabiashara ambapo Biashara zilifungwa Kariakoo leo Juni 24, 2024. Pamoja na Chalamila kuwasili Kariakoo katika jitihada za kutatua mgogoro huo jitihada zake ziligonga mwamba Baada ya Chalamila kuondoka Kariakoo, bado Wafanyabishara waliendeleza mgomo wa kufunga maduka.
Waziri Kitila amesema changamoto zilizofanya wafanyabiashara kutaka kufunga biashara zao zipo katika maeneo matano ambayo ni:-
Baada ya majadiliano ya kina Serikali imekubaliana mambo yafuatayo
- Changamoto ya ukosefu wa nyaraka hususan bandarini inayosababisha makadirio ya kodi yasiyo sahihi.
- Changamoto ya ukokotoaji ya kiwango cha kodi ambacho wanalipa.
- Suala la uwepo wa machinga katika maduka ambayo wanauza
- Suala la kamatakamata ambalo limekuwa likiendeshwa na mamlaka ya mapato(TRA)
- Changamoto kwenye sheria ya muswada wa fedha(Finance Bill)
- Kuanzia Julai 1, 2024 mamlaka ya mapato Tanzania itakuwa na mfumo mpya wa nyaraka ambao utatumika vizuri zaidi katika kuhakikisha wafanyabiashara wanapata makadirio ambayo ni sahihi.
- Mamlaka ya mapato Tanzania(TRA) inasitisha operesheni zake maarufu kama kamatakamata mpaka itakapokamilisha utaratibu huu ili kuweka mfumo mzuri zaidi wa kukusanya mapato.
- Suala la ukokotoaji wa kodi ni suala la kisheria, Serikali imelichukua na inaendelea kuliangalia ili kuboresha zaidi mfumo wa ukokotoaji wa kodi hususani bandarini.
- Kuendelea kuwapanga wamachinga kama ambavyo Rais aliagiza ili wakae katika maendeo sahihi ambayo hayaingilii biashara za watu wenye maduka ili kila mtu aweze kufaidika, wamachinga na wenye maduka katika eneo la Kariakoo.
- Serikali imewataarifu wafanyabiashara kuwa muswada wa sheria ya fedha(Finance Bill) ya mwaka 2024 bado haujapitishwa na sasa uko katika majadiliano bungeni na kamati ya bunge la bajeti imeita wananchi wote waweze kutoa maoni ikiwemo wafanyabiashara hivyo imewaalika yale maoni ambayo wanayo wayapeleke kwenye kamati ya Bunge na wabunge watazingatia maoni yao kabla sheria haijapitishwa.
Pia, Soma=> Mgomo wa Wafanyabiashara: Biashara zafungwa Kariakoo leo Juni 24, 2024
Sijasikia issue ya wafanyabiashara wa kichina ambayo wafanyabiashara wa kitanzania walilalamika, inaongelewaHiyo ndio Taarifa ya sasa baada ya mgomo wa wafanyabiashara wa Kariakoo unaoendelea
=======
Waziri wa Viwanda na Biashara, Kitila Mkumbo amesema wamekutana na wafanyabiashara wa Kariakoo na kutoka sehemu nyingine Tanzania wakiongozwa na mwenyekiti wa wafanyabiashara Kariakoo, Majid Mbwana baada ya mapema kutokea Mgomo wa Wafanyabiashara ambapo Biashara zilifungwa Kariakoo leo Juni 24, 2024. Pamoja na Chalamila kuwasili Kariakoo katika jitihada za kutatua mgogoro huo jitihada zake ziligonga mwamba Baada ya Chalamila kuondoka Kariakoo, bado Wafanyabishara waliendeleza mgomo wa kufunga maduka.
Waziri Kitila amesema changamoto zilizofanya wafanyabiashara kutaka kufunga biashara zao zipo katika maeneo matano ambayo ni:-
Baada ya majadiliano ya kina Serikali imekubaliana mambo yafuatayo
- Changamoto ya ukosefu wa nyaraka hususan bandarini inayosababisha makadirio ya kodi yasiyo sahihi.
- Changamoto ya ukokotoaji ya kiwango cha kodi ambacho wanalipa.
- Suala la uwepo wa machinga katika maduka ambayo wanauza
- Suala la kamatakamata ambalo limekuwa likiendeshwa na mamlaka ya mapato(TRA)
- Changamoto kwenye sheria ya muswada wa fedha(Finance Bill)
- Kuanzia Julai 1, 2024 mamlaka ya mapato Tanzania itakuwa na mfumo mpya wa nyaraka ambao utatumika vizuri zaidi katika kuhakikisha wafanyabiashara wanapata makadirio ambayo ni sahihi.
- Mamlaka ya mapato Tanzania(TRA) inasitisha operesheni zake maarufu kama kamatakamata mpaka itakapokamilisha utaratibu huu ili kuweka mfumo mzuri zaidi wa kukusanya mapato.
- Suala la ukokotoaji wa kodi ni suala la kisheria, Serikali imelichukua na inaendelea kuliangalia ili kuboresha zaidi mfumo wa ukokotoaji wa kodi hususani bandarini.
- Kuendelea kuwapanga wamachinga kama ambavyo Rais aliagiza ili wakae katika maendeo sahihi ambayo hayaingilii biashara za watu wenye maduka ili kila mtu aweze kufaidika, wamachinga na wenye maduka katika eneo la Kariakoo.
- Serikali imewataarifu wafanyabiashara kuwa muswada wa sheria ya fedha(Finance Bill) ya mwaka 2024 bado haujapitishwa na sasa uko katika majadiliano bungeni na kamati ya bunge la bajeti imeita wananchi wote waweze kutoa maoni ikiwemo wafanyabiashara hivyo imewaalika yale maoni ambayo wanayo wayapeleke kwenye kamati ya Bunge na wabunge watazingatia maoni yao kabla sheria haijapitishwa.
Pia, Soma=> Mgomo wa Wafanyabiashara: Biashara zafungwa Kariakoo leo Juni 24, 2024