Labda nikukumbushe tu kuwa tax system lazima iendane na jamii.Income tax yetu ni copy and paste ya India,Uk na ilikuwepo toka ukoloni hivyo inakubali kwenye jamij ambavyo mifumo ya Kodi Iko well organized.Africa mkulima au mtu anadeal agricultural sometimes anapata hela nyingi na faida kubwa kuliko mchuuzi wa nguo lakini mkulima hayuko rasmi na Wala hasumbuliwi.Tunahitaji kulea biashara huku tukitengeneza mifumo ya watu kujulikana income bila kutumia nguvu.
Tax rates anapanga waziri kila mwaka kupitia ‘finance act’ hiyo ndio inaamua rates za income tax, VAT na import duties; pamoja na misamaa au nafuu za biashara serikali inazitoa.
Sasa humo waziri na team yake ya mipango wao ndio wanajua wanalenga nini kwenye fiscal policies zao, targets za uchumi, social policies, kuondoa inequality kwenye jamii, public goods and so on kilicho important kama kipaumbele chao huko serikalini na kwenye chama chao.
Maana yake ni you can’t ‘copy and paste’ finance act ya nchi nyingine (ambayo inapanga kodi) kkwa vipaumbele vya nchi tofauti havifanani wala mtazamo wa kugawana keki ya taifa aufanani.
However Income Tax act na VAT acts (hizi zinaweza fanana na nchi nyingi, ni sheria lakini zipo sana kufuata accounting standards za dunia) na uwa azibadiliki sana ni kwa ajiri ya administration purposes za kodi, kikubwa zinaelezea taratibu za kukusanya kodi information ambazo TRA na person (hilo ndio jina la kikodi kwa biashara ndogo), biashara kikodi ni (usajili wa public or private listed companies).
Shida ya wafanyabiashara wengi hawajasoma hizo sheria za (VAT and Income tax acts) hapo ndipo wanaposhindwa kuelewa hatua za TRA na kudhani wanaonewa.
Moreover kila ‘finance act’ mpya inapoanza kazi, TRA kupitia site yao (ambayo design view yake ni mbaya with so much clustered information inahitaji maboresho) uwa wanaweka necessary info kwenye website yao. Kule unapata info kama za import duties ya bidhaa mbali mbali, VAT zote fully, reduced rates and zero rated products, kuna maelezo ya kupiga hesabu mbali mbali za kodi.
Wakija sasa kama ni hesabu za kodi unatakiwa kujua finance act inasemaje kuhusu hiyo bidhaa VAT rate gani, import duty ni kiasi gani etc. Same kama ni income tax unatakiwa kujua how they calculate turnover ya chini tsh 100 na what changes ukizidisha.
Routine zingine za kuandaa vitabu vya biashara na jinsi TRA watakavyodai (fanya kazi ya kukusanya kodi) soma sasa ‘VAT na Income tax’ acts. Wafanyabiashara wa Tanzania they don’t read those acts wakitoka hapo wanalaumu TRA kwa kufanya kazi kwa mujibu wa sheria.