Serikali yasitisha leseni ya kuchapisha na kusambaza Gazeti la Tanzania Daima kuanzia Juni 24, 2020

Serikali yasitisha leseni ya kuchapisha na kusambaza Gazeti la Tanzania Daima kuanzia Juni 24, 2020

Kufungiwa kwa gazet la mbowe iwe fursa kwa CHADEMA kuanzisha gazeti lake
 
Kufungiwa kwa gazet la mbowe iwe fursa kwa CHADEMA kuanzisha gazeti lake

Mwenyekiti hataki kukinufaisha chama ! Ila anataka akitumie chama kama tissue. ( kujinufaisha yeye) kwahiyo hawezi fanya hivyo.

Wewe unadhani kuna chama hapo? Hicho chama nikibubu cha watu. Wajinga ndio waliwao.
 
Ni kweli Mbowe hajalipa wafanyakazi wake mishahara kwa miezi sita
Naskia fomu ilikua moja tu katoka nayo chato kuja dom
Screenshot_20200623-142050_Twitter.jpeg
 
Serikali kupitia kwa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo imesema kuwa kufuatia kusitishwa kwa lesini ya gazeti hilo, halitaruhusiwa kuchapishwa wala kusambazwa popote nchini au nje ya nchi

Serikali imebainisha kuwa uamuzi huo umetokana na kukithiri na kujirudia kwa makosa yanayokiuka sheria ya nchi na maadili ya uandishi wa habari na kuwa juhudi za kuwaonya na kuwaelekeza Wahariri wa gazeti hilo kwa zaidi ya mwaka mmoja sasa hazijazaa matunda

Taarifa ya Serikali inasema Mkurugenzi wa wa Idara ya Habari, amefuta leseni ya gazeti hilo ikiwa ni baada ya kulionya kwa zaidi ya mara 10 huku gazeti lenyewe likilazimika kuomba radhi mara mbili kwa uvunjifu wa maadili ya Kitaaluma na Sheria za nchi ikiwemo kuchapisha habari za uongo, uchochozi na uzandiki

Aidha, Serikali imesema kwa mujibu wa Sheria Wachapishaji wa gazeti hilo wanayo fursa ya kuomba tena leseni kwa Mkurugenzi wa Idara ya Habari ili kuruhusiwa kurejea tena kuchapisha na kusambaza watakapoona wamejitafakari na kuwa tayari kufuata taratibu

View attachment 1486923
Hili gazeti lilijaa habari za uwongo na uzushi
Chadema poleni!
Sijawahi juta kuikataa CCM na viongozi wake.

Better were colonial days!!
This is unacceptable
Gazeti la kusambaza uongo wa chadema
NAKAZIA HAPA..
Gazeti pekee lililokuwa limebaki kusema madudu ya CCM na serikali yake.
Nchi ya CCM; Huna la kufanya!!
Wananchi bado mnataka muambiwe vipi kwamba tupo kwenye udikteta? Bado yanakuja mengi makubwa endapo mtaruhusu ccm kipindi cha pili.
 
Mumeo ndio kakuambia? Je anafanya kazi Tz Daima?
Mpe mapenzi motomoto mambo ya mshahara wake nitamlipa mm hata kama hajalipwa karne nzima.
wanabodi kwa taarifa za awali nikwamba , kilichopelekea gazeti la tanzania daima kufungiwa leseni ni takukulu.

inasadikiwa baada ya takukuru kutimba ndani ya chadema kuchunguza ufisadi uliolalamikiwa na mh. Lijua likali

Gazeti hilo limekoswa fedha za kujiendesha, ikiwemo mishahara na uzalishaji wa gazeti hili.

hivyo wamekuja na drama za kuandika kwa makusudi maudhui ambayo kwa 100% wanajua nikosa ili gazeti lifungiwe kukwepa aibu ya kufilisika kwa gazeti la mwenyekiti wa chadema.

inasadikiwa gazeti hili lilikuwa uchochoro wa kuiba fedha za chama.

Hongera Takukuru Tanzania.
 
Serikali kupitia kwa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo imesema kuwa kufuatia kusitishwa kwa lesini ya gazeti hilo, halitaruhusiwa kuchapishwa wala kusambazwa popote nchini au nje ya nchi

Serikali imebainisha kuwa uamuzi huo umetokana na kukithiri na kujirudia kwa makosa yanayokiuka sheria ya nchi na maadili ya uandishi wa habari na kuwa juhudi za kuwaonya na kuwaelekeza Wahariri wa gazeti hilo kwa zaidi ya mwaka mmoja sasa hazijazaa matunda

Taarifa ya Serikali inasema Mkurugenzi wa wa Idara ya Habari, amefuta leseni ya gazeti hilo ikiwa ni baada ya kulionya kwa zaidi ya mara 10 huku gazeti lenyewe likilazimika kuomba radhi mara mbili kwa uvunjifu wa maadili ya Kitaaluma na Sheria za nchi ikiwemo kuchapisha habari za uongo, uchochozi na uzandiki

Aidha, Serikali imesema kwa mujibu wa Sheria Wachapishaji wa gazeti hilo wanayo fursa ya kuomba tena leseni kwa Mkurugenzi wa Idara ya Habari ili kuruhusiwa kurejea tena kuchapisha na kusambaza watakapoona wamejitafakari na kuwa tayari kufuata taratibu

View attachment 1486923
Kuwa tayari kumsifu yesu wa tanzania
 
Wananchi bado mnataka muambiwe vipi kwamba tupo kwenye udikteta? Bado yanakuja mengi makubwa endapo mtaruhusu ccm kipindi cha pili.
Kama kuzio gazeti lisiandike uongo uzushi uzandiki Ni udikteta, Ni Bora iwe tu udikteta
 
Chadema nichama cha heche,mbowe, lema, msigwa, myika, na wale wakusagana wawili.
Wengine ndani ya chadema ni bendera fata upepo.
Sugu na mbilinyi ni wa daraja la pili.

Tafakari, chukua hatua.
 
Back
Top Bottom