Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata wao wanataka hela tu, tutawapa tusajiliEnzi zile ilikuwa unampa chenchi kidogo tu msajili unapewa leseni. Sasa hivi mmhh!
Kufungiwa kwa gazet la mbowe iwe fursa kwa CHADEMA kuanzisha gazeti lake
Uliwahi kuishi nyakati za ukoloni ?Sijawahi juta kuikataa CCM na viongozi wake.
Better were colonial days!!
Umezaliwa 1992,colinial days unazijuaje weweSijawahi juta kuikataa CCM na viongozi wake.
Better were colonial days!!
Kuliko la uhuru na mzalendo linalompamba yesu wa CCMHili gazeti lilijaa habari za uwongo na uzushi
Naskia fomu ilikua moja tu katoka nayo chato kuja domNi kweli Mbowe hajalipa wafanyakazi wake mishahara kwa miezi sita
Serikali kupitia kwa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo imesema kuwa kufuatia kusitishwa kwa lesini ya gazeti hilo, halitaruhusiwa kuchapishwa wala kusambazwa popote nchini au nje ya nchi
Serikali imebainisha kuwa uamuzi huo umetokana na kukithiri na kujirudia kwa makosa yanayokiuka sheria ya nchi na maadili ya uandishi wa habari na kuwa juhudi za kuwaonya na kuwaelekeza Wahariri wa gazeti hilo kwa zaidi ya mwaka mmoja sasa hazijazaa matunda
Taarifa ya Serikali inasema Mkurugenzi wa wa Idara ya Habari, amefuta leseni ya gazeti hilo ikiwa ni baada ya kulionya kwa zaidi ya mara 10 huku gazeti lenyewe likilazimika kuomba radhi mara mbili kwa uvunjifu wa maadili ya Kitaaluma na Sheria za nchi ikiwemo kuchapisha habari za uongo, uchochozi na uzandiki
Aidha, Serikali imesema kwa mujibu wa Sheria Wachapishaji wa gazeti hilo wanayo fursa ya kuomba tena leseni kwa Mkurugenzi wa Idara ya Habari ili kuruhusiwa kurejea tena kuchapisha na kusambaza watakapoona wamejitafakari na kuwa tayari kufuata taratibu
View attachment 1486923
Hili gazeti lilijaa habari za uwongo na uzushi
Chadema poleni!
Sijawahi juta kuikataa CCM na viongozi wake.
Better were colonial days!!
This is unacceptable
Gazeti la kusambaza uongo wa chadema
NAKAZIA HAPA..
Gazeti pekee lililokuwa limebaki kusema madudu ya CCM na serikali yake.
Wananchi bado mnataka muambiwe vipi kwamba tupo kwenye udikteta? Bado yanakuja mengi makubwa endapo mtaruhusu ccm kipindi cha pili.Nchi ya CCM; Huna la kufanya!!
Saddam hussein alikua rais wa libya,jamaa ni muongo kuliko shetaniQualification ya kuwa mpinzani ni kusema uongo.
wanabodi kwa taarifa za awali nikwamba , kilichopelekea gazeti la tanzania daima kufungiwa leseni ni takukulu.
inasadikiwa baada ya takukuru kutimba ndani ya chadema kuchunguza ufisadi uliolalamikiwa na mh. Lijua likali
Gazeti hilo limekoswa fedha za kujiendesha, ikiwemo mishahara na uzalishaji wa gazeti hili.
hivyo wamekuja na drama za kuandika kwa makusudi maudhui ambayo kwa 100% wanajua nikosa ili gazeti lifungiwe kukwepa aibu ya kufilisika kwa gazeti la mwenyekiti wa chadema.
inasadikiwa gazeti hili lilikuwa uchochoro wa kuiba fedha za chama.
Hongera Takukuru Tanzania.
Achana na mimi, fanya mambo yako mzee.futa na hawa wanaosifia ccm uku JF: siasa ni mchezo bro , hisia peleka kwingine
Kuwa tayari kumsifu yesu wa tanzaniaSerikali kupitia kwa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo imesema kuwa kufuatia kusitishwa kwa lesini ya gazeti hilo, halitaruhusiwa kuchapishwa wala kusambazwa popote nchini au nje ya nchi
Serikali imebainisha kuwa uamuzi huo umetokana na kukithiri na kujirudia kwa makosa yanayokiuka sheria ya nchi na maadili ya uandishi wa habari na kuwa juhudi za kuwaonya na kuwaelekeza Wahariri wa gazeti hilo kwa zaidi ya mwaka mmoja sasa hazijazaa matunda
Taarifa ya Serikali inasema Mkurugenzi wa wa Idara ya Habari, amefuta leseni ya gazeti hilo ikiwa ni baada ya kulionya kwa zaidi ya mara 10 huku gazeti lenyewe likilazimika kuomba radhi mara mbili kwa uvunjifu wa maadili ya Kitaaluma na Sheria za nchi ikiwemo kuchapisha habari za uongo, uchochozi na uzandiki
Aidha, Serikali imesema kwa mujibu wa Sheria Wachapishaji wa gazeti hilo wanayo fursa ya kuomba tena leseni kwa Mkurugenzi wa Idara ya Habari ili kuruhusiwa kurejea tena kuchapisha na kusambaza watakapoona wamejitafakari na kuwa tayari kufuata taratibu
View attachment 1486923
@Bia yetu acha uongo!Ni kweli Mbowe hajalipa wafanyakazi wake mishahara kwa miezi sita
Kwanini mnaliogopa lá musiba?Safi sana hata hivyo Walichelewa sana gazeti lime jaa Ukibendera, Uongo na Uzushi. Likachapishe Mabango ya Faru john
Kama kuzio gazeti lisiandike uongo uzushi uzandiki Ni udikteta, Ni Bora iwe tu udiktetaWananchi bado mnataka muambiwe vipi kwamba tupo kwenye udikteta? Bado yanakuja mengi makubwa endapo mtaruhusu ccm kipindi cha pili.