kibaravumba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 6,634
- 7,015
Kilichonisikitisha tu ni kuruhusu wageni waingie na wakifika airport wanapimwa temperature kisha ukiwa sawa unaambiwa jichanganye uko salama.
Kama yule mama asingejishtukia,angekuwa mtaani,na maisha yangekuwa yanaendelea tu.
Jiulize ni wangapi waliokubaliwa kuingia kwa kupimwa temperature tu?
Nimetoka stand sasa hivi nimeshangaa wanafunzi wa sekondari wanavyohangaika,kuna mvua,ticket wamekosa,msongamano mkubwa,na hakuna maji ya kunawa wala sanitizer
Hata hivyo nina kila sababu ya kuamini Mungu ndiye pekee anatulinda,kwani hatua zinazotakiwa kuchukuliwa ni nyingi na nyingine hazitekelezeki.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama yule mama asingejishtukia,angekuwa mtaani,na maisha yangekuwa yanaendelea tu.
Jiulize ni wangapi waliokubaliwa kuingia kwa kupimwa temperature tu?
Nimetoka stand sasa hivi nimeshangaa wanafunzi wa sekondari wanavyohangaika,kuna mvua,ticket wamekosa,msongamano mkubwa,na hakuna maji ya kunawa wala sanitizer
Hata hivyo nina kila sababu ya kuamini Mungu ndiye pekee anatulinda,kwani hatua zinazotakiwa kuchukuliwa ni nyingi na nyingine hazitekelezeki.
Sent using Jamii Forums mobile app