Leo ndo nimekiri kuwa tanzania hatuwezi kuanzisha na kusimamia miradi mikubwa , ni wazuri sana kwa kubuni, likija swala la implementation tunakimbia. Leo tumeanza issue za kusema mara ohhh we need standard gauge reason behind kenya wanajenga standard gauge, huu mradi wa reli upo, na juzi kati tulisikia mzee six anasema wameweka jiwe na msingi, kwa hiyo ni wawekezaji wawili tofauti. Inabidi tuondokane na tabia hii ya kuogopa ogopa, we can have all simultaneously, uchumi wa kati hauji kwa maneno tu na kukumbatia miradi kama ya upanuzi, sijui upgrade, kujenga mabanda /containers za kufanyia clearance Tanga/Mtwara. Tunaridhika kabisa na tunakaa hapa tunahesabu ohh tuna bandari tatu, ziko wapi hizo bandari tatu tanzania? its jokes.