Serikali yasitisha Ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo. Kuimarisha Bandari za Mtwara, Dar

Status
Not open for further replies.
Mkuu mimi nashangaa watu wanashingilia mradi kusitishwa. Eti tukarabati Dar na Mtwara.

Wameshindwa kabisa kuona umuhimu wa bandari kubwa na ya kisasa.
...bahati mbaya sana kamanda, ukisoma mabandiko ya wengi, ni kama vile wanachojua ni kulikuwa na mradi wa kujenga bandari bagamoyo sababu raisi ni wa huko basi...! ni upeo mdogo, na kurukia mambo ...! ubarikiwe kamanda...na usikatishwe tamaa na aina hii ya makomredi ktk jamvi letu! tusimame pamoja ktk kila kweli itakayorushwa jamvini!
 
...dunia inabadilika...na mama afrika anasonga mbele! ubarikiwe hapo uliko ili ujue na uelewe hili kamanda wangu!
 
Kuna aliyesema mtwara inafaa kwa hilo na ina kina kirefu cha maji.
...mtwara ina kina kirefu, ni kweli kamanda, lkn ukitazama kila kitu kinchohitajiwa ktk mradi wa aina hiyo, bagamoyo, bila kujali kumfurahisha mtu, inakuwa inafaa zaidi...! lkn kubwa serikali imefanya uamuzi mzuri zaidi na wa busara kwa kuamua kuziboresha bandari zilizopo kabla ya kuendelea na mradi wa bandari ya mtwara...! nchi inahitaji bandari bora, na ya kisasa zaidi, ktk mtwara, tanga na dar, lkn pia, inahitaji kuwa na bandari kubwa zaidi ya kushindana kibiashara na bandari kubwa zaidi kama za djibout, lamu, na durban!
 
hakuna usanifu pale

Ila ilikuwa ni kuipendelea bagamoyo...kwa maslahi binafsi...najua unayajua
...aaah..! kamanda wangu taratibu bwana! ujue tuhuma zisizothibitika ni majungu...lol....na majungu sio tu ni sehemu ufisadi, ni majipu yanayotuumiza pia...! salute kamanda wangu.. pamoja!
 
SATURDAY, JANUARY 9, 2016
Fate of Bagamoyo Port clarified

Minister of Works, Transport and
Minister of Works, Transport and Communications, Prof. Makame Mbarawa

In Summary
The government has said construction of the port would take off in July of this year upon conclusion of financing negotiations with key partners.



By Rosemary Mirondo
Dar es Salaam. The government has said the processes for the construction of the Bagamoyo Port will not be halted and will continue.

Reacting to reports about the suspension of the construction of the $10 billion (Sh22 trillion) port the, ministry of Works, Transport and Communications said in a statement issued yesterday that the construction of the port will start in July of this year upon conclusion of financing negotiations with key partners.

According to the statement availed to this paper, the government was currently in discussions with China Merchant Holding International (CMHI) and Oman which are expected to be concluded by March, this year.

It said the governments of Tanzania, Oman and China signed a Memorandum of Understanding for the implementation of the Bagamoyo Port project, October 16, and last year.

“The Government of the United Republic of Tanzania in December, 2015 compensated a total of 2,183 Bagamoyo residents Sh45.65 billion [to pave way for the project]. A joint working team, comprising technical people from the United Republic of Tanzania, China and Oman is preparing technical and commercial contracts for the implementation of the Port of Bagamoyo,” the statement further added.

The Bagamoyo project will occupy 800 hectares and another 1,700 hectares of Portside Industrial Zone, which will be developed. The new port, to be the largest in African, will be able to handle 20 times more cargo than the Dar Port.
 
Taarifa ya ufafanuzi ya serikali inasema mradi haujafutwa, utaendelea.
 
....maadam tuna nia ya kushindana ktk biashara ya iliyojaa ushindani, ya bandari ujenzi wa bandari mpya, kubwa, na ya kisasa haukwepeki....
Lakini inabidi twende na hii miradi kama watu wenye akili.
Bandari zilizopo tu zinavuja kama pakacha bovu.
 

Kwa sababu ni linaandikwa kwa kiingereza? The Citizen ni Mwnanchi Kampuni ile ile falsafa ile, ila kwa kuwa wameandika Kiingereza basi unaamaini lkn kama Mwananchi wangeandika usingeamini, kweli sisi Waafrika ni zaidi ya utujuavyo!
Tatizo lako liko wapi?
Kwani wameandika longo longo kama za Kubenea?
 
Serikali awamu ya nne ilikuwa na vigezo vizuri sana kuweka banadari hapo, habari inaweza kuwa ina ukweli lakini haijakamilika.
Ndo ajabu ya malimwengu!
Kuendesha bandari kubwa iliyopo ya Darisalama tu, ilikuwa shida.
Unataka na ya Bagamoyo, vigezo na masharti hayako wazi hapo.
 
Ni lazima una upungufu wa maoni, ati JK " kamshurutisha" mchina ili atujengee bandari?
Hapo sikupati kabisa.
Pili, hiyo bandari iliyopo tu ni mazonge mazonge, sasa hiyo kubwa ndo itakuwaje?
Watu hawapingi maendeleo, wanapinga uswahili uswahili katika maendeleo.
 
...dunia inabadilika...na mama afrika anasonga mbele! ubarikiwe hapo uliko ili ujue na uelewe hili kamanda wangu!
Hata uchumi ukibadilika kwa kasi hipi hatuwezi kuukana ukweli unaotokana na miaka 50 iliyopita. Kwa maana hiyo huwezi kujenga bandari ambayo ina capacity kuzidi existing ports zote za mwambao wa bahari ya Hindi huku ukitegemea kusafirisha malighafi nje na kuimport mitumba nk.
Before we embark on such projects tungeanza na elimu, elimu, elimu ....hivyo viwanda unavyotegemea kuvijenga tunategemea Wachina ndio waje kujenga kana kwamba watafunga vya kwao, i wapi KILIMO KWANZA!? Elimu itatusaidia kuepuka matatizo kama ya sasa eti tunawazuia wageni kufanya kazi ambazo Watz wanaweza kuzifanya. Tunafanya hivi kwa kuangalia kigezo che elimu ambayo wageni wanayo huku tukisahau kuwa wao wana elimu na sisi tuna vyeti.
 
H
Hivi ilani za CCM zinabadilika kila uchwao? mara wanapora ilani ya UKAWA lakini wagumu wakubali. Utekelezaji wa ilani na kupiga push-ups ni vitu viwili tofauti
 
By the way I don't see logic behind bagamoyo port. Zaidi ya kuwanufaisha mafisadi
 
You don't see the logic, may be you are colour blind, it is in the CCM manifesto!
wataisoma namba CCM MBELE KWA MBELE
 
Nilisikia mkataba huu unawapa wawekezaji wa China kuendesha hiyo bandari kwa muda wa miaka 50 mpaka watakaporudisha pesa zao na hapo Tanzania ndo itapewa bandari yake.
Hii unaweza kuwa sababu mojawapo ya kusitishwa kwake yaani miaka hamsini kwa uwekezaji wa tirioni 22 tu hata Mimi nisingekubali.
 
Vipi kuhusu wachina kumiliki bandari kwa miaka hamsini kama ni kweli
Huoni kwamba tutakuwa tumeidhoofisha nchi?
kwani hata bandari ya dar itakufa.
 
Mnaumwa sana na ujenzi wa Bandai ya Bagamoyo.mwacheni Jk apumzike na itajengwa tuu na vishabiki maandazi tutakutana hapa hapa kwn ni mradi wenye tija kimataifa tuache kushabikia magazeti yasofanya research ya kutoaha
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…