Baada ya kusikia hii habari ya kufuta sijui kusitisha ujenzi wa bandari ya Bagamoyo nimechoka kabisa, hii ambayo ingejengwa kisasa na viwanda zone, yaani tanzania ingekuwa ni african stop ya bizaa zote za china, watu walikuwa hakuna haja ya kwenda tena sijui dubai wala china, vitu vyote vinapatikana tz na tuna ship kwenda nchi zote za africa, tuna sema huu mradi haufai? god, hapa kweli tunashida sana. Tunakosa revenue na ajira hivi hivi halafu kesho unasikia mtu anakwenda dubai na kurudi, si watu wengekuwa wanakwenda bagamoyo tu? raisi wetu cabinet lililopita alikuwepo, mradi kama huu ulihusisha cabinet yote, angesema , sio sisi tumekaa mkao wa kura then tunaambiwa hakuna chakula. let us be serious as he nation , we need this project, hizo mtwara , tanga na Dar zina panuliwa lakini haziwezi kukidhi matakwa ya kibisahra na plna zetu muda mrefu, tusiwe na ka plan just ka leo na kesho.