Naomba nijuzwe vizuri hvi Trillion.22 c ndio karbia budget yetu ya mwaka mzima..hvi inakuaje inaenda kwenye mradi mmoja au ni mm uelewa wangu ni mdogo juu ya hiloo.?watalaamu wa aya mambo hvi ni kweli na busara karbia budget ya mwaka mzma iende kwnye mradi kam huoo wakati kuna miradi mingine mingi ya maana zaidi ya huoo..