Serikali yasitisha Ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo. Kuimarisha Bandari za Mtwara, Dar

Serikali yasitisha Ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo. Kuimarisha Bandari za Mtwara, Dar

Status
Not open for further replies.
Mkuu, kwa kifupi nchi yetu imepoteza miaka 10 kusikiliza masimulizi ya mkwere badala ya kuendelea na safari ya maendeleo.

Kuna watu walikuwa wanajiapiza kwamba Mkwere ni Kiongoz wa kweli Leo wananuna wakati mwingine huwa najidharau sana kuwa Mtanzania
 
....lkn, kuna suala la uwezo wa bandari zetu kuhudumia meli kubwa,zinazobeba mpaka kontena elfu kwa mkupuo(3G&4G sea vessels), ambazo lamu port itakuwa na uwezo wa kuzihudumia...tunatazamaje hilo? Au sisi tutabaki tunapokea meli ndogo tu na kuacha biashara kubwa ya bandari, kwa wakenya, djibout, na south afrika?
Wewe nadhani ni miongoni mwa wapata fadhira za kipuuzi za mkwere. Hivi unasoma comments za watu vizuri! Serikali imeamua "kuboresha " so what is kuboresha dude! Kila unapo reply unaadika 3G......4G

Let me make it easy for you
1. The forth regime under JK(actually JK himself) and their intentions for bagamoyo port project haikuwa kwa maslahi wala tija yoyote kwa taifa hili ila muendelezo wa ufisadi tu.
2. The government has said it wanaboresha na katika kuboresha u don't start from scratch -ziko strategically located you just need kuboresha kuwa na uwezo mkubwa including the so called 3G & 4G capacity na kujenga dry port kubwa maeneo kama mbeya/tunduma, isaka kahama sambamba na reli za kuaminika ili kuhamisha cargo frm port to these dry port na malori hayahitaji kuja Dar, tanga and elsewhere

Wewe kama na mjomba wako mmehozi ardhi kule ukwereni mkijua mna deal ya kupiga imekula kwenu.

Mtukufu rais JPJM kuna majipu mengi umeachiwa na tunaona sura na vicheko vya kinafiki unapoaongea nao. In fact wanakuja kuchungulia deal zao na kupata feedback kutoka kwa ndumilakuwili waliowaacha kwenye system please please please CLEAN UP na endelea kuyatumbua kwa kutumia nyundo na nondo sio wembe na sindano NO MERCY
 
Hii system akija Juma Kuwa raisi na yeye anaweka la kwake na mke wake hatufiki kokote, Hii ni Nchi na sio Nyumba inayoendeshwa na mume na mke, hii Nchi ni lazima iendeshwe na wananchi wenyewe, tuweke Mikakati Madhubuti kwa kadiri itakavyoonekana kuwa na Manufaa kwa taifa halafu hawa wanasiasa wawe watekelezaji tu bila kuwapa Mandate ya kusitisha aina yeyote ya Mikakati yetu kama Nchi.

Yeye aje atekeleze kisha Asepe atuachie Nchi yetu. FULLSTOP.

Hali hii haitakwisha bila ya KATIBA ya WANANCH ingawa kuna wapumbavu wanaofikiri kwa kutumia makalio wanasema KATIBA sio muhimu Pumbavu
 
Wewe nadhani ni miongoni mwa wapata fadhira za kipuuzi za mkwere. Hivi unasoma comments za watu vizuri! Serikali imeamua "kuboresha " so what is kuboresha dude! Kila unapo reply unaadika 3G......4G

Let me make it easy for you
1. The forth regime under JK(actually JK himself) and their intentions for bagamoyo port project haikuwa kwa maslahi wala tija yoyote kwa taifa hili ila muendelezo wa ufisadi tu.
2. The government has said it wanaboresha na katika kuboresha u don't start from scratch -ziko strategically located you just need kuboresha kuwa na uwezo mkubwa including the so called 3G & 4G capacity na kujenga dry port kubwa maeneo kama mbeya/tunduma, isaka kahama sambamba na reli za kuaminika ili kuhamisha cargo frm port to these dry port na malori hayahitaji kuja Dar, tanga and elsewhere

Wewe kama na mjomba wako mmehozi ardhi kule ukwereni mkijua mna deal ya kupiga imekula kwenu.

Mtukufu rais JPJM kuna majipu mengi umeachiwa na tunaona sura na vicheko vya kinafiki unapoaongea nao. In fact wanakuja kuchungulia deal zao na kupata feedback kutoka kwa ndumilakuwili waliowaacha kwenye system please please please CLEAN UP na endelea kuyatumbua kwa kutumia nyundo na nondo sio wembe na sindano NO MERCY
Well narated mkuu. Huu ndiyo uzalendo, na kwa hili namuunga mkono mkuu wa nchi kwa 101%
 
Kipindi kile niliweza tembelea Bagamoyo kuona mji ulivyo dah nilishangazwa kuoneshwa patakapojengwa hiyo Bandari yaani vilimwagwa vifusi kama kumi tu na mapande ya majabari kama sita hivi tu ndio kwisha habari jambo jema kama pesa hiyo tajwa haikutumika... ilikuwa njia ya kujipatia pesa bila jasho...
...NAKUSHAURI KAFUATILIE BAJETI YA HIVYO VIFUSI KUMI UTAZIMIA SAA TATU ASUBUHI....
 
After all kuziboresha hizo bandari za tanga mtwara itasaidia hata kutupunguzia Magari ya mzigo hapa mjini same to foleni.. Vivaa Dr Pombe
 
DRC, Zimbabwe au Zambia wakapokee mizigo Mtwara? Hii ndoto ya Abunuas Mtwara ni kwa matumizi ya kwetu kutoa Chuma, muhogo, makaa ya mawe na Uranium kule Tunduru. Bandari ya Tanga ina kina kifupi sana labda Mwambani lakini kwa mtu makini anapaswa kulenga soko la Congo DRC ambayo ni sawa na ukubwa mara 2 ya nchi zote za EAC.

Tutakuja Juta na kulia kilio cha mbwa mdomo juu, hivi watu hawafikiri kwa nini Bomba la Gesi lilijengwa kuletwa Dar? Bado tunaendelea kuleta msongamano usio na Tija, kisha tunapiga kelele ya kushuka Uchumi.

Fedha za kujenga Bandari ya Bagamoyo hazitafanya huo Ukarabati wa Mtwara na Dar kuna ubaya gani wa kuendelea na yote ujenzi na ukarabati?

Dunia itashangaa kwa uamuzi wa hovyo kama huu labda kama Magufuli nae kaanza kuzungusha mikono.

Ujinga huu haukubaliki
 
Mkuu bidhaa ni nyingi sana za kusafirisha na kuleta hapa, kitu ambacho hukijui, meli nyingi kubwa hushusha mizigo ya tanzania either south africa au mombasa kutokana na udogo wa bandari zetu na facilities zake. Tanzania kuna mizigo mingi sana kuliko ujuavyo, bado kuna uhitaji mkubwa sana wa bandari kubwa kuliko ya dar es salaam, tunahudumia nchi nyingi sana hapa ambazo wakati mwingine mizigo lazima iende Mombasa wakati tanzania ndio shortcut yao, pili mchina alihitaji kuitumia hiyo bandari kwa project zake Africa, na wote tunafahamu ni nani mwenye project nyingi Africa, mchina mfano anamigodi Zambia ila mizigo yote mikubwa anashusha na kusafirishia south africa kisa bandari ya dar ni congested na ndogo, Migodi yote ya Congo hasa maeneo katanga huhudumiwa na port za southafrica..huku shortcut yao ikiwa tz, udogo wa bandari yetu ndio shida,,, hujiulizi kwa nini kila siku lazima ipanuliwe?? na eneo pale sasa likeshaisha..



Siyo kweli! Hakuna meli inayoshushia mizigo ya TanZania nchini Afrika Kusini wala Mombasa, kama kuna inayofanya hivyo basi ni kwa sababu mteja mwenyewe mwenye mzigo ametaka hivyo kwa sababu zake binafsi lkn siyo uamuzi wa mwenye Meli kwa sababu eti Dar hakuna nafasi HAPANA!

Sababu za nchi kutumia Bandari ya Durban badala ya Dar siyo kwa sababu ya udogo wa bandari ya Dar HAPANA bali kuna mambo mengi sana na kubwa klk yote ni unafuu wa bei hasa meli zinazokwenda AK kwa maana AK ina uchumi mkubwa zaidi hivyo kuna Meli nyingi zinazokwenda huko na hilo kupelekea kushuka kwa gharama ya uzalishaji kujenga Bandari kubwa B'moyo hakutabadilsha hilo, ni kama vile dala dala ikifika usiku na mabasi kwa kuwa ni machache basi hupandisha bei, kwa nini hufanya hivyo? Ni kwa sababu dala dala ni chache wakati huwo!

Ni lazima utambue kwamba Bandari kubwa haimaanishi wingi wa Meli, Mombasa ina Meli nyingi klk Dar kwa sababu Kenya ina Uchumi mkubwa klk TanZania kwa maana hiyo basi Import na export za Kenya ni nyingi klk TanZania hiyo NDIYO sababu kubwa na maadamu Kenya ina Uchumi mkubwa klk TanZania kujenga Bandari kubwa klk Mombasa bado hakutafanya Meli nyingi zaidi kuja TZ klk Kenya!

Ni kweli kwamba kuna mizigo mingi na inaendelea kukuwa na ndiyo maana kujenga Bandari kubwa moja Bagamoyo hakutatua tatizo bali kutaliongeza na hapa cha kufanya kwanza ni kuboresha zilizopo ili zifanye kazi to their full capacity kwa mfano Malawi, Zambia ziweze kuhudumiwa na Bandari Mtwara na hili linawezekana kwa kujenga Reli ambapo mpango tayari upo tangu enzi za Ukoloni ktk MT mpaka ziwa Nyasa, kujenga upya Reli ya Kati pmj na Bandari Z.Tanganyika ambapo itahudumia Kongo, Burundi na Zambia na vile vile kuboresha Bandari ya Tanga na kuiunganisha na Reli ktk TA-Moshi-Arusha-Musoma hivyo eneo lote la Kasakzini mwa TanZania kuweza kuhudumiwa na Bandari ya Tanga hayo yakifanyika utaona wala hakutakuwa na tatizo!
 
The construction of the $10 billion Bagamoyo port, which would be the largest port in East Africa, has been suspended.

Tanzania wants to focus, instead, on improving the capacity, performance and efficiency of the Dar es Salaam and Mtwara ports.

The Minister for Works, Transport and Communications, Prof Makame Mbarawa, said the government will upgrade berths 1 to 7 and construct two additional ones, 13 and 14, at the Dar port as well as develop the Mtwara one.

“I do not want to reveal too much details or plans by the government on the fate of this project [Bagamoyo]. What I can say is only that we are currently concentrating on the Dar es Salaam and Mtwara ports,” he told The Citizen.

However funding constraints for the two ports are standing in the way of the revamp efforts.

“We are looking for funds for the port of Dar es Salaam and then for the Mtwara Port,” he said.

The World Bank has agreed to fund the facelift of berths 1 to 7 and talks are ongoing to also finance the construction of berths 13 and 14, Prof Mbarawa said without revealing the cost of the projects.

The government hopes to start the refurbishment this year and complete by 2018.

“It all depends with the financial resources. If we get the funding soon the projects will run,” he said.

The initial works for the Bagamoyo port had already started after former President Jakaya Kikwete broke ground last October with some residents relocated to other areas to pave way for the construction.

READ: Tanzania’s $10 billion port project threatens Mombasa hub status


Prof Mbarawa said the decision to suspend the building of the port was because the multibillion-shilling project was too big; it needed more attention, a lot of planning and a major source of funding.


Bagamoyo port was also put in the queue by the need to take advantage of huge inflows of foreign direct investments in the natural gas-rich regions of Lindi and Mtwara, the government said.

Politically sensitive

The port has so far become a politically sensitive issue. Opposition politicians and the private sector have poured scorn on the project arguing it was a waste of resources and urged for improving the existing Tanga, Dar and Mtwara ports instead and the connecting infrastructure.





-----------------------------
Oh the author of this article was so kind............. She should have put it candidly, Bagamoyo port construction and its SGR railway is a big O white elephant...... I remember wordering how the chinies were stupid enough to encourage Tz to go ahead with the Bagamoyo contruction.... I mean where was the economic sence? Bagamoyo was big, but what was it serving? the same market that the dar port was serving namely (UG,Rwanda,Burundi,DRC)... And why would the chinies waste money biulding another rail acros the border in Kenya which goes to the same places..... Wouldn't it just be viable if they just upgraded Dar port to serve the routes more efficiently......

The difference between Bagamoyo and Lapsset is that the Lamu port and its railway will be serving completely new unexplored markets, and the rail and the port have a potential to be linked up to the west coast of Africa to the Atlantic ocean.

I see GOT has got off its high hoarse, you did a rookie mistake, and you cant even say it with a straight face, "we are now concentrating on Dar and I dont want to reveal much details.... ", you can't say no one is even asking question about the port



MK254 Iconoclastes Quickly pingli-nywee
[URL='https://www.jamiiforums.com/members/quickly.305116/'][/URL]

MOTOCHINI Geza Ulole
 
Hata kama mradi wa Bagamoyo port ulikuwa ni "political game" kuweka bayana kuwa Serikali "kutokuwa na mpango" wa mradi huu ni kosa sana katika ujenzi wa uchumi na ushirikiano wa kimataifa. Vilevile, ni ndoto za alinacha kuzungumzia Tanzania ya viwanda kwa kupitia Bandari hiyo ya Posta. Hiyo siyo bandari ya mapinduzi ya viwanda ya karne ya 21. Hiyo ni bandari ya Boti za Azam kwenda pemba, Mtwara, comoro nk.

Serikali haikutakiwa kutoa maelezo mepesi kama haya, ilitakiwa itoe maelezo yenye kutoa namna bora ya kuufanya mradi huu uwe wenye ufanisi iwapo imebaini makosa kadhaa miongoni mwa mchakato wake.
We have to think bigger and bigger if we aim to integrate our economy into the global economy. Not otherwise. The port is strategically viable and would contribute a lot in our economy.
 
Na yote hayo Uchina waje kuwafanyia WatanZania buuureeee kwa lipi hasa? Au kwa sababu mnaongea kwa kubana pua?

Wewe Kalia tu uchumi - hizi ndizo fikra tumekalia. Sion siri kuwa wawekezaji watafaidika hakuna mtu anafanya biashara anawekeza asipate faida na Tanzania itapata faida kubwa bila kuwekeza mtaji wowote na ujuzi wowote - Tanzania rasilimali yake ni pahali pazuri kujenga bandari na free zone abavyo wao hawana uwezo wa kufanya.
Nitajie bandari moja iliojengwa baada ya uhuru. Nchi zzote duniani hasa zilizoendelea zinapigania wawekezaji wafungue miradi kwao. muhimu waanagalieni walaji wenu tu hiyo faida itakayopatikana ijenge nchi
 
Wewe nadhani ni miongoni mwa wapata fadhira za kipuuzi za mkwere. Hivi unasoma comments za watu vizuri! Serikali imeamua "kuboresha " so what is kuboresha dude! Kila unapo reply unaadika 3G......4G

Let me make it easy for you
1. The forth regime under JK(actually JK himself) and their intentions for bagamoyo port project haikuwa kwa maslahi wala tija yoyote kwa taifa hili ila muendelezo wa ufisadi tu.
2. The government has said it wanaboresha na katika kuboresha u don't start from scratch -ziko strategically located you just need kuboresha kuwa na uwezo mkubwa including the so called 3G & 4G capacity na kujenga dry port kubwa maeneo kama mbeya/tunduma, isaka kahama sambamba na reli za kuaminika ili kuhamisha cargo frm port to these dry port na malori hayahitaji kuja Dar, tanga and elsewhere

Wewe kama na mjomba wako mmehozi ardhi kule ukwereni mkijua mna deal ya kupiga imekula kwenu.

Mtukufu rais JPJM kuna majipu mengi umeachiwa na tunaona sura na vicheko vya kinafiki unapoaongea nao. In fact wanakuja kuchungulia deal zao na kupata feedback kutoka kwa ndumilakuwili waliowaacha kwenye system please please please CLEAN UP na endelea kuyatumbua kwa kutumia nyundo na nondo sio wembe na sindano NO MERCY
...salute.!..kwa kuanzia, serikali ya awamu ya tano, kimsingi, haijaachana na mpango wa ujenzi wa bandari bagamoyo! umuhimu wake unaeleweka nw and then! suala la kuboresha pia bandari za dar na mtwara zuri na linalostahiki LAKINI, ni jambo lingine kabisa na tunakubaliana na serikali yetu kwa dhati, kama imeona, reasonably, tuanze na hilo kwanza...! hoja ya umuhimu wa mradi wa bandari ya bagamoyo ni ukweli kuwa katika ushindani wa biashara ya bandari za afrika zilizoko ktk bahari ya hindi, (pamoja na marekebisho, na maboresho yoyote yanayoweza kufanyika katika bandari za dar, mtwara, tanga na lindi), zina nafasi gani yakushindana na bandari ya djibout, durban, au lamu? ukitoa ufisadi uliokuwepo, ambao uliifanya bandari zetu kupata wateja wenye kupenda mambo ya kiujanja ujanja, bandari zetu zina nafasi gani ya kushindana kibiashara? ktk biashara ya kisasa ya kimataifa ya bandari," tanzania haiwezi kuweka vigenge, kwenye pwani yake, kushindana na ma malls kwenye pwani za nchi jirani".....wasafirishaji ktk asia(china) na ulaya wakisha kuwa na chaguzi ya kusafirisha kontena mpaka elfu kumi kwa mkupuo ktk meli moja kubwa (3G, 4G SV) ambayo inaweza kutia nanga ktk bandari ya lamu , lkn haziwezi kutia nanga kwenye bandari yoyote ktk tanzania, unajua kitakachotokea?
...lkn lingine kubwa ni upumbavu wa kuamini kuwa ati, bandari ya bagamoyo ni mradi uliopelekwa kwa sababu ya kumfurahisha aliekuwa mkuu wa kaya tu...., ati kwamba ili nalo ni jipu...! what a bogus, thought and analysis is that!...na kwamba yeyote atakaezungumza affirmatively juu ya huo mradi ni mwenye kunufaika na ushenzi wa ufisadi uliojificha nyuma ya huu mradi ( kama ni kweli)..! au mbagamoyo! walau ungejua!
 
Wewe Kalia tu uchumi - hizi ndizo fikra tumekalia. Sion siri kuwa wawekezaji watafaidika hakuna mtu anafanya biashara anawekeza asipate faida na Tanzania itapata faida kubwa bila kuwekeza mtaji wowote na ujuzi wowote - Tanzania rasilimali yake ni pahali pazuri kujenga bandari na free zone abavyo wao hawana uwezo wa kufanya.
Nitajie bandari moja iliojengwa baada ya uhuru. Nchi zzote duniani hasa zilizoendelea zinapigania wawekezaji wafungue miradi kwao. muhimu waanagalieni walaji wenu tu hiyo faida itakayopatikana ijenge nchi



Hakuna aliyekataa Bandari mpya isijengwe lkn pale tu ambapo hizi zilizopo zimeshakuwa exhausted na siyo kinyume chake, lkn kwa sasa hivi hizi tu tulizonazo zinafanya kazi chini ya kiwango sasa kwanini ukimbilie kitu kipya wakati ulichonacho kinakushinda? Hiyo mpya utafanya miujiza gani?

Dunia haiendi hivyo, siku zote watu huakikisha kwanza kile kilichopo kinatumiwa ipasavyo kwa zaidi ya 85% halafu kama bado kuna mahitaji ndiyo hujengwa kipya, na hii ni Dunia nzima pamoja na Uchina kwenyewe!
 
Mkuu majibu ykuhusu ushiriki wa Magufuli, kuelewa mradi na kuutumia katika kampeni yanapatika bandiko 410 la mkuu JokaKuu au unaweza kusikiliza kupitia link hii

magufuli akemea uchochezi - YouTube

Mkuu Cabinet ndicho kikao kiuu cha ushauri cha Rais na serikali.
Mawaziri wakila kiapo wanaapa kutunza siri za vikao... Hakuna excuse fulani alikuwa wizara hii na yule ile, uamuzi wao ni wa pamoja 'collective responsibility''

Kama unanisoma vema na mabandiko yapo wazi kwa reference, kiongzi anyefanya vema Nampa big up, akiboronga Nampa failure. No more no less

Nafanya hivyo kwasababu naamini katika Taifa si mtu au vyama

Unapouliza Magufuli na Lowassa nani alifaa kuwa Rais, kwanini usiulize Dovutwa na Kuga Mziray wa TPP Maendeleo?

Unajaribu kuhamisha mjadala u-fit theory zako na si ukweli ulivyo.
Hapa nitakupa ukweli kwasababu nimeandika sana na rekodi zipo

Nimesema, nchi haiondoki ilipo ichini ya CCM. CCM si chama imegeuka genge. Nikaendelea, kama Dovutwa au Kuga Mzira wataiondoa CCM hilo ni heri.

Nilisema, haina maana ni viongozi wazuri, bali kuondoa CCM ni jambo muhimu kuliko jingine. lolote . Genge lililotufikisha hapa linageukaje kutuongoza tena?

Ushahidi wa miaka 10 ni haya tunayoyaona. Waliosadia kutufikisha hapa ndio hao waliounda serikali. Kamati kuu ya CCM na NEC ni ile ile iliyopitia mradi wa Bagamoyo kama chama tawala

Mh Nape Nnauye katibu mwenezi wa CCM, na waziri wa habari na maelezo amethibitisha maneno yangu. Ametamka nchi ilifikia mahali pa baya, hadharani

Ni huyu aliyetuambia nchi inaendelea vema chini ya CCM miaka 10, leo anaona alichokuwa hakijui akiwa ngazi za juu, iweje wengine muendelee na'' mgomo ''

Hoja hapa si Magufuli, ni jinsi nchi isivyo na mifumo ya kuweka maendeleo endelevu. Miradi ni kazi za kitaalamu si kisiasa.

Tuliwaambia Bagamoyo ni white elephant. Hawakutusikiliza , leo wanasemwa ni ''mashujaa'' baada ya kuona felia! eti tusiseme.

Wengine hatukuwepo katika siasa tulisimama na Taifa wao walishiriki vikao

Wana dhima ya kutueleza nini kimetokea. Kwanini mradi walioamini magufuli akemea uchochezi - YouTube umefeli.

HaTutataki habari za gizani kama ulivyoletwa bali maelezio, si ''cheap politics''

Miradi ya Kitaifa lazima iwe mbali na siasa. Tuweke mfumo miradi hiyo iendeshwe kwa utaalamu na uwazi.

Tujue nini kinaendelea si kujificha nyuma ya miogongo,waombe radhi.

Kwa mfano ningalikuwa hakimu mka wa mahakama na kesi ya namna hii ikaja , ningeweka makundi mawili 'wahalifu' na accomplices

Tushirikiane kuwauliza, walishiriki kutupeleka 'porini' wameona nini mbele na wanataka twende wapi

Nchi haitabadilika kama hatubadli mind set za ndiyoo bila ku reason.

Mind set za kudhani criticism ni dhambi, uzalendo ni kuvaa njuga na manyanga.

Mindset zisizoweza kuangalia mbali bali kila jambo kwa mtizamo wa siasa.


Sawa, bado nauliza, kosa la Magufuli 'kuahirisha bandari ya Bagamoyo' ni lipi? Wewe ungekuwa Magufuli ungefanya nini given kuna bandari za Dar, Tanga etc? Siku-attack personally lakini naomba niseme umekuwa mtu wa kulaumu mno Nguruvi3.
 
Nilisikia mkataba huu unawapa wawekezaji wa China kuendesha hiyo bandari kwa muda wa miaka 50 mpaka watakaporudisha pesa zao na hapo Tanzania ndo itapewa bandari yake.
...sasa mjadala ungekuwa hapo kamanda! ni upuuzi nadhani! kenya wamewezaje gharamia mradi "LLSSET'...tunaona aibu kufanya kama wao, lkn tukiboresha zaidi?!
 
Twende Mtwara kuna bandari yenye kina kirefu ni namna tu ya kuimarisha si lazima ujenge mpya wakati tunayo ya kuboresha na gharama zake haziwezi kuwa kama kujenga upya kwa mkataba wa namna ile lazima tujionee huruma na tuonew huruma vizazi vyetu vijavyo dhidi ya mzigo wa madeni ambayo yanaepukika.
...sawa kamanda lakini, mtwara ina mapungufu ktk aina ya bandari inayotakiwa kujengwa! kwamba bila kumfurahisha mtu, ukilinganisha mazingira ya mtwara, na ya bagamoyo, kitaalam, bagamoyo inakuwa ndio pwani inayofaa zaidi kwa mradi huu!...lkn kubwa lingine ni kuwa unafanyika maberesho na marekebisho ya bandari kama hiyo ya mtwara kisha ndo mradi wa bagamoyo uendelee!
 
Tuna southern corridor development project. Kuboresha bandari ya mtwari nareli ya kusini hadi kwenda liganga namchuchuma kuzalisha umeme wamakaa ya mawe viwanda vinavyotokana nauwepo wa gas kilimo cha nyanda za juu kusini nakusini ikiwemo korosho nk. Hivi navingine vingi vinatosha kuifanya bandari ya Mtwara kuwa bize kuliko unavyofikiri so huitaji kushindana nalamu kwa ajili ya import but hapa nimuhimu sana kwa ajili ya export for that case uchumi utaweza kuimarika zaid coz bandari itakuwa inaendesha nakuhudumia uchumi wa uzalishaji wa ndani zaidi kuliko uzalishaji wa nje. Pitia doc ya southern corridor dev project uone kwa nini tulipinga ujenz wa Bandar ya bagamoyo. Si kila ushindani wakibiashara nimuhimu wakt mwingine unaweza kuwa nawrong competitor
....comrade...SCDP ambayo bandari ya mtwara ni sehemu yake, ni moja ya miradi mizuri na muhimu mno kwa tanzania!...mno! mno! mno!...lkn mradi wa bandari ya bagamoyo ni mradi mwingine na tofauti kabisa na SCDP...! TUNAIHITAJI YOTE!...lkn jambo la kufurahisha zaidi ni kwamba maboresho ya bandari ya mtwara, ikiwa ni sehemu ya SCDP, yanatamgulia mradi wa bandari ya bagamoyo!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom