Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Goba hawahitaji vituo vya mafuta?Mpaka na Goba vipo
Njia ya kuelekea makabe msakuz tu vipo vituoMpaka na Goba vipo
Pesa ipo waleLake ndio anaongoza kwa vituo vya wese kwa TZ.
Siku hivi huku Mitaani yamerudi yale ya Awamu ya nne kila Gari nzuri kila Nyumba nzuri ni ya Riziwani😁😂Acha bangi, Ridhiwani na lakeoil wapi na wapi, acheni kuwaongopea watu
Ukija pale jkt mlalakuwa kuelekea kawe kuna kituo,na pale paliwa makazi,ukija maringo njia panda kawe kna kituo...Lake ndio anaongoza kwa vituo vya wese kwa TZ.
Yaan ilikuwa hadi kero hadi unashangaaMaana vituo vya mafuta zilikuwa zinajengwa mpaka maeneo ya makazi ya watu
Ova
huenda anazungumzia Goba ya mwaka 2003 ambapo watu walikuwa wakilima mahindiGoba hawahitaji vituo vya mafuta?
Kituo kinajengwa kimebanana na makazi ya mtu kabisa...mpk jiraniYaan ilikuwa hadi kero hadi unashangaa
Mfan Ukianza kwa tumbo tandare mpk darajani sinza kuna vituo vya mafuta 7 vinne vishakamilika vitatu vipo ongoing kwa maana vibari vishatoka au vinasikiliziwa maana maeneo yapo wazi kwa ujenz
Yaan hapo kutoka kwa Tumbo mpaka darajani ni ndani ya kilomitaa kama 1.5 au 1.7
Lkn pana utitili wa vituo vya mafuta
Ambavyo vinaibuka kama UYOGA
Thread 'Vituo vya mafuta katikati ya mji na makazi ya watu Dar: Bomu linalosubiri maafa makubwa' Vituo vya mafuta katikati ya mji na makazi ya watu Dar: Bomu linalosubiri maafa makubwaSerikali imesitisha utoaji wa vibali vipya vya ujenzi wa vituo vya mafuta na mabadiliko ya matumizi ya ardhi kwa ajili ya vituo vya mafuta kwa muda wa miezi mitatu kuanzia leo.
Uamuzi huo umetangazwa leo Alhamisi Novemba 10, 2022 na Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dk Angeline Mabula.
"Lengo ni kutoa nafasi kwa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi na wizara zinazohusika na utoaji wa vibali kufanya tathmini ya kina kuhusu ujenzi wa vituo vya
mafuta nchini," amesema.
=====
Serikali imesitisha utoaji wa vibali vipya vya ujenzi wa vituo vya mafuta na mabadiliko ya matumizi ya ardhi kwa ajili ya vituo vya mafuta kwa muda wa miezi mitatu kuanzia leo.
Uamuzi huo umetangazwa leo Alhamisi Novemba 10, 2022 na Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dk Angeline Mabula.
“Lengo ni kutoa nafasi kwa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi na wizara zinazohusika na utoaji wa vibali kufanya tathmini ya kina kuhusu ujenzi wa vituo vya mafuta nchini,” amesema.
Aidha, Dk Angeline ameagiza kusitishwa kutolewa kwa vibali vipya vya ujenzi vinavyokiuka mipango kabambe ya majiji, manispaa, miji na kusitisha ugawaji wa viwanja kiholela unaosababisha taswira za miji kuharibika.
Ametoa mfano wa eneo lililopangwa kuendeleza ujenzi wa maghorofa vibali vifuate mpango.
Source: Mwananchi.
Noma sanaKituo kinajengwa kimebanana na makazi ya mtu kabisa...mpk jirani
Anaona htr,je kituo kikilipuka
Ova
Ila huu ni mkakati wa wafanyabiashara sahv wamedhamiriaNoma sana
Njia ya Tandare kuelekea Sinza unaweza waza hao wafanya biashara wana wazimu yaani sehemu hata haistahili unaona kabisa huyu ana teketeza pesa zake hapa hamna biashara yaani kila hatua tatu kituo cha mafuta🤷🏼♀️Yaan ilikuwa hadi kero hadi unashangaa
Mfan Ukianza kwa tumbo tandare mpk darajani sinza kuna vituo vya mafuta 7 vinne vishakamilika vitatu vipo ongoing kwa maana vibari vishatoka au vinasikiliziwa maana maeneo yapo wazi kwa ujenz
Yaan hapo kutoka kwa Tumbo mpaka darajani ni ndani ya kilomitaa kama 1.5 au 1.7
Lkn pana utitili wa vituo vya mafuta
Ambavyo vinaibuka kama UYOGA