mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Wale hatari aiseLake Oil kila kona ya nchi hii, yaani ni tishio
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wale hatari aiseLake Oil kila kona ya nchi hii, yaani ni tishio
Halafu vyote vipo kwenye hatua ya ukamilishaji ,bado Mikocheni near Heinken house.Ukija pale jkt mlalakuwa kuelekea kawe kuna kituo,na pale paliwa makazi,ukija maringo njia panda kawe kna kituo...
Kino studio kituo ....
Ila hawa wafanyabiashara wana nguvu lazima watakuja na plan B [emoji1]
Ova
Serikali imesitisha kutoa vibali vipya kwa ajili ya ujenzi wa vituo vya mafuta pia imezuia kubadilisha matumizi ya ardhi ili kujenga vituo vya mafuta kwa miezi mitatu ili wizara iweze kufanya tathmini ya kina kuhusu ujenzi wa vituo vya mafuta nchini.
Siku za karibuni kulikuwa na angalizo kutoka kwa wadau juu ya kasi kubwa inayoendelea ya ujenzi wa vituo vipya vya mafuta.
Hawa watu wana nguvu ya kufanya watakavyo. Fikiria kuna mtu anajenga katikati hifadhi ya barabara ya njia nane pale Kimara Stopover hakuna anayemuuliza.expand...
Ile kaliHawa watu wana nguvu ya kufanya watakavyo. Fikiria kuna mtu anajenga katikati hifadhi ya barabara ya njia nane pale Kimara Stopover hakuna anayemuuliza.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Siku hivi huku Mitaani yamerudi yale ya Awamu ya nne kila Gari nzuri kila Nyumba nzuri ni ya Riziwani[emoji16][emoji23]
Acha ubaguzi.Acheni roho mbaya, yaani mnataka wahindi na waarabu tu ndio wawe matajiri?
Twende kazi rizi
na vimekuwa vying balaa yani kila baada ya hatua kadhaa unakutana na kituo cha mafutaMaana vituo vya mafuta zilikuwa zinajengwa mpaka maeneo ya makazi ya watu
Ova
Hahaha! Ni TANROADS wame lease eneo itakuwa.Hawa watu wana nguvu ya kufanya watakavyo. Fikiria kuna mtu anajenga katikati hifadhi ya barabara ya njia nane pale Kimara Stopover hakuna anayemuuliza.
Wasomali wametumwa pesa waleNaona Olympic anakuja naye kwa sasi sana.
Kisemvule,Mkulanga,Kibada,Boko,Bunju,Mwandege.