Serikali yasitisha ujenzi wa vituo vya mafuta

Wee akili huna hivi nchi hii kupata vibali vya ardhi kujenga shell mpaka ridhiwani awe naibu waziri wa ardhi?naibu waziri kwaza Hana uwezo wa kutoa kibali
Akili yako imeoza
 

Yaani vituo vya mafuta mijini vinajengwa hata maeneo ya kufanya huduma nyingine yanakosekana
Kwa mtazamo wangu anayesababisha hii chnagamoto ni EWURA
wanawezaje kuachia biashara ifanywe bila Ushindani?
Natamani EWURA iendeshwe na wafanya biashara na sio kuendeshwa na wasomi ambao hawana uelewa wa biashara. Hivi unawezaje kuweka bei ya juu na bei ya chini halafu uite bashara? hapo ni kukaribisha Huduma mbovu kwani mtu anajua kwa vyovyote vile atauza tu kwani bei ni moja hivyo hata hana haja ya maboresho...
1. Kibiashara nafikiri wangeweka bei elekezi ya juu tu huku chini watu washindane
 
Wafanyabiashara wakubwa hawataki upinzani wakiona watu wengine wanaingia wanatumia nyundo ya Serikali kukataza kwani Serikali si ndio wanatoa vibali kwa nini wasiendelee kusimamia vibali kwa usahihi ni kama wanaojenga hivyo vituo wanajenga bila usimamizi wowote ndio wameamua kutoa hilo Tamko...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…